Maajabu ya Upinzani Tanzania: CHADEMA wanashangilia ACT kuibiwa kura na CCM

Cdm hutoa maamuzi Yake kupitia vikao, ni wapi wamekaa na kutoa taarifa ya kufurahia huo uhayawani wa kwenye uchaguzi? Huwezi kutofautisha chama na maoni ya mtu?
Viongozi waandamizi na wanachama wake wakiwa wanashangilia mtandaoni na wala hawajakemewa nafikiri tunaweza kusema ni chama
 
Viongozi waandamizi na wanachama wake wakiwa wanashangilia mtandaoni na wala hawajakemewa nafikiri tunaweza kusema ni chama
Huna ujualo boss, taarifa za chama huletwa na msemaji wa chama. Wanachama na mashabiki huongea maoni Yao.
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Ukweli wananchi bado hawana imani na wapinzani kwa hivyo siasa wao wanaona bora wapitie ccm tu. Yaani bora jini ulijualo. Pia wana matumaini makubwa atapatikana kiongozi mngine kama magufulu.
Kwa upande wa wapinzani hasa chadema wanafikiri demokrasia ni lazima wananchi wachague upinzani. Badala ya kutafuta sababu kwa nini hawachaguliwi wanakimbilia kusema ccm au serikali inawaibia kura. Hii sababu hua inawafurahisha mabeberu wa nchi za kibepari ambao kwa historia ya ccm kwamba wakati mmoja kilifuata ujamaa ule wa dola kuendesha yenyewe shughuli kuu za uchumi hawawezi kukisamehe. Wangetaka sana ccm iondoke madarakani. Pia wana kisassi na ccm kwa kuunga mkono ukombozi wa kusini mwa afrika na kuvuruga mirija yao ya kikoloni.
 
Mzee hivi tunaosema CCM wamefanya jambo fulani, kwani huwa wanakuwa wametoa taarifa rasmi kuwa wamefanya?
Kwahiyo mzee Sabaya aliposema wakichaguliwa wapinzani serekali haitapeleka maendeleo,ni maagizo ya ccm kwakuwa chama chake hakijamkea hadharani?
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?


Wanashangilia au kueleza hali halisi? Bila kubadilisha mifumo haya mambo hayataisha

Watu wa ajabu sana yaani wanalaumu Chadema kwa CCM kuiba kura. Kwanini hauongelei kura kuibiwa wewe unaona hiyo ni sawa ! Badala yake unaongelea watu wanaocheka wakati demokrasia inadidimizwa halafu unajifanya eti mzalendo 😂
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM
ACT kwa Chadema ni sawa na Tembo vs Kiroboto, hebu waandamane tuone.
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Jitahidi sana kwenye jamii usiitwe mchawi ukishaitwa mchawi na majirani zako hilo jinamizi halitoki ng'ooo. Kwahiyo hata ufanyeje ACT hasafishiki, ni msaliti na ataendelea kuwa msaliti mpaka kufa kwake.
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Hao wazee wa SUK wako kimaslahi na vigeugeu geu wanauma nakupuliza Acha yawakute wako kimkakati kufubaza upinzani
 
Jitahidi sana kwenye jamii usiitwe mchawi ukishaitwa mchawi na majirani zako hilo jinamizi halitoki ng'ooo. Kwahiyo hata ufanyeje ACT hasafishiki, ni msaliti na ataendelea kuwa msaliti mpaka kufa kwake.

hasafishiki kutoka kwa nani? hivyi nyinyi munahisi Tanzania nzima ni CHADEMA ama?
 
Back
Top Bottom