Angekuwa ni shehe ndo amezama wala kusingekuja kuanzisha thread kama hii.
Mambo ya kuvumisha eti uwezo wa allah kitoto cha miezi 7 eti kimekutwa kinapiga adhana,mara misri joka kubwa la limeuliwa kumbe kazi ya adobe,mara farao/firauni allah hamuozeshi mpaka leo ili amuumbue kwenye kizazi kipya wamuone.Mambo yenu yakupiga promotion kwenye hiyo dini ndo yanatufikisha hadi watoto wanakojolea vitabu vya mungu kupima huo uvumi wenu.Huwa nashangazwa sana eti mtu anatenda jambo la kumchokoza Mungu kama ile movie ya kumkashifu mtume wenu kabla msubiri Mungu ajibu mapigo mnaingilia kati kumsaidia Mungu wenu.Je mmejiuliza kwa nini Mungu aliweka moto/jahanam tambueni hivi jahanamu ipo kwa wenye dhambi tangu dunia kuumbwa hadi wadhambi wa leo so swala kuhukumu lipo mikononi mwa Mungu wala sio kwa binadamu.
Matendo na mafunzo mengine yatolewayo na baadhi ya waislamu yanapelekea kuudhalilisha uislamu hadi tunakosa kuvutiwa kuingia kwenye dini hii ambayo imekuwa chanzo cha vurugu na mauaji yatokeayo pande mbalimbali za dunia zenye uwepo wa watu wa dini hii.
Mods sina nia mbaya ila katika hali ya kuelimishana nimeguswa kuandika haya.
MUNGU MPENDA AMANI AWABARIKI SANA(kama we ni mpenda amani sema ameeen....kiroho safi kwani shii ngapi?)