Maajabu ya Upinzani Tanzania: CHADEMA wanashangilia ACT kuibiwa kura na CCM

Ukiwasusia nyani shamba la mahindi wanatafuna yoote kwa vigelegele.

Tatizo ni kuwa vyama vichache makini vikisusia uchaguzi, vile vyama chawa vya ccm vitashiriki, halafu itaonekana vyama vingi vimeshiriki na ccm itapewa ushindi wa "kishindo" wa mchongo kama siku zote
Chadema nao wamekuwa wakishiriki chaguzi zote kuu na kulalamika wanaibiwa kura tangia mwaka 1995
 
ACT waliingizwa kingi na wahenga kwamba zimwi likujualo halikuli likakwisha , chakushangaza hili zimwingara limemeza hadi kivuli lazima watoe milio
 
ACT ilianzishwa Ili kuipunguza makali cdm walidhani watakuwa salama mbele ya ccm, hivyo ACT kuporwa kura na ccm ni sawa na BUNDI kumla NYOKA
 
Sijasema iisadie nimeshangaa tu wanashangilia
Cdm hutoa maamuzi Yake kupitia vikao, ni wapi wamekaa na kutoa taarifa ya kufurahia huo uhayawani wa kwenye uchaguzi? Huwezi kutofautisha chama na maoni ya mtu?
 
Sisi CHADEMA hatuingii Chaguzi bila uwepo wa Foreign Observers hata kama Watapora lazima na Dunia nzima ishuhudie.
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
ULITAKA WALIE? CCM na ACT ni Mtu na mtoto wake
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Vyama vya siasa zaidi ya 19 vitaiunga mkono CCM uchaguzi Mkuu ujao 🐒

watanuna na kuchukia hao, hawa wazee wa mihemko 🐒
 
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.

Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.

Maswali yangu ni;

CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.

CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
JokaKuu econonist zitto junior Tindo .....kilichoitokea ACT na nyie kinawasubiri, mshindani wenu hajawahi kuwa muungwana kwa yeyote.
 
Back
Top Bottom