Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano Iran katika picha!!

Huna unalojua kuhusu siasa!! Kitendo cha USA kuingilia ndio kitaharibu maandamano yatageuka vita kama Syria na hapo USA hawezi kushinda vita ya ardhini Iran.
Acha ujinga nani kakuambia USA haiwezi kushinda vita ya ardhi I Iran..? Nani kakuambia wanaenda ardhini? Unafikiri Marekani ni wajinga kama wewe??
Zaidi Ayatollah akikubali kupisha, kura zitapigwa ya mabadiliko ya katiba na watachagua rais wanayemtaka na hatokua Pro Israel wala Pro US. Msijidanganye
Endelea tu kutoa ndoto za Mwendawazimu angalia bendera wanazopeperusha hao waandamanaji ndipo uje ubwabwaje hapa!!!
 
So misikiti ikichomwa moto ndio wanataka ukristo na uyahudi? Njyie hamjifunzi tu palestina au Lebanon huko si mlisema mmemaliza vikundi vya kigaidi ila cha ajabu wananchi bado wanaviunga mkono!! Hata syria ipo chini ya kiongozi wa Al Qaeda!!
Maana yake ni kwamba wananchi hawaikubali Israel au USA na sio kwamba akitoka Ayatollah basi atakuja rais mkristo sijui Pro Western kama mnavyojidanganya humu.
Kwa hiyo wanachoma misikiti yao kwa kuipinga Israel na Marekani? Hakuna aliyeingiza Ukristo wala Uyahudi hapo bali Mimi nimesema Wananchi wa Iran Wamechoshwa na serikali ya kiislamu ya Iran ndiyo maana waling’oa hata Nembo ya kuonyesha utawala wa kiislamu nchini humo.

Nakushangaa wewe unabwabwaja ovyo kwa vitu ambavyo wewe huijui lakini vipo Wananchi wa Iran hawataki Serikali ya kiislamu wamechoka nayo!!!
 
Nani kakuambia wanataka Ukristo? Mimi nimesema wananchi wamechoshwa na serikalo ya kiislamu hata kama hawataki Ukristo!!

Kuna sehemu nyingi sana Misikiti imechomwa moto kwa akili yako wewe unadhani wanaukumbatia utawala wa kiislamu wa Ayatollah? Subiri siku zinakuja na wewe utaufyata mkia kama alivyoufyata Adiosamigo na Mme wake Ritz .

Mabumunda hao walikuwa wanawaramba sana Makalio Magaidi wa Hamas,Hezbollah na Houth lakini baada ya Majeshi hodari ya Israel kuwagaragaza sasa hivi wanajifanya Wame kosa pesa ya kununulia Bundle hawaonekani mtandaoni kwa aibu na fedheha!! Na wewe jiandae kukimbia kwa aibu!!

Maandamano ya watu wa Irani yameanza rasmi! Jengo lote la manispaa ya serikali za mitaa katika jiji la Karaj la Iran limeteketea kwa moto.
Wewe kenge toka lini Waislam wakafunga ndoa za jinsia moja kwani sisi wakanisa. We unapenda kupapasa magoroli toka lini mimi nilikuwa mwanamke au kwa kuwa sipendi mishoga kama wewe 😆

Mimi natumia free WiFi home dogo simu yangu nalipiwa kutokana na position yangu sina njaa kama wewe.

Al Houth ni kiboko hatashiwi na nguruwe wa Washington au Tela Aviv.

Israel vita ipi alishinda wewe bila kusaidiwa hahaha kenge mmoja wewe huko Gaza mpaa mda hu anapigana vita, kule Lebanon kazi karusha mabomu eti anapiga target za Hezbullah 😄 kichaa kazi yake kurusha mawe tu.

Kuhusu Iran yeye Israel ndiye aliye omba kusimamisha vita wewe upo dunia ipi wewe.
 
Israel vita ipi alishinda wewe bila kusaidiwa hahaha kenge mmoja wewe huko Gaza mpaa mda hu anapigana vita, kule Lebanon kazi karusha mabomu eti anapiga target za Hezbullah 😄 kichaa kazi kurusha mawe tu!!
Tuliza kinyeo chako chako wewe baada ya kukimbiwa na mme wako wa kwanza Ritz na sasa umepata hawala mpya kahtaan amekupagawisha mpaka umesahau Israel imeshinda vita ngapi!!!

Kwa faida yako na Mmeo nimekuwekea hapo chini uone IDF imegaragaza wangapi mbwa wewe!!
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-045922_X.jpg
    Screenshot_20240414-045922_X.jpg
    150.8 KB · Views: 6
USA na Israel wanapoteza mabillions tu, Ayatollah haondoki pale ila kwa amri ya Mungu sio USA au Israel na hao waandamaji walio andaliwa miaka ili wafanye fujo hizo
Hao waandamanaji wameandaliwa na nani Ili kufanya hizo fujo ?..
 
Tu


Tunarusha taarifa hizi ili wewe Mwarabu koko uumie sana hasa huko nyuma!!

Endelea kujifariji tu IRGC wako kazini na wanazengo wanakula nao Saha I moja!!! Wananchi wamechoshwa na Serikali ya kiislamu ndiyo maana wanaendesha “CHOMACHOMA FESTIVAL” wameishusha bendera ya Serikali ya kiislamu wanataka kupandisha bendera yao yenye picha ya SIMBA!!


Mafundisho kuhusu laana ya kibiblia ya Kaini na laana ya Hamu katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho

Wote wawili, mwanzilishi wa kanisa Joseph Smith na mrithi wake Brigham Young, walifundisha kwamba watu Weusi walikuwa chini ya laana ya Hamu, na laana ya Kaini.

Smith na Young wote wawili walitaja laana hizo kama sababu ya utumwa.

Pia walifundisha kwamba ngozi nyeusi iliwaashiria watu wa asili ya Kiafrika kuwa wamelaaniwa na Mungu.


Katika marekebisho ya Joseph Smith ya Biblia ya King James, na katika utayarishaji wa Kitabu cha Ibrahimu, alifuatilia hali hiyo ya kulaaniwa hadi kwenye laana zilizowekwa juu ya Kaini na Hamu, na akaunganisha laana hizo mbili kwa kuwasilisha wazao wa Kaanani wa Hamu kama wazao wa Kaini kupitia ukoo wa upande wa mama
 
Tuliza kinyeo chako chako wewe baada ya kukimbiwa na mme wako wa kwanza Ritz na sasa umepata hawala mpya kahtaan amekupagawisha mpaka umesahau Israel imeshinda vita ngapi!!!

Kwa faida yako na Mmeo nimekuwekea hapo chini uone IDF imegaragaza wangapi mbwa wewe!!
Hahaha wasenge noma sana haya wewe hata upapase vipi mimi situmii mashoga kana una dada mlete atakuambia alicho kiona.

Israel hana lolote dogo kashindwa kuwamaliza Hamas, kasindwa kuwaondoa Hamas Gaza alijidai mwezi tu atawamaliza 😆

We msafisha vyoo karibu utanza kuzibua pipe za mavi Tela Aviv ngojea Iran akianzishe
 
Hahaha wasenge noma sana haya wewe hata upapase vipi mimi situmii mashoga kana una dada mlete atakuambia alicho kiona.

Israel hana lolote dogo kashindwa kuwamaliza Hamas, kasindwa kuwaondoa Hamas Gaza alijidai mwezi tu atawamaliza 😆

We msafisha vyoo karibu utanza kuzibua pipe za mavi Tela Aviv ngojea Iran akianzishe
Umeona waliogaragazwa na IDF? Nimekuwekea hapo ili ujionee mwenyewe lakini kwa aibu hutaki kusema umeona!!!!

Endelea tu kujito ufahamu maana kila kitu kiko wazi Hamas,Hezbollah na Houth hawana Nywinywi wala Nywinywi!!!
 
Mafundisho kuhusu laana ya kibiblia ya Kaini na laana ya Hamu katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho

Wote wawili, mwanzilishi wa kanisa Joseph Smith na mrithi wake Brigham Young, walifundisha kwamba watu Weusi walikuwa chini ya laana ya Hamu, na laana ya Kaini.

Smith na Young wote wawili walitaja laana hizo kama sababu ya utumwa.

Pia walifundisha kwamba ngozi nyeusi iliwaashiria watu wa asili ya Kiafrika kuwa wamelaaniwa na Mungu.


Katika marekebisho ya Joseph Smith ya Biblia ya King James, na katika utayarishaji wa Kitabu cha Ibrahimu, alifuatilia hali hiyo ya kulaaniwa hadi kwenye laana zilizowekwa juu ya Kaini na Hamu, na akaunganisha laana hizo mbili kwa kuwasilisha wazao wa Kaanani wa Hamu kama wazao wa Kaini kupitia ukoo wa upande wa mama
Hii hadithi Mimi sijui kabisa!!!!
 
Umeona waliogaragazwa na IDF? Nimekuwekea hapo ili ujionee mwenyewe lakini kwa aibu hutaki kusema umeona!!!!

Endelea tu kujito ufahamu maana kila kitu kiko wazi Hamas,Hezbollah na Houth hawana Nywinywi wala Nywinywi!!!

kasome bibla yako waliyokuandikia wayahudi

1768065620061.png
 
Askari wa Iran wasionekane kuwapiga risasi waandamanaji na Wananchi hawataki kupoa wanaendeleza mapambano yao kwa nguvu zao zote mpaka waung’oe utawala wa Kiislamu nchini Iran.
 

Attachments

  • 6195607604546582951.mp4
    11.7 MB
  • 1774649013917830130.mp4
    10.3 MB
Kwenye maandamano ya Wananchi huko Iran kumeonekana Bendera ya Israel waandamanaji wanatamba nayo sasa Wafuga Midevu na Majini gallow bird Adiosamigo kahtaan na Bwana wao Ritz sasa hivi wakiona Bendera ya Israel wataanza kuharisha ovyo ovyo!!!
 

Attachments

  • 6680687677402671282.mp4
    1.8 MB
Vipi Syria, Wapi Afghanistan? Did someone say Iraq!!! Kuna free market and all that Bullshit?
Huko Syria,Afghan,Iraq mission zilikuwa failed! What about Taiwan,UAE and now Venezuela, Khamenei asipokaza GAME OVER. Everything is bussiness buda CAPITALISM
 
Back
Top Bottom