Asanteni Morani75 na Fundi Mchundo kwa shule nzuri,........nilishapata kuambiwa kuwa a Detailed feasibility study ilishafanyika kuhusiana na ujenzi wa daraja la kigamboni......na ndio hata iliyosababisha The Dutch kuwa ready ku-co-finance huu mradi.
Hivi sasa tunavyoandika hapa..........kinachoendelea ni Assembling ya Ferry Mpya....its huge.....walioko Dar wanaweza kupiga picha na kutuwekea hapa JF
....maswali ni mengi najiuliza Ferry Vs Daraja!!!!
Hivi sasa tunavyoandika hapa..........kinachoendelea ni Assembling ya Ferry Mpya....its huge.....walioko Dar wanaweza kupiga picha na kutuwekea hapa JF
....maswali ni mengi najiuliza Ferry Vs Daraja!!!!