Maajabu ya daraja la Kigamboni!

Asanteni Morani75 na Fundi Mchundo kwa shule nzuri,........nilishapata kuambiwa kuwa a Detailed feasibility study ilishafanyika kuhusiana na ujenzi wa daraja la kigamboni......na ndio hata iliyosababisha The Dutch kuwa ready ku-co-finance huu mradi.

Hivi sasa tunavyoandika hapa..........kinachoendelea ni Assembling ya Ferry Mpya....its huge.....walioko Dar wanaweza kupiga picha na kutuwekea hapa JF

....maswali ni mengi najiuliza Ferry Vs Daraja!!!!
 
idprt102.jpg
idprt102b.jpg
idprt102c.jpg



t3050ertbrtunnelll2.jpg
womanridingamotorbikethjz7.jpg


Tunnel models ............

What are the economic benefit ambazo zitakuwa zina manufaa zaidi kwa taifa kutokana na meli kushindwa au kuchelewa kupita kuingia bandarini Dar Es Salaam kama daraja litajengwa? Je daraja hilo litakuwa la aina gani?

Kama tunnel zinaweza kujengwa, je kuna sababu zozote za msingi za kuchagua kujenga daraja?

Waliofanya hii feasibility study kama wapo wanaweza kutueleza makadirio ya hilo daraja? Je waliofanya hiyo study wali-consider all options?
 
Kwa wenzetu suala hili lingeishaingizwa kwenye public sphere. Likibuniwa vizuri, daraja ni asset kwa jiji. Madaraja kama Golden Bridge(San Francisco), Brooklyn Bridge( New York), Tower Bridge na Erasmus bridge ( Rotterdam, Netherlands)

Image:Erasmusbrug.jpg

Millenium bridge, London

Image:Mill.bridge.from.tate.modern.arp.jpg


Madaraja yote haya yanachangia kwa kiasi kikubwa utalii na identity ya miji yake. Lakini suala lingine ambalo linapaswa kuulizwa kabla ya kuendelea na hilo daraja ni hatma ya bandari ya Dar es Salaam.

Jee nafasi iliyomo inatosha kwa matumizi ya baadaye?

Jee value ya hiyo ardhi haistahili matumizi mbadala? Hii inatokana na ukweli kuwa sehemu zilizo kati ya mji na zinazoangalia bahari value yake ni juu sana. Miji mingi tuu imefanya uamuzi aidha wa kuhamisha bandari au kujitoa kabisa katika hiyo biashara na kubadilisha matumizi ya sehemu zilizokuwa bandari.Nadhani London na Liverpool ( Albert Dock ) wamefanya hivyo.

Je tunaweza kushindana na Mombasa na is it worth while?
Masuala yote haya yanatakiwa yaangaliwe kabla uamuzi wowote haujafanyika.
 
idprt102.jpg
idprt102b.jpg
idprt102c.jpg



t3050ertbrtunnelll2.jpg
womanridingamotorbikethjz7.jpg


Tunnel models ............

What are the economic benefit ambazo zitakuwa zina manufaa zaidi kwa taifa kutokana na meli kushindwa au kuchelewa kupita kuingia bandarini Dar Es Salaam kama daraja litajengwa? Je daraja hilo litakuwa la aina gani?

Kama tunnel zinaweza kujengwa, je kuna sababu zozote za msingi za kuchagua kujenga daraja?

Waliofanya hii feasibility study kama wapo wanaweza kutueleza makadirio ya hilo daraja? Je waliofanya hiyo study wali-consider all options?

Dua,

asante kwa picha.... wao wanasubiria 10 percent hapa na hakuna mwenye uchungu na nchi hiyo!
 
Kwa wenzetu suala hili lingeishaingizwa kwenye public sphere. Likibuniwa vizuri, daraja ni asset kwa jiji. Madaraja kama Golden Bridge(San Francisco), Brooklyn Bridge( New York), Tower Bridge na Erasmus bridge ( Rotterdam, Netherlands)

Image:Erasmusbrug.jpg

Millenium bridge, London

Image:Mill.bridge.from.tate.modern.arp.jpg


Madaraja yote haya yanachangia kwa kiasi kikubwa utalii na identity ya miji yake. Lakini suala lingine ambalo linapaswa kuulizwa kabla ya kuendelea na hilo daraja ni hatma ya bandari ya Dar es Salaam.

Jee nafasi iliyomo inatosha kwa matumizi ya baadaye?

Jee value ya hiyo ardhi haistahili matumizi mbadala? Hii inatokana na ukweli kuwa sehemu zilizo kati ya mji na zinazoangalia bahari value yake ni juu sana. Miji mingi tuu imefanya uamuzi aidha wa kuhamisha bandari au kujitoa kabisa katika hiyo biashara na kubadilisha matumizi ya sehemu zilizokuwa bandari.Nadhani London na Liverpool ( Albert Dock ) wamefanya hivyo.

Je tunaweza kushindana na Mombasa na is it worth while?
Masuala yote haya yanatakiwa yaangaliwe kabla uamuzi wowote haujafanyika.

kuna madai kuwa pesa za daraja zinatumika kwenye operesheni ya vita

sijui kuna ukweli kiasi gani lakini kwa Tanzania you cant rule anything out
 
Mkuu GT hiyo uliyotoa sasa ni kubwa ya mwaka,
lakini kwa serikali hii kila kitu kinawezekana.
 
Pope,
Picha hiyo baaabu kubwa...
Hicho kipande mkuu daraja linajengwa kirahisi sana tena kutokana na picha hii ya juu utaona kwamba inawezekana jengwa kutokea sehemu mbili tofauti -Tokea East south, kuaznia chini ya Posta ya zamani kuambaa na pwani ama Ocean road kama nilivyosema hapo awali, Pia yawezekana barabara zote mbili zikajengwa na zikakutana kuunda daraja moja la kuvukia hivyo kurahisisha usafiri wa toka pande zote mbili.
Hizi habari za bandari yetu, sijui utata wa meli zitakavyo weza pita kutokana na hilo daraja, mbona Cairo jamani kuna madaraja katikati ya mji yakivuka mto wa Suez Canal ambao una nafasi ndogo zaidi ya sehemu hii na meli kubwa zinapita bila wasiwasi?...Wamejenga vipi wao kiasi kwamba kwetu haiwezekani?
Tazameni picha za mji wa Cairo na madaraja yake kisha nambieni kama hili kweli ni tatizo ama ndio siasa zinatumika.
 
Ni Kweli Mkubwa Ina Kera Sana Hakuna Ulazima Wa Siasa Kwanza Ukiangalia Pale Kwa Idea Yako Mkubwa Mkandara Inawezekana Kabisa!! Hawa Malaysia Wanajenga Fly Over Kila Siku Traffic Lights Unazihesabu Basi Wachukue Hii Tech Yao Kama Wanaona Kwingine Ni Gharama.
 
Jamani, hivi hili swala la Ujenzi wa DARAJA LA Kigamboni, ni siasa za chuki za CCM dhidi ya CUF ama ni nini? Kwanini wananchi walipa kodi waeendelee kuteswa na kunyanyaswa kasasababu ya kiitikadi nadhanni sio fair!
Vivuko vilivyopo, ni pressure tupu. kila siku vibovu! Wanasubiri mpaka vipate ajali ndo waunde kamati ama ni nini? Jamani, hamwoni MUNGU atawahukumu vibaya?
Mi nashangaa sana, ukiona ni kwanamna gani Serikali inavyo losas mapato kutokana na shughuli za kiuchumi ambazio zingeweza kufanyika kutokana na kuwepo kwa Daraja, utasema kweli Viongozi wote waliopo Madarakani "they don't think properly" Au hatakama wanafikiri then they don't know tha ABCs za Economy opportunities!
Jamani, viopngozi muamke!
 
Acha hisia za kisiasa(ccm & caf) ndugu yangu, serikali kwa sasa imeshikwa pabaya, ama wewe uko nje ya tz? Habari za kigamboni kwa sasa ni hadithi rejea
 
Kuna taarifa kuwa kuna watawala ofisi kuu tatu za serikali ambao wana conspiracy daraja la kigamboni lisijengwe. Hii sitoileta kwa style muziki kama MKJJ lakini I wont hesitate to drop names.Hivyo nawaomba radhi wale ambao wataona majina ya hao watawala ambao wako karibu nao

Nipeni muda namalizia ku compile file zima


kuna madai kuwa pesa za daraja zinatumika kwenye operesheni ya vita

sijui kuna ukweli kiasi gani lakini kwa Tanzania you cant rule anything out

Mkuu GT, kwenye data compilation are we lucky au bado unajaziajazia??
 
Kuna taarifa kuwa kuna watawala ofisi kuu tatu za serikali ambao wana conspiracy daraja la kigamboni lisijengwe. Hii sitoileta kwa style muziki kama MKJJ lakini I wont hesitate to drop names.Hivyo nawaomba radhi wale ambao wataona majina ya hao watawala ambao wako karibu nao

Nipeni muda namalizia ku compile file zima

Bado tunasubiri hili faili kwani angalau tunangoja na sisi tuchumgulie huko ndani kuna nini?
 
Mkuu GT, kwenye data compilation are we lucky au bado unajaziajazia??

Bado tunasubiri hili faili kwani angalau tunangoja na sisi tuchumgulie huko ndani kuna nini?


info zote ziko tayari na kilichobaki ni kuzimwaga tuu...kama mtakumbuka nilikuleteeni kuhusus Membe na kiproject chake cha ID card na sasa mmekubali..hii ya daraja nayo nipeni max siku 14 nitawapa kila kitu...yaani tulipo na tunakokwenda
 
tunaamini GT kuwa siku 14 zako hazitokuwa sana na miezi 6 ya JK.
tutaanza kuhesabu kuanzia leo
 
tunaamini GT kuwa siku 14 zako hazitokuwa sana na miezi 6 ya JK.
tutaanza kuhesabu kuanzia leo

how long did it take kujua kama MEMBE ana chukua huu mradi wa ID cards? nilileta taarifa in January...magazeti yetu yakaja kucopy na kupaste ..ila wao waliamua kwenda more deep

sasa whats so difficult na hili la daraja..i only requested 14 days kuanzia kesho


 
Heshima mbele wakuu... Naona NSSF wameamka na kuturudishia moyo wa hili lidaraja letu...

Mkuu GT, nadhani ule muziki tulioahidiwa utatusaidia kuangalia hayo mkuu aliyosema (red and underlined)

Inatia moyo kuwa na hizo 6 lanes, hii inaonyesha kuna long term planning hapo..... Bravo to them!!! Kituo cha mabasi ya mikoa ya kusini, pia ni point up kuwe na distribution ya misongamano!!! Hilo la waenda kwa miguu ndio BEST of them all!!!

Sasa kwa hizi data chache naona ka moyo kangu kameanza kufunguka kwa hili swala!!

Mugu Ibariki Tanzania na watu wake!!!

Daraja la Kigamboni sasa kujengwa mwakani

2008-05-27 10:13:51
Na Mwandishi Wetu aliyekuwa Zanzibar


Baada ya wananchi kusubiri kwa muda mrefu na kuonekana kama hadithi za sungura na paka, umetolewa uthibitisho kwamba, daraja litakalounga eneo la katikati ya jiji la Dar es Salaam na Kigamboni litaanza kujengwa mwaka kesho.

Akiongea katika semina ya Wahariri mjini Zanzibar, Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSFI), Bw. Yakoub Kidula, alisema ujenzi wa daraja hilo unatazamiwa kuchukua muda wa miezi 24 kukamilika.

``Ujenzi wa hili daraja unatazamiwa kuanza katikati ya mwaka 2009 na pale utakapoanza rasmi tunatazamia kwamba utachukua kipindi cha miezi 24 kukamilika,`` alisema Bw. Kidula wakati akijibu maswali ya wahariri.

Alisema ujenzi wa daraja hilo ulionza kuratibiwa na serikali toka miaka 60, ulikuwa unakwama kwa sababu mbalimbali, kubwa ikiwa ni fedha.
``Yote yaliyochelewesha ujenzi wa hili daraja si mambo mabaya. Ni sababu ambazo zilikuwa zinalenga katika kupata ufanisi mzuri zaidi,`` alisema mkurugenzi huyo na kuongeza daraja hilo linatazamiwa kuwa na njia sita za kupita magari yatakayokuwa yanatozwa ushuru.

Hata hivyo alisema waenda kwa miguu hawatatozwa chochote.
Awali, mada kuhusu ujenzi wa daraja hilo ilikuwa itolewe na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau, lakini alipata msiba jijini Dar es Salaam na kulazimika kuondoka kabla hawajaiwasilisha.

Mapema akiwasilisha mada hiyo kwa niaba ya Dk. Dau, Mhandisi wa NSSF, Bw. John Msemo, alisema NSSF ilianza utafiti wa awali wa ujenzi wa daraja hilo unaotazamiwa kugharimu Euro milioni 45, mwaka 2003.

``Utafiti wa kina ulifanyika kati ya Juni na Agosti 2004, kisha tukawasilisha mapendekezo yetu serikalini,`` alisema Bw. Msemo.

Alisema ujenzi wa daraja hilo utakapokamilika utasaidia pia upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam.

``Mbali na kupunguza wingi wa watu katikati ya jiji, daraja pia litahamasisha ujenzi wa viwanda na majengo ya biashara kwa upande wa Kigamboni, mahoteli ya kitalii, nyumba zaidi za makazi na kituo cha mabasi ya kwenda mikoa ya kusini,`` alisema Mhandisi Msemo.

SOURCE: Nipashe, www.ippmedia.com
 
Back
Top Bottom