Maamuzi ya kununua au kutengeneza 'robot' yalitolewa lini na ni nani walitoa maoni?

Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.

NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Robot hata mtoto wangu anatengeneza,acha ushamba
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.

NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Yaani ni ujinga na ukasuku tu. Wakisikia kitu kinavumishwa hawana uwezo kupima kama kwenye nchi yetu level yetu au uchumi wetu tunahitaji kitu kama hicho kwa sasa au la. Ndio maana kuna shaka kwa ukasuku ujinga na uchaw wa viongozi wetu tutapelekeshwa kushindwa kufaidika na gesi, makaa ya mawe kibao tuliyonayo au mafuta ya petroli ambayo kwa hakika yapo nchini.
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.

NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Siku zote tanzania inapo ongozwa na waisiharamu nchi inakuwa ya kipumbavu huo ndiyo ukweli waisihalamu awana akili hata chembe
 
Siku zote tanzania inapo ongozwa na waisiharamu nchi inakuwa ya kipumbavu huo ndiyo ukweli waislamu awana akili hata chembe
Punguza jazba mkuu. Hili suala halina ukristo au uislam. Hata hizo dini zililetwa na wazungu.
Bi mkubwa mwenyewe ukisikia historia yake, wala hata hana huo udini kiihivyo. Hata ushungi alikuwa hajui kuufunga kwa mujibu wa maelezi yake.

Tatizo la wawakilishi wetu (wabunge) hawapendi kujipa stress za kutengwa na kusakamwa kwasababu ya kuhoji maamuzi ya serikali. Thus why kila kitu kwao ni 'ndiyoooo' ili maisha yao yaendelee pasipo kujali mstakabali wa taifa!
 
Punguza jazba mkuu. Hili suala halina ukristo au uislam. Hata hizo dini zililetwa na wazungu.
Bi mkubwa mwenyewe ukisikia historia yake, wala hata hana huo udini kiihivyo. Hata ushungi alikuwa hajui kuufunga kwa mujibu wa maelezi yake.

Tatizo la wawakilishi wetu (wabunge) hawapendi kujipa stress za kutengwa na kusakamwa kwasababu ya kuhoji maamuzi ya serikali. Thus why kila kitu kwao ni 'ndiyoooo' ili maisha yao yaendelee pasipo kujali mstakabali wa taifa!
NDIYO MAANA NI WAISIHARAMU SIYO WAISLAMU ..TUMIA AKILI ACHA KUTUMIA KIJAMBIO KUFIKIRI KAMA HUYO BI MKUBWA ULIYE MTAJA...KWA SASA DUNIANI NI KAMA HAKUNA WAISLAMU BALI WAMEJAA WAPUMBAVU WAISIHARAMU ...KWA JINA JINGINE TUNAWAITA ...WANAOFUNGA RAMADHANI NA KUFUTURU FUTARI YA NGURUWE .
 
Traore wa Bokinafaso kanunua matrekta 400 na vitendea kazi za kilimo zaidi ya 300 ili kuinua maisha na uchumi wa watu wake. Sisi tumenunua Roboti la kukaribisha viongozi kwenye kumbi!!!

Nchi imepatwa na aibu tunaona sisi wananchi!! Tunamshukuru mama kwa roboti
ni aibu kubwa.
 
Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.

Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?

Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?

Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.

NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Eti hapo ndo wanakuaminisha Tanzania ni nchi ya teknolojia
 
Nape alieleza kabisa kuwa Hilo roboti limegharimu Dola za kimarekani milioni mbili.kodi zetu zinachezewa sana
 
Back
Top Bottom