Fitina za marekani zafeli Iran,sasa kuishambulia

Fitina za marekani zafeli Iran,sasa kuishambulia

gallow bird

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2024
Posts
14,285
Reaction score
17,756
Iran imetangaza kukamata zaidi ya waratibu maandamano miambili wakiwa na shehena kubwa ya silaha,vilipuzi na mabomu ya petrol, wakiwemo watumishi wa MOSSAD, shirika la ujasusi Israel

Baada ya kamata kamata hiyo maandamano yamepoteza shinikizo na kupungua tangu alhamisi
Leo shirika la habari la taifa Iran likirusha picha mjongeo kuonesha hali halisi jijini Tehran na kuonekana kuwa shwari

Baada ya maandamano kupoa, Trump ametangaza kuwa Iran inahitaji ukombozi kuliko wakati wowote,kwa maana kwamba sasa fursa ya kuishambulia Iran na kumng'oa ayatollah ni nzuri zaidi

Upande wake Ayatollah kayaagiza majeshi yawe katika utayari wa vita kuliko kipindi cha vita,na miji ya makombora ya Iran Iko tayari

Screenshot_2026-01-10-22-34-51-225.jpg
 
katika nchi zoooooote duniani, iRAN is a no gone zone, wakiamuaga lao hawageuki nyuma hata ivo israel anajitahidi sana iran asipate nuclear kwan wale jamaaa wakiongea once kinachofuata ni vitendo
Huenda tukaamka na habari tofauti kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_2026-01-11-00-29-45-944.jpg
    Screenshot_2026-01-11-00-29-45-944.jpg
    153.7 KB · Views: 23
Marekan hana uwezo wa kushambulia iran
Watashambulia mkuu,huenda Israel kwa Siri akashiriki,lakini Iran akishambuliwa na marekani lazima atatuma vitu Israel
USA wamekaa jioni hii kujadili kuishambulia Iran,kuna senator kadai ukombozi unakuja,na Iran jeshi liko stand by means Wana taarifa fulani
 
Back
Top Bottom