Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano Iran katika picha!!

Iwaarabu na ndugu zao waa
Mashushu wote wa mossad wanatiwa nguvuni Usubiri TU watakapo anza kunyongwa baada ya uhalifu wa wao
Waarabu na ndugu zao waajemi bado wana safari ndugu sana kuwashinda Wayahudi.
Hapo mtawasingizia na wayahudi Bure tu wakati Ayatollah na genge lake wamewekeza nguvu zote kutaka kuiangamiza Israel wakati Wananchi wao wanashinda Mihogo!!!

Kupigana na wayahudi unatakiwa uji toe ufahamu kwanza kama walivyofanya Hamas,Hezbollah na Wa Houth,

Baadaye sasa IDF inakuwa kumalizia kazi kwa kuwafyelea mbali kama ilivyo fan ya kwa magaidi Uchwara kama hao.

Sasa hivi msikilize Ayatolah akilalamika ovyo ovyo kuhusu Marekani na Israel sasa jiulize kama yeye Anapendwa kwa nini Wananchi wake hawataki ? AYATOLLAH MUST GO!!!
 
Wananchi wa Iran wamechoshwa na Serikali ya kiislamu. Hali zao ni mbaya mno wakati Serikali hiyo I atoa mamilion ya pesa kwa Magaidi wa Hamas,Hezbollah na Wahouth huko Yemen!!!
 

Attachments

  • IMG_4765.jpeg
    IMG_4765.jpeg
    36.9 KB · Views: 5
  • IMG_4764.jpeg
    IMG_4764.jpeg
    50.4 KB · Views: 7
  • 1774649013917830130.mp4
    10.3 MB
Waandamanaji wamechukua crane na kwenda kung'oa nembo ya utawala wa kiislamu wa Iran na kutokomea nayo kusikojulikana

Utawala huu sasa unamomonyoka hatua kwa hatua kabla hata Israel haijawashambulia!!!
Taarifa nipendazo kuzisikia hizi.
 
sasa iran ipi iyo haiwez kukubali kuwa kibaraka, kwa lipi walilonalo, utawala wa ki.senge ndo huo unaondoshwa, kama alivyowekwa ayatola na mabeberu leo walomuweka wanamtoa na wanaweka mtu mwngne naye akileta za kuleta wanapga nje.. Usjsahaulishe ayatola aliwekwa na mabeberu tn alikuwa anaish ufaransa.
arudi tu ufaransa, wenye dunia wameamua kumtoa madarakani
 
Iran isikubali tena kurudi kwenye utawala wa kiislam, wakimfurusha ayatollah wabadili jina na bendera kabisa, waite jamhuri ya kidemokrasia ya iran, neno islamic liondoke kabisa, au waite persia litasaundi vizuri
 
Muda mfupi ulio pita Ayatollah Ali Khamenei kutoa hotuba ya kulalamika Marekani na Israel

Hotuba Kamili ya Khamenei:

“Jana usiku huko Tehran, kundi la waharibifu lilikuja na kuharibu jengo ambalo ni la nchi yao, ili kumfurahisha Rais wa Marekani. Ikiwa ana uwezo, anapaswa kwanza kusimamia nchi yake mwenyewe.

Kuhusu Donald Trump:
Mikono yake imetiwa madoa na damu ya Wairani zaidi ya elfu moja.

Katika vita vya siku kumi na mbili, zaidi ya watu wetu elfu moja waliuawa

Zaidi ya makamanda, wanasayansi, na viongozi wakuu, raia wa kawaida pia waliuawa kishahidi

Mtu huyu alisema: Nilitoa amri; niliamuru vita.

Yaani, alikiri, mikono yake imetiwa madoa na damu ya Wairani.

Na anaposema, ninawaunga mkono watu wa Iran, hata mjinga asiye na uzoefu, asiyejali, asiye na mawazo… kuna wale wanaomwamini, wanakubali, na kisha kutenda ipasavyo katika maneno na matendo yao.

Wajue kila mtu: Jamhuri ya Kiislamu ilianzishwa kwa damu ya watu mia kadhaa elfu wanyofu; na haitarudi nyuma au kukubaliana mbele ya waharibifu.

Mtu huyo anayeketi hapo kwa kiburi na kiburi na kutoka hapo hutoa hukumu duniani kote, yeye pia anapaswa kujua kwamba kwa kawaida madikteta na mamlaka zenye kiburi za dunia, kama vile Farao, Nimrod, Reza Khan, na Pahlavi Reza, na wengine kama wao, walipokuwa katika kilele cha kiburi chao, walipinduliwa. Yeye pia (Trump) atapinduliwa.
Watu hawavumilii mamluki wa wageni.
Hata uwe nani, ikiwa umekuwa mamluki wa wageni, ikiwa umefanya kazi kwa nguvu ya kigeni, watu wanakukataa.
Mfumo wa Kiislamu pia unakukataa.
 

Attachments

  • IMG_2452.jpeg
    IMG_2452.jpeg
    167.2 KB · Views: 5
  • IMG_2417.jpeg
    IMG_2417.jpeg
    173.8 KB · Views: 5
Subirini muone majaji wameshaahidi watakao kutwa na hatia za vurugu ni kitanzi
Wataua wangapi? Hawajaanza leo kuua na kuua watu si suluhisho!!! Safari hii lazima akimbie nchi au aifie nchi!!!!
 
My point is, wananchi wa Iran wanaichukia Israel na USA whether or not Ayatollah ndio kiongozi mkuu!! Hivyo kiongozi yeyote anayekuja awe kibaraka au whatever ataonyesha to true colors zake kwa USA.

Pia Ayatollah hakua kibaraka, ni kwamba USA ilitumia fursa kwa kumtumia adui wa utawala wa Iran kuudondosha. Ni sawa na USA kuitumia Taleban kupambana na USSR haikuwafanya kuwa vibaraka bali walitumika kama fursa ili kupambana na USSR. Mifano ni mingi tu
alaaa kumbe tumekubaliana USA ndo walimuweka alipokuwa adui ya utawala wa iran? sa kama walimtumia kudondosha utawala ulokuwepo sasa wamemchoka wanaleta mtu mwngne, kiongoz mkuu? kwa lipi sasa ikiwa alitumika kutoa utawala ulokuwepo? wananchi wa iran kwmb hawaipend USA NA ISRAEL kwa ushahidi upi? wa watawala au wa wananchi au wa kidini? wale ni persian si waarabu wale wanajtambua wamechoka usengerema wa dini ya waarabu, NAJUA UMEANDKA HAYA KWSBB ZA KIDINI na si kweli unampenda ayatola ila tu dini
 
Jamhuri ya Kiislamu imekata kabisa intaneti ili kunyamazisha sauti za watu wa Irani, lakini huwezi kuzima nguvu ya utashi kama muunganisho wa mtandao.

Watu wa Irani: Ulimwengu bado unakusikia na unakuona Pam and I kuokoa taifa lenu!!
 

Attachments

  • IMG_4766.jpeg
    IMG_4766.jpeg
    152.9 KB · Views: 8
Endelea

Endelea tu kujifariji!!! Wakati Wafuga midevu na Majini wenzako wanauana!! Huyo askari anayepokea kichapo hapo chini ni IRGC mbwa wewe!!
Unamjua jina lake,hizo ni uniform za irgc?.. siyo kila askari Iran ni irgc,rais kazuwia irgc kuingia mzigoni,ila hali inavyoelekea wataingia mzigoni na wakiingia ni maiti kutapakaa
 
Jamhuri ya Kiislamu imekata kabisa intaneti ili kunyamazisha sauti za watu wa Irani, lakini huwezi kuzima nguvu ya utashi kama muunganisho wa mtandao.

Watu wa Irani: Ulimwengu bado unakusikia na unakuona pambaneni kuokoa taifa lenu!!
 
Khamenei bye bye the end of era. Ili yaliyoandikwa yapate kutimia wale wajukuu wa Yakobo wajilie maziwa na asali sasa
 
Back
Top Bottom