Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,190
- 27,350
Maandamano yamebuma🤣
Mashoga kimyaaa wamekula moto wa matako wote wamekimbilia Jerusalem wameufyata Wanaharishaa mtindo mmojaUzi huu hauhusiani na mambo ya dini hivyo funga Bakuli lako!!
Ekulima sijui ana hali gani mda huu? 🤣🤣🤣
Mashoga kimyaaUzi huu hauhusiani na mambo ya dini hivyo funga Bakuli lako!!
Mkuu kuna uzi nimekutag mbona hautokei. Uone nyomi la kweliWaandamanaji huko Tehran bado hawajapoa mpaka wauondoe utawala haramu wa Ayatollah!!
Huyu hawezi kuwa kiongozi wa Iran hata kama Ayatollah akiondoka. Ni sawa na useme alternative ya kumtoa Mwinyi zanzibar ni kwa kumrudisha mtoto wa Sultan Jamshid!! Sijui akili za wayahudi zina shida ganiNdugu zangu, salamu kwenu nyote mnaosimama kama Kaveh na kupigana na uovu wa Ayatollah
Utawala huu, pamoja na ukandamizaji wake mkali, mauaji, na kukatizwa kwa watu, unatafuta kuwatia hofu na hofu, na kuwakatisha tamaa kuendelea na kupigana. Lakini jueni kwamba kwa sababu ya msimamo wenu na mapigano, maelfu ya vikosi vya kijeshi na vya kutekeleza sheria hawajaenda kazini kuchukua jukumu katika ukandamizaji.
Na ujumbe maalum kwa wataalamu katika uwanja wa intaneti na mawasiliano: lenga miundombinu ya habari ya mfumo ili kurejesha mawasiliano ya wenzetu na ulimwengu - Mrithi wa Taji Reza Pahlavi
Hapo wayahudi wameimgiaje au ndiyo mmeanza kuchanganyikiwa!!Huyu hawezi kuwa kiongozi wa Iran hata kama Ayatollah akiondoka. Ni sawa na useme alternative ya kumtoa Mwinyi zanzibar ni kwa kumrudisha mtoto wa Sultan Jamshid!! Sijui akili za wayahudi zina shida gani
Ndugu zangu, salamu kwenu nyote mnaosimama kama Kaveh na kupigana na uovu wa Ayatollah
Utawala huu, pamoja na ukandamizaji wake mkali, mauaji, na kukatizwa kwa watu, unatafuta kuwatia hofu na hofu, na kuwakatisha tamaa kuendelea na kupigana. Lakini jueni kwamba kwa sababu ya msimamo wenu na mapigano, maelfu ya vikosi vya kijeshi na vya kutekeleza sheria hawajaenda kazini kuchukua jukumu katika ukandamizaji.
Na ujumbe maalum kwa wataalamu katika uwanja wa intaneti na mawasiliano: lenga miundombinu ya habari ya mfumo ili kurejesha mawasiliano ya wenzetu na ulimwengu - Mrithi wa Taji Reza Pahlavi
Hiyo habari ni jana usikuWewe unachelewa kupata taarifa .hii habari ni ya wiki iliyopita
😃Mkuu kuna uzi nimekutag mbona hautokei. Uone nyomi la kweli
Si ndiyo wanaowafundisha ushoga?Hapo wayahudi wameimgiaje au ndiyo mmeanza kuchanganyikiwa!!
Kipigo cha mashoga 😝😝😝😝Mimi nilijua ya mwezi uliopita. Wajinga nyie endeleeni tu kujifariji kwa sababu kipigo kinakuja tulizeni akili tu