Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano Iran katika picha!!

Mwandishi wa habari wa Channel 13 wa Israeli Moriah Asraf:

"Tahadhari kubwa usiku wa leo nchini Israeli kufuatia picha kutoka Iran na vitisho kutoka kwa Rais Trump".

##

Israeli inachukua vitisho kwa uzito na imefungwa na kubeba mizigo 100 na iko tayari kujitetea/kushambulia inapohitajika. Ikiwa Utawala wa Kiislamu utafanya uamuzi wa kushambulia - nina uhakika tutajua vizuri kabla halijatokea na kujizuia.
Usiku mchana unashabikia mashoga wenzako wa kiyahudi . Labda biblia yako ya Queen James Version ndivyo ilivyoandika .
safari hii mtanyooshwa tu Ayatollah lazima afe au akimbie nchi Wananchi hawataki!!!
 
Pahlavi Mwana Mfalme: ā€œJamhuri ya Kiislamu inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mamluki wa kukabiliana na mamilioni ya watu mitaani." Waliagiza magaidi kutoka Iraq wameshindwa wameanza tena watu kutoka nchi Jirani nao lazima tu washindwe.

Wananchi wa Iran msivunjike mioto dunia nzima iko upande wenu Hakka mtashinda!!!!
 

Attachments

  • 9020905546286456776.mp4
    3.6 MB
Hii ndiyo itakuwa Bendera mpya ya Taifa la Iran!!!!!
 

Attachments

  • IMG_4774.jpeg
    IMG_4774.jpeg
    238.8 KB · Views: 4
Mwandishi wa habari wa Channel 13 wa Israeli Moriah Asraf:

"Tahadhari kubwa usiku wa leo nchini Israeli kufuatia picha kutoka Iran na vitisho kutoka kwa Rais Trump".

##

Israeli inachukua vitisho kwa uzito na imefungwa na kubeba mizigo 100 na iko tayari kujitetea/kushambulia inapohitajika. Ikiwa Utawala wa Kiislamu utafanya uamuzi wa kushambulia - nina uhakika tutajua vizuri kabla halijatokea na kujizuia.

safari hii mtanyooshwa tu Ayatollah lazima afe au akimbie nchi Wananchi hawataki!!!
Hulali unashabikia mashoga, angalia wanaanza kujinyia surualini

 
Iwaarabu na ndugu zao waa

Waarabu na ndugu zao waajemi bado wana safari ndugu sana kuwashinda Wayahudi.
Hapo mtawasingizia na wayahudi Bure tu wakati Ayatollah na genge lake wamewekeza nguvu zote kutaka kuiangamiza Israel wakati Wananchi wao wanashinda Mihogo!!!

Kupigana na wayahudi unatakiwa uji toe ufahamu kwanza kama walivyofanya Hamas,Hezbollah na Wa Houth,

Baadaye sasa IDF inakuwa kumalizia kazi kwa kuwafyelea mbali kama ilivyo fan ya kwa magaidi Uchwara kama hao.

Sasa hivi msikilize Ayatolah akilalamika ovyo ovyo kuhusu Marekani na Israel sasa jiulize kama yeye Anapendwa kwa nini Wananchi wake hawataki ? AYATOLLAH MUST GO!!!
Scenario hiyo hiyo ya Ayatolah ihamishie hapa nyumbani Tz kwa samuya, je kama kweli anapendwa na kukubalika kwann wananchi wakubali kuandamana?!.
Whether wananchi wawe wamelipwa au kushawishiwa maana yake bado kuna tatizo kubwa!!.
 
Back
Top Bottom