William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- More dataz ni kwamba baada ya kuwa cornered na mashambulizi ya non-stop na hasa kutoka kwa wa-Zanzibari ambayo tutayaweka hapa pindi tukishayapata tu, na huku akishinikizwa na Rais Mwinyi na Rais Kikwete, Mheshimiwa Spika alizungumza machache sana,
- Kwa kifupi Spika alisema kwamba:- ".....kwa mtumzima kama mimi kushambuliwa namna hii na watu wazima wengine, maana yake ni moja kwamba huenda kuna tatizo, na mimi kama mtumzima naomba tusameheane jamani...."
-Hapa ukumbi mzima ulinyamaza kimyaaa, huku washambuliaji wakionyesha kutoridhika na majibu ya Spika, lakini Mwenyekiti wa CCM ambaye sasa alikuwa serious tena, aliashiria kuridhika na maelezo ya Spika.
Respect.
Field Marshall Es!
- Kwa kifupi Spika alisema kwamba:- ".....kwa mtumzima kama mimi kushambuliwa namna hii na watu wazima wengine, maana yake ni moja kwamba huenda kuna tatizo, na mimi kama mtumzima naomba tusameheane jamani...."
-Hapa ukumbi mzima ulinyamaza kimyaaa, huku washambuliaji wakionyesha kutoridhika na majibu ya Spika, lakini Mwenyekiti wa CCM ambaye sasa alikuwa serious tena, aliashiria kuridhika na maelezo ya Spika.
Respect.
Field Marshall Es!