Tundu Lissu alionya kuhusu Madini, Bunge lakiri Serikali inadaiwa na Makampuni ya madini

Madumbikaya

JF-Expert Member
Jun 6, 2018
638
1,902
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,Tundu lissu aliwaonya serikali kuhusu mikataba ya MIGA lakini wabunge wa ccm pamoja na serikali walimuona Tundu lissu sio mzalendo

Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia gharama kubwa kuyalipa makampuni ya madini baada ya kuvunja mikataba

Moja ya vichekesho anayeongea alikuwa waziri kamili wakati Tundu lisu anaonya kuwa serikali itatumia kodi za wananchi kulipa gharama za kuvunja mikataba ya madini

Wabunge wale wale waliokuwa wanaimba mapambio kuwa Tundu lissu muongo leo wamegeuka wanakubaliana naye baada ya mambo kuharibika na serikali kutakiwa kulipa mabilioni ya pesa kwa makosa ya kuvunja mikataba ya madini

Katika nchi zinazojielewa huyu Prof Mkumbo na kundi lake la wabunge ilipaswa waachie ngazi na wale washauri wakuu Prof kabudi na kundi lake la kamati walipaswa kuchunguzwa na kupimwa akili tayari kwa kupelekwa mahakamani

Watu wanakamuliwa PAYE,VAT,witholding tax,Corporate tax plus tozo halafu zinaishia kuwalipa makampuni ya madini kwa makosa ya wabunge wasiofika 400 ndani ya taifa lenye watu milioni 60

Tunaomba muandae list of shame ya wale wote waliokuwa kwenye kamati zilizoidanganya serikali
 
Bunge limekiri wapi?

Ni kampuni ipi hiyo? Ni Twiga?

Lissu? Yule bora hata nchi ifilisiwe ila siyo kumsikiliza yule!
Soma hiyo
 
Soma hiyo
Nenda kasikilize video yake mkuu
 
Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia gharama kubwa kuyalipa makampuni ya madini baada ya kuvunja mikataba
Tumlaumu nani ?
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,Tundu lissu aliwaonya serikali kuhusu mikataba ya MIGA lakini wabunge wa ccm pamoja na serikali walimuona Tundu lissu sio mzalendo

Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia gharama kubwa kuyalipa makampuni ya madini baada ya kuvunja mikataba

Moja ya vichekesho anayeongea alikuwa waziri kamili wakati Tundu lisu anaonya kuwa serikali itatumia kodi za wananchi kulipa gharama za kuvunja mikataba ya madini

Wabunge wale wale waliokuwa wanaimba mapambio kuwa Tundu lissu muongo leo wamegeuka wanakubaliana naye baada ya mambo kuharibika na serikali kutakiwa kulipa mabilioni ya pesa kwa makosa ya kuvunja mikataba ya madini

Katika nchi zinazojielewa huyu Prof Mkumbo na kundi lake la wabunge ilipaswa waachie ngazi na wale washauri wakuu Prof kabudi na kundi lake la kamati walipaswa kuchunguzwa na kupimwa akili tayari kwa kupelekwa mahakamani

Watu wanakamuliwa PAYE,VAT,witholding tax,Corporate tax plus tozo halafu zinaishia kuwalipa makampuni ya madini kwa makosa ya wabunge wasiofika 400 ndani ya taifa lenye watu milioni 60

Tunaomba muandae list of shame ya wale wote waliokuwa kwenye kamati zilizoidanganya serikali
Tutolee ujinga wako hapa.

Huyo mke wa Amsterdam Lisu alishindwa na kulegea
 
Bunge limekiri wapi?

Ni kampuni ipi hiyo? Ni Twiga?

Lissu? Yule bora hata nchi ifilisiwe ila siyo kumsikiliza yule!
Waache wapuuzi waendelee kujifariji. Sasa hivi nchi inapokea mapato mengi ya madini kuliko wakati mwingine wowote. Ni matunda ya yale majadiliano. Lissu alisema makanikia yasiporuhusiwa tutanyolewa kwa chupa bila maji. Leo hii wapuuzi wanamchukulia serious mpuuzi mwenzao huyo.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,Tundu lissu aliwaonya serikali kuhusu mikataba ya MIGA lakini wabunge wa ccm pamoja na serikali walimuona Tundu lissu sio mzalendo

Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia gharama kubwa kuyalipa makampuni ya madini baada ya kuvunja mikataba

Moja ya vichekesho anayeongea alikuwa waziri kamili wakati Tundu lisu anaonya kuwa serikali itatumia kodi za wananchi kulipa gharama za kuvunja mikataba ya madini

Wabunge wale wale waliokuwa wanaimba mapambio kuwa Tundu lissu muongo leo wamegeuka wanakubaliana naye baada ya mambo kuharibika na serikali kutakiwa kulipa mabilioni ya pesa kwa makosa ya kuvunja mikataba ya madini

Katika nchi zinazojielewa huyu Prof Mkumbo na kundi lake la wabunge ilipaswa waachie ngazi na wale washauri wakuu Prof kabudi na kundi lake la kamati walipaswa kuchunguzwa na kupimwa akili tayari kwa kupelekwa mahakamani

Watu wanakamuliwa PAYE,VAT,witholding tax,Corporate tax plus tozo halafu zinaishia kuwalipa makampuni ya madini kwa makosa ya wabunge wasiofika 400 ndani ya taifa lenye watu milioni 60

Tunaomba muandae list of shame ya wale wote waliokuwa kwenye kamati zilizoidanganya serikali
Kulwa jilala na USSR waje huku waione hii
 
Moja ya vichekesho anayeongea alikuwa waziri kamili wakati Tundu lisu anaonya kuwa serikali itatumia kodi za wananchi kulipa gharama za kuvunja mikataba ya madini

Wabunge wale wale waliokuwa wanaimba mapambio kuwa Tundu lissu muongo leo wamegeuka wanakubaliana naye baada ya mambo kuharibika na serikali kutakiwa kulipa mabilioni ya pesa kwa makosa ya kuvunja mikataba ya madini
Hakuna bunge Tz kuna genge la wezi wa mali za umma
 
Msitoe lawama kwa wabunge tu hata Honorable causa ni miongoni mwa viumbe ambao wamelitia taifa hasara na kulifanyia utesi wa kila aina.

Utakuwa ni unafiki na uzandiki kuwashutumu wabunge tu na wakati yanafanyika yote CEO wa kampuni yetu kwa sasa alikuwa deputy
 
Sasa mbona Prof Kabudi ndio negotiator mkuu wa Serikali Kwenye mikataba hadi leo?!!
20221004_104944.jpg
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,Tundu lissu aliwaonya serikali kuhusu mikataba ya MIGA lakini wabunge wa ccm pamoja na serikali walimuona Tundu lissu sio mzalendo

Bunge lile lile na watu ni wale wale kupitia kwa Prof Mkumbo ambaye ni mbunge wa ubungo wameanza kulalamika kuwa serikali inaingia gharama kubwa kuyalipa makampuni ya madini baada ya kuvunja mikataba

Moja ya vichekesho anayeongea alikuwa waziri kamili wakati Tundu lisu anaonya kuwa serikali itatumia kodi za wananchi kulipa gharama za kuvunja mikataba ya madini

Wabunge wale wale waliokuwa wanaimba mapambio kuwa Tundu lissu muongo leo wamegeuka wanakubaliana naye baada ya mambo kuharibika na serikali kutakiwa kulipa mabilioni ya pesa kwa makosa ya kuvunja mikataba ya madini

Katika nchi zinazojielewa huyu Prof Mkumbo na kundi lake la wabunge ilipaswa waachie ngazi na wale washauri wakuu Prof kabudi na kundi lake la kamati walipaswa kuchunguzwa na kupimwa akili tayari kwa kupelekwa mahakamani

Watu wanakamuliwa PAYE,VAT,witholding tax,Corporate tax plus tozo halafu zinaishia kuwalipa makampuni ya madini kwa makosa ya wabunge wasiofika 400 ndani ya taifa lenye watu milioni 60

Tunaomba muandae list of shame ya wale wote waliokuwa kwenye kamati zilizoidanganya serikali
Naunga hoja🤔
 
Kwahio Tatizo ni wale waliotuingiza katika Mikataba Mibovu hapo Mwanzo AU
Aliokataa kuwalipa hao wenye mikataba ya Unyonyaji AU
Wanaliowalipa Sasa Hivi AU
Wanaoendelea kutuingiza kwenye Mikataba ya Ajabu mpaka dakika hii...

Swali kuu ni Kundi lipi tutumie rasilimali muda kuongelea / kuwashupalia....?
 
Back
Top Bottom