Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
CHADEMA kikiwa ndio chama kikuu cha upinzani na chama ogopewa na watawala wa CCM kimepanga maandamano huko Jijini Mwanza.
Kuna waandishi wa habari wabaadhi vyombo vyenye heshima kubwa wamepewa fedha, wanakusanya vijana wa Bodaboda ambao kwa asili ni vijana wa chama tawala wamekuwa wakijifanya hawataki maandamano kwakuwa wanatakiwa wafanye kazi, sijui kutakuwa na machafuko, sijui nini! Hivi hawa ndio mnawaita maafisa usafirishaji, Makonda alipokuja mkafunga barabara zote na kuwalazimisha wakampokee.
Hawa ndio wanatumika kama ile mipira inayotolewa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Maandamano yanapigania hali bora kwa kila mtanzania na si kwaajili ya viongozi wa CHADEMA, hawa wakivunjika bandama wanataka watibiwe na daktari ambaye halipwi posho wala mshahara ila mbunge analipwa advance ya mshahara.
HAITIVI mmekuwa kama mpira utolewao na US AID, mnatumika vibaya, mtatupwa jalalani.
Mzee "CHACHE" angalikuwa hai asingeposti huu ushuzi mnaohadaa watanzania.
Kuna waandishi wa habari wabaadhi vyombo vyenye heshima kubwa wamepewa fedha, wanakusanya vijana wa Bodaboda ambao kwa asili ni vijana wa chama tawala wamekuwa wakijifanya hawataki maandamano kwakuwa wanatakiwa wafanye kazi, sijui kutakuwa na machafuko, sijui nini! Hivi hawa ndio mnawaita maafisa usafirishaji, Makonda alipokuja mkafunga barabara zote na kuwalazimisha wakampokee.
Hawa ndio wanatumika kama ile mipira inayotolewa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Maandamano yanapigania hali bora kwa kila mtanzania na si kwaajili ya viongozi wa CHADEMA, hawa wakivunjika bandama wanataka watibiwe na daktari ambaye halipwi posho wala mshahara ila mbunge analipwa advance ya mshahara.
HAITIVI mmekuwa kama mpira utolewao na US AID, mnatumika vibaya, mtatupwa jalalani.
Mzee "CHACHE" angalikuwa hai asingeposti huu ushuzi mnaohadaa watanzania.