DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 421
- 648
Ukiachilia mbali apo kwa wabunge wanaolipwa misharaa mikubwa ivyo kuna huu msururu wa viongozii ambao kama kweli tunataka kuijenga nchi lazima msururu huo ukatwee unakuta kuna Dc,Rc,Meya,wajumbe mbalimbali wa halmashauri, n.k wote hao wanapokea fedha ikiwa kuna miundo mbinu haijakaa sawa hizi sekta ambazo hazizalishi chochote zinazohudumiwa na serikali kuna haja yakuzipunguza siyo kuongeza tuu kodi