Maajabu USA

Maajabu USA

Kwanini kila jambo mnamsingizia mungu?? Kweni hayo majanga shetani hawezi yafanya. Acheni ujuha wa kumsingizia Mungu kila janga, mengine tunayadababisha sisi wenyewe kwa umbumbumbu wetu.

Usitegemee nitakujibu utumbo kama ulioaandika
 
BWANA YESU alisema mwonapo mambo haya yakitokea basi mjue mwisho wa dunia umekuja.
 
kama ni juha ni wewe shetani hawezi fanya bila mungu binfsi shetani pia ameumbwa na mungu jipe moyo lakini fahamu dunia ni njia tu.

Kwa hiyo unamaanisha kuwa Mungu ni mkatili, muuaji na anasababisha mateso na maumivu kwa binadamu aliowaumba yeye mwenyewe? Mi siamini hivyo, Mungu nimjuaye mimi ni mwenye huruma, anaponya mwenye subira ndio maana alituletea Yesu kuonyesha upendo wake kwetu ili tupate kuokoka. Na alisema kwamba hataiangamiza tena dunia hata kama kama akibaki mtu mmoja tu asiye na dhambi.
 
Angekuwa ni shehe ndo amezama wala kusingekuja kuanzisha thread kama hii.
Mambo ya kuvumisha eti uwezo wa allah kitoto cha miezi 7 eti kimekutwa kinapiga adhana,mara misri joka kubwa la limeuliwa kumbe kazi ya adobe,mara farao/firauni allah hamuozeshi mpaka leo ili amuumbue kwenye kizazi kipya wamuone.Mambo yenu yakupiga promotion kwenye hiyo dini ndo yanatufikisha hadi watoto wanakojolea vitabu vya mungu kupima huo uvumi wenu.Huwa nashangazwa sana eti mtu anatenda jambo la kumchokoza Mungu kama ile movie ya kumkashifu mtume wenu kabla msubiri Mungu ajibu mapigo mnaingilia kati kumsaidia Mungu wenu.Je mmejiuliza kwa nini Mungu aliweka moto/jahanam tambueni hivi jahanamu ipo kwa wenye dhambi tangu dunia kuumbwa hadi wadhambi wa leo so swala kuhukumu lipo mikononi mwa Mungu wala sio kwa binadamu.
Matendo na mafunzo mengine yatolewayo na baadhi ya waislamu yanapelekea kuudhalilisha uislamu hadi tunakosa kuvutiwa kuingia kwenye dini hii ambayo imekuwa chanzo cha vurugu na mauaji yatokeayo pande mbalimbali za dunia zenye uwepo wa watu wa dini hii.
Mods sina nia mbaya ila katika hali ya kuelimishana nimeguswa kuandika haya.
MUNGU MPENDA AMANI AWABARIKI SANA(kama we ni mpenda amani sema ameeen....kiroho safi kwani shii ngapi?)
 
Angekuwa ni shehe ndo amezama wala kusingekuja kuanzisha thread kama hii.
Mambo ya kuvumisha eti uwezo wa allah kitoto cha miezi 7 eti kimekutwa kinapiga adhana,mara misri joka kubwa la limeuliwa kumbe kazi ya adobe,mara farao/firauni allah hamuozeshi mpaka leo ili amuumbue kwenye kizazi kipya wamuone.Mambo yenu yakupiga promotion kwenye hiyo dini ndo yanatufikisha hadi watoto wanakojolea vitabu vya mungu kupima huo uvumi wenu.Huwa nashangazwa sana eti mtu anatenda jambo la kumchokoza Mungu kama ile movie ya kumkashifu mtume wenu kabla msubiri Mungu ajibu mapigo mnaingilia kati kumsaidia Mungu wenu.Je mmejiuliza kwa nini Mungu aliweka moto/jahanam tambueni hivi jahanamu ipo kwa wenye dhambi tangu dunia kuumbwa hadi wadhambi wa leo so swala kuhukumu lipo mikononi mwa Mungu wala sio kwa binadamu.
Matendo na mafunzo mengine yatolewayo na baadhi ya waislamu yanapelekea kuudhalilisha uislamu hadi tunakosa kuvutiwa kuingia kwenye dini hii ambayo imekuwa chanzo cha vurugu na mauaji yatokeayo pande mbalimbali za dunia zenye uwepo wa watu wa dini hii.
Mods sina nia mbaya ila katika hali ya kuelimishana nimeguswa kuandika haya.
MUNGU MPENDA AMANI AWABARIKI SANA(kama we ni mpenda amani sema ameeen....kiroho safi kwani shii ngapi?)

Ameeeen!!!!!
 
Jamani tujiulize hii sinkhole inasababishwa na nini na kwanini itokee eneo hilo? Mawazo yangu nilikuwa nifikiri labda ni shimo lililokuwa limechimbwa na wajengaji nyumba husika kama escaping hole wakati wa Danger. Kama sii hivyo inabidi tuumize kichwa zaidi ya jibu jepesi kuwa ni jambo la kawaida tu. Akili zangu zinakataa kushawishika kuwa ni issue ya kawaida.
.
 
Mambo ya Mungu hayo!! Anayebisha atuambie ni kwa nini hili Shimo litokee chumbani kwake tena akiwepo peke yake na si mahali pengine?? Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
yes man!u have made my day.Thankx God
 
Angekuwa ni shehe ndo amezama wala kusingekuja kuanzisha thread kama hii.
Mambo ya kuvumisha eti uwezo wa allah kitoto cha miezi 7 eti kimekutwa kinapiga adhana,mara misri joka kubwa la limeuliwa kumbe kazi ya adobe,mara farao/firauni allah hamuozeshi mpaka leo ili amuumbue kwenye kizazi kipya wamuone.Mambo yenu yakupiga promotion kwenye hiyo dini ndo yanatufikisha hadi watoto wanakojolea vitabu vya mungu kupima huo uvumi wenu.Huwa nashangazwa sana eti mtu anatenda jambo la kumchokoza Mungu kama ile movie ya kumkashifu mtume wenu kabla msubiri Mungu ajibu mapigo mnaingilia kati kumsaidia Mungu wenu.Je mmejiuliza kwa nini Mungu aliweka moto/jahanam tambueni hivi jahanamu ipo kwa wenye dhambi tangu dunia kuumbwa hadi wadhambi wa leo so swala kuhukumu lipo mikononi mwa Mungu wala sio kwa binadamu.
Matendo na mafunzo mengine yatolewayo na baadhi ya waislamu yanapelekea kuudhalilisha uislamu hadi tunakosa kuvutiwa kuingia kwenye dini hii ambayo imekuwa chanzo cha vurugu na mauaji yatokeayo pande mbalimbali za dunia zenye uwepo wa watu wa dini hii.
Mods sina nia mbaya ila katika hali ya kuelimishana nimeguswa kuandika haya.
MUNGU MPENDA AMANI AWABARIKI SANA(kama we ni mpenda amani sema ameeen....kiroho safi kwani shii ngapi?)
ndugu yangu rais wetu,viongozi wa serikali,viongozi wa dini zetu zote wametuasa tuache udini.wewe bado huwezi kuchangia bila kuweka udini?ulaaniwe wewe na sh.ILUNGA
 
Angekuwa ni shehe ndo amezama wala kusingekuja kuanzisha thread kama hii.
Mambo ya kuvumisha eti uwezo wa allah kitoto cha miezi 7 eti kimekutwa kinapiga adhana,mara misri joka kubwa la limeuliwa kumbe kazi ya adobe,mara farao/firauni allah hamuozeshi mpaka leo ili amuumbue kwenye kizazi kipya wamuone.Mambo yenu yakupiga promotion kwenye hiyo dini ndo yanatufikisha hadi watoto wanakojolea vitabu vya mungu kupima huo uvumi wenu.Huwa nashangazwa sana eti mtu anatenda jambo la kumchokoza Mungu kama ile movie ya kumkashifu mtume wenu kabla msubiri Mungu ajibu mapigo mnaingilia kati kumsaidia Mungu wenu.Je mmejiuliza kwa nini Mungu aliweka moto/jahanam tambueni hivi jahanamu ipo kwa wenye dhambi tangu dunia kuumbwa hadi wadhambi wa leo so swala kuhukumu lipo mikononi mwa Mungu wala sio kwa binadamu.
Matendo na mafunzo mengine yatolewayo na baadhi ya waislamu yanapelekea kuudhalilisha uislamu hadi tunakosa kuvutiwa kuingia kwenye dini hii ambayo imekuwa chanzo cha vurugu na mauaji yatokeayo pande mbalimbali za dunia zenye uwepo wa watu wa dini hii.
Mods sina nia mbaya ila katika hali ya kuelimishana nimeguswa kuandika haya.
MUNGU MPENDA AMANI AWABARIKI SANA(kama we ni mpenda amani sema ameeen....kiroho safi kwani shii ngapi?)
ndugu yangu rais wetu,viongozi wa serikali,viongozi wa dini zetu zote wametuasa tuache udini.wewe bado huwezi kuchangia bila kuweka udini?ulaaniwe w.e.we na sh.I.LU.NG.A
 
ndugu yangu rais wetu,viongozi wa serikali,viongozi wa dini zetu zote wametuasa tuache udini.wewe bado huwezi kuchangia bila kuweka udini?ulaaniwe w.e.we na sh.I.LU.NG.A

Laana yako ikurudie kwa nyuma huko.
Usinichanganye na huyo mburura bora ungenipa laana yangu mwenyewe private.
 
The trouth will be revealed and everything will be shown clearly, none hidden will remain but concerning the time and season justify we end up.
 
Pole J Bush, nyumba ilijengwa kwenye koromeo la dunia, koromeo limetoboka limemmeza J. Bush pole George W Bush.
 
Hata enzi za Musa wa kwenye Bible kulikuwa na SINKHOLES: Numbers 16:31-33 As soon as he finished saying all this, the ground under them split apart and the earth opened its mouth and swallowed them, with their households and all Korah's men and all their possessions. They went down alive into the grave, with everything they owned; the earth closed over them, and they perished and were gone from the community.
 
Allah is great!
kila kitu tukimuachia Mungu mwishowe naye atatushangaa maana alivyomuumba binadamu alimpa akili ili azitumie na sio kukaa tu na kuangalia. Ndio maana magonjwa yapo lakini binadamu wana akili ya kutafuta dawa, njaa ipo wana akili ya kutafuta chakula nk.
 
hembu angalia hizi facts juu ya matukio kama haya:

[h=1]Who, What, Why: How are sinkholes formed?[/h]
A Florida man whose bedroom was engulfed by a sinkhole as he slept is presumed dead. How - and where - do sinkholes open up?
Sinkholes, or dolines, often take thousands of years to form and vary hugely in size.

The deepest is China's Xiaozhai Tienkeng at 2172ft (662m). The Qattara Depression in Egypt is roughly 50 miles (80km) by 75 miles (121km) in surface size.

But often sinkholes can be only a few metres in diameter.
They are usually the result of what are known as Karst processes. They happen when a layer of rock underneath the ground is dissolved by acidic water.

Usually this layer is a soluble carbonate rock, such as limestone or its purer form, chalk. Florida is particularly prone to sinkholes as the entire state has limestone underneath it.
 
kila kitu tukimuachia Mungu mwishowe naye atatushangaa maana alivyomuumba binadamu alimpa akili ili azitumie na sio kukaa tu na kuangalia. Ndio maana magonjwa yapo lakini binadamu wana akili ya kutafuta dawa, njaa ipo wana akili ya kutafuta chakula nk.

kila kitu kilichomo humu ni mali yake yeye hata hizo akili ulizonazo ni zake.wenye akili si hao wanatafuta chanzo na wanaogopa kuingia ndani kuhofia usalama wao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom