Maajabu ya mjadala ITV, watu wote wana mawazo sawa

Wamehongwa tu hao ili ionekane huyu raisi anapendwa.kumbe hapendeki hata,na ardhi ya nchi kwa jinsi anavyoimwagia damu za wasio na hatia ! Kila kitu nchini kinamchukia nakachokwa vibaya mno !.
 
KIPINDI: Malumbano ya Hoja
MAADA: Miaka miwili ya serikali ya awamu ya tano, nini mafanikio na changamoto?

Wachangiaji wote wanamsifu Magufuli, hakuna anayemkosa raisi. Wakuu, mimi ni mfugaji wa ng'ombe, hata ng'ombe huwa hawafikiri sawa. Unaweza ukataka kuwasagwa waende mbele lakini utaona kuna wengine wanaenda pembeni na wengi wanarudi nyuma, hiki ni kiashiria kwamba ng'ombe pia hutofautiana fikra na maamuzi.

Nashangaa kuona hawa wachangiaji wote wana mawazo sawa, je? watu hawa wametolewa wapi na ITV?
Jiulize kwanza, Chadema mlimtoa wapi Lowassa?
 
KIPINDI: Malumbano ya Hoja
MAADA: Miaka miwili ya serikali ya awamu ya tano, nini mafanikio na changamoto?

Wachangiaji wote wanamsifu Magufuli, hakuna anayemkosa raisi. Wakuu, mimi ni mfugaji wa ng'ombe, hata ng'ombe huwa hawafikiri sawa. Unaweza ukataka kuwasagwa waende mbele lakini utaona kuna wengine wanaenda pembeni na wengi wanarudi nyuma, hiki ni kiashiria kwamba ng'ombe pia hutofautiana fikra na maamuzi.

Nashangaa kuona hawa wachangiaji wote wana mawazo sawa, je? watu hawa wametolewa wapi na ITV?

Kwa muktadha huu, nafikiri ng'ombe wangealikwa wangeongea kwa mawazo tofauti. Maana kwa huu mfano tu inaonyeaha ng'ombe wanafikiria tofauti kuliko watanzania wa leo!!
 
Sasahivi ni unafki tuu kwa kwenda mbele, hakuna kusema kweli kwa kulinda ugali wako.
Wanafki ndio wapo huru kusema kweli ni kuhatarisha uhai wako.
 
ni kipindi kipo itv cha malumbano ya hoja nimepata nafasi leo kuangalia kusema kweli hawa washiriki wanaonesha wote ni vijana wa ccm kasoro mtu mmoja
alisimama nakumkosoa rais tabia yake yakufukuzisha watu kwenye majukwaa na akagusia uchumi wa viwanda kuwa kuna jambo tunakosea
hapa ikabidi watangazaji nao waanze kuogopa

jambo lililo nishangaza baada ya mshiriki mmoja kusimama na kusema tanzania tuna amani ya kutosha
wenzetu uingereza kila siku watoto 500000 wanapotea
pia kila siku watu 5000 wanauliwa hivi huyu ni chizi au
usiku mwema
 
Mbona WEWE.hujaenda mkuu ukatoe hizo critical points umekaa kuandika tu hapa JF.....halafu unalaumu wezako.
Umejuaje kuwa sijawahi kwenda pale?
Unanifahamu?

Kama hujui tu, ukienda pale ITV kuna haya...
1/Kama wanakujua wewe msimamo wako ni mkali dhidi ya serikali kwa sasa hutaruhusiwa kushiriki.

2/Kabla ya Kipindi kwenda hewani kuna maangalizo maalum unapewa(Kuna mambo hutaruhusiwa kabisa kuyazungumza)
 
Back
Top Bottom