Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano yamefeli.
Hakuna maandamano dhidi ya utawala wa Iran tena,raia wameingia mtaani wakiandamana kuunga mkono serikali yao ya kiislam.
Endeleeni tu kulishwa Matango Pori kiukweli kipigo kwa Ayatollah kimekaribia sana!!
 
Endeleeni tu kulishwa Matango Pori kiukweli kipigo kwa Ayatollah kimekaribia sana!!
Nipo hapa napitia makala za DW zinasema kuna pro-government protests.
Nenda google kaandike utapata majibu.
Anti-government protest zimefeli.
Ndio maana Trump amebadili upepo akisema jeshi linapiga tathmini zaidi juu ya kuishambulia Iran.
 
Nipo hapa napitia makala za DW zinasema kuna pro-government protests.
Nenda google kaandike utapata majibu.
Anti-government protest zimefeli.
Ndio maana Trump amebadili upepo akisema jeshi linapiga tathmini zaidi juu ya kuishambulia Iran.
Endelea tu kujifariji lakini kipondo kiko palepale!!
 
Nipo hapa napitia makala za DW zinasema kuna pro-government protests.
Nenda google kaandike utapata majibu.
Anti-government protest zimefeli.
Ndio maana Trump amebadili upepo akisema jeshi linapiga tathmini zaidi juu ya kuishambulia Iran.
Endelea tu kujifariji lakini kipondo kiko palepale!!
 
Utawala wa kikatili wa Ayatollah umejuaje zaidi ya waandamanaji 12,000 mara baada ya kuzima Umeme na Internet nchini Iran
Wewe ndio uendelee kujifariji.
Endelea kuota pia.
Endelea kutoa ndoto za Mwendawazimu na kipondo juu!!
 
Nini kimebadilika? Chama kile kile, sera zile zile!! Serikali ile ile.

Ndio Huu ujinga wenu wa Israel kudhani kiongozi wa Hamas akifa basi automatically hamas imekufa bila kujua ile ni itikadi sio mtu.
Mkuu it seems you have a little knowledge on how this world runs! Pale Congo unafikiri hakujabadilika kitu? though chama ni kile kile rais ni yule yule dereva tax Tshisekedi. Nikuulize Why? M23 bado anakaza kuwithdraw fully pale congo? Everything is CAPITALISM and so on..Hakuna Pesa Inayoenda bure kwenye investments za wakubwa.
 
Kwa taarifa yako wewe ndiye shoga na Iran usiku wa leo lazima wapigwe leo watashambuliwe.

Wananchi wa Iran hawaitaki Serikali ya Ayatollah wewe sijui unaumia nini??
We unaongea huku t.zi yako iko wazi,Iran hapigwi,wananchi bado wanaikubali serikali yao,mimi siumii chochote.
Iran ni dhahabu iliyo kwenye tanuri la moto ikitoka inapozwa na kuingizwa sokoni.
Wakubwa wanamkaribisha Iran kwenye club yao, kwahiyo lazima wamtikise na misukosuko ili wamuone kama anafaa Ku join nao ama la!
Nalog off Z
 
Back
Top Bottom