Maajabu hayaishi Tanzania. Kijana amemaliza chuo hana ajira lakini anaishabikia CCM

Ajira ni tatizo la dunia nzima wala usijidanganye kuwa Chadema wakibahatika kuchukua nchi watamaliza tatizo la ajira Tanzania.

Pia wapinzani mmekua mkilia kuwa katiba inakandamizwa wakati huo huo unasahau kuwa katiba imetoa uhuru kwa mwananchi yeyote kuchagua kuwa mwanachama wa chama chochote kadri itakavyompendeza.
Tukiongelea matatizo CCM ina leta comparison za duniani huko ni hivi hivi, tukija kwenye Uhuru na democracy mnasema hii nchi ni yetu tuna mambo yetu sio lazma tufanye kama wengine. . hovyo kabisa
 
Tukiongelea matatizo CCM ina leta comparison za duniani huko ni hivi hivi, tukija kwenye Uhuru na democracy mnasema hii nchi ni yetu tuna mambo yetu sio lazma tufanye kama wengine. . hovyo kabisa
Mnataka tuwajibu kile mnachotaka kukisikia hilo haliwezekani comrade pole tuvumiliane tu
 
Sasa ulienda kusoma CCM au ili uajiriwe kwanza hata wasiajiriwe Mana wakiwaga chuoni wanaendekezaga Bata
 
Kuhusu kada ya madaktari na walimu nenda kafanye research ya kutosha ndo uje tujadiliane. Nakuahidi saa sita mchana nitakuja na data za kutosha.

Najiandaa kwenda kwenye ujenzi wa taifa siwezi kuweka kila kitu kwa muda huu.
Nikafanye research ili kufahamu nini?! Btw, tangu lini Watete wa Magu mkaweza kuongea kwa kutumia data?!

Tuchukue tu mfano mdogo wa Waalimu... nimekupa mfano hai wa uhaba wa Walimu wa Sayansi uliokuwepo nchini kwa miongo kadhaa sasa!

Gazeti la Serikali, yaani Habari leo linatukumbusha:-
Inaelezwa kwamba kutokana na mahitaji ya sayansi na hisabati yanayozidi kuongezeka siku hadi siku, kwa mfumo wa sasa wa kuandaa walimu, italichukua taifa siyo chini ya miaka 13 kuweza kupata walimu wa kuziba upungufu uliopo katika masomo hayo.

Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi za mwaka 2013/14, mahitaji ya jumla ya walimu wa masomo ya sayansi na hisabati kwa shule za msingi na sekondari ni 41,065, lakini waliopo ni walimu 14,067 pekee na hivyo kuwepo kwa upungufu wa walimu 26,998.
Hiyo ni kutoka Habari Leo May 21, 2014.

Na Official Report Summary ni hii hapa:-

Report.png


Kutokana na hilo, serikali ikaita "ma-jobless" ambao walimaliza Form VI miaka ya nyuma ili ikawasomeshe Special Advance Diploma (Science & Maths) FREE na kuwaahidi ajira, lakini waliojitokeza walikuwa wachache sana!!

Baada ya kuona hivyo, serikali hiyo hiyo ikaita Walimu Wastaafu wa masomo wa Sayansi kwa ahadi ya kuwapa mikataba mingine, waliojitekeza walikuwa less than 100.

Baada ya kugonga mwamba njia zote mbili, ndipo wakaanzisha ile 3 years Special Diploma (Science & Maths) pale UDOM ili madogo wakiwa bado na mzuka wa Sayansi wa O-Level, wawadake huko b4 A-Level. Alipofika Magu, akautangazia umma kwamba wale madogo ni Vilaza, na kwahiyo akaifuta hiyo Special Diploma!

Now tell me: Kabla ya kunitaka nikafanye research, tangu Magu aingie madarakani ameleta strategy gani ya kutatua hilo tatizo?!

Kwa kumbukumbu zangu, strategy ya Magu kutatua hilo tatizo ni hii hapa:-



Waziri Jafo huyo akilihutubia Bunge June 2016, na ukimsikiliza utaona anazungumzia strategies zile zile ambazo zilitumika Awamu ya IV lakini zikashindwa!!

Sasa kama mwaka 2014 Wastaafu na watu waliosoma Sayansi lakini hawakupatikana wa kutosha, hiyo 2016 Jafo angewatolea wapi hao watu?!

Haya, weka hizo data ulizosema utaweka zinazoonesha uhaba wa walimu zaidi ya 20K (wa Sayansi peke yake) uliokuwepo mwaka 2016 hatimae umeisha au kupungua angalau kwa 50%!
 
Suala la kuishakinia CCM lina mambo mengi:

- Mambo ya udini ( may be anasali kwa Gwajima, na kwake Gwajima ni kama mungu )
- Ukabila ( may be ni msukuma na hivyo analazimika kumsurpot anaeongea Kisukuma hata kama anamuumiza

- Labda ni msukule wa msanii fulani, na mfano usimtegemee [
innocent dependent au Chinga One wakashabikia chama tofauti na cha mungu wao
- Pili kuna suala la chuki tu, mtu hapendi chama shindani au mgombea wake
- Tatu ni mazoea tu kama ya chama cha baba na mama, so na yeye yumo tu
- Kuna uzwazwa tu mtu hajui hata matatizo aliyonayo nani kasababisha, so yupoyupo kama shabiki la mpira
 
Ajira ni tatizo la dunia nzima wala usijidanganye kuwa Chadema wakibahatika kuchukua nchi watamaliza tatizo la ajira Tanzania.

Pia wapinzani mmekua mkilia kuwa katiba inakandamizwa wakati huo huo unasahau kuwa katiba imetoa uhuru kwa mwananchi yeyote kuchagua kuwa mwanachama wa chama chochote kadri itakavyompendeza.
Kwani ni wapi mtoa mada kasema CHADEMA ikichukua Nchi itamaliza tatizo LA ajira?
 
Suala la kuishakinia CCM lina mambo mengi:

- Mambo ya udini ( may be anasali kwa Gwajima, na kwake Gwajima ni kama mungu )
- Ukabila ( may be ni msukuma na hivyo analazimika kumsurpot anaeongea Kisukuma hata kama anamuumiza

- Labda ni msukule wa msanii fulani, na mfano usimtegemee [
innocent dependent au Chinga One wakashabikia chama tofauti na cha mungu wao
- Pili kuna suala la chuki tu, mtu hapendi chama shindani au mgombea wake
- Tatu ni mazoea tu kama ya chama cha baba na mama, so na yeye yumo tu
- Kuna uzwazwa tu mtu hajui hata matatizo aliyonayo nani kasababisha, so yupoyupo kama shabiki la mpira
Umemaliza chief.
Ninafanya kazi na wafuasi kindakindaki wawili wa Gwajima., Wale miaka 3 Nyumba walikuwa wana CHADEMA lakini leo hii ni wana CCM.
 
Ni kweli ajira ni tatizo la dunia mzima lakini ni taifa la kipumbavu peke yake ndiyo litaacha waalimu na madaktari mtaani wakati shule na hospitali hazina wanataaluma husika lakini hapo hapo taifa linapoteza millions of dollars kuwekeza kwenye crazy projects kama ndege huku likijigamba linanunua ndege kwa cash!

Kwa miaka nenda rudi nchi ina uhaba mkubwa wa Walimu wa Sayansi! Baada ya kila njia kushindikana, ikawa introduced 3 years Special Diploma (Science & Maths) ili kukabiliana na uhaba huo!

Magu kaingia, kaifuta ile special diploma; watu tukawa tunasubiria alternative plan, miaka 5 inakata sasa no plan!!!

Hakuna taifa duniani linaweza kufanya ujinga kama huo unless liwe na leadership kama ya Magufuli na ndio maana hadi kesho hawajaona umuhimu wa ku-cover hizo kada muhimu kwa ustawi wa jamii!
Tatizo ni akili ndogo ya Magufuli. Sijui alipataje ile PhD yake.
 
Kuna classmates wangu kadhaa nawaona mitandaoni hasa Facebook wakiwa ndani ya nguo za CCM. Kwakuwa Mimi ni Mwajiriwa wa Serikali hii basi wanajua mimi ni mwana CCM pia. Nikiwahoji wanafanya kazi gani wanabaki kulia njaa tu na kunipiga mizinga au connection.

Serikali si lazima ikuajiri lakini inapaswa kutengeneza mazingira ya vijana kuajiriwa tena si kama vibarua bali ajira rasmi. Ajira ni haki ya kijana yeyote ndio maana watoto wa viongozi karibu wote ni waajiriwa.

Sasa vijana hawa jobless sijui wamerogwa na nani, hawana kazi guarantee lakini wanakisifia chama kilichoua ndoto zao. Biashara au kilimo vinafana ukiwa na kazi au mtaji mnono.
Hivi hadi sasa akili yenu inawatumeni kuwa ukisha soma elimu ya juu ni lazima serikali iwaajirini?? Kama fikra ni hizo, inabidi mngojee peponi maana kwenye dunia ya sasa dhana hiyo imeyayuka kabisa kwani hata huko dunia ya kwanza ni vivo hivyo.
 
Hivi hadi sasa akili yenu inawatumeni kuwa ukisha soma elimu ya juu ni lazima serikali iwaajirini?? Kama fikra ni hizo, inabidi mngojee peponi maana kwenye dunia ya sasa dhana hiyo imeyayuka kabisa kwani hata huko dunia ya kwanza ni vivo hivyo.
Watoto wa viongozi wa umma wenye mitaji mikubwa watoto wao wanaajiriwa katika nafasi za kiuongozi . Ila wewe unawaambia watoto wa maskini wakajiajiri kuuza viatu chini Kariakoo.
Wewe nawe ni maajabu pia .
Haya niambie juhudi walizoziweka CCM za kumfanya kijana ajiajiri na afurahie kazi yake?
 
Watoto wa viongozi wa umma wenye mitaji mikubwa watoto wao wanaajiriwa katika nafasi za kiuongozi . Ila wewe unawaambia watoto wa maskini wakajiajiri kuuza viatu chini Kariakoo.
Wewe nawe ni maajabu pia .
Haya niambie juhudi walizoziweka CCM za kumfanya kijana ajiajiri na afurahie kazi yake?
Mimi ninaona hizo ni chuki za kimasikini ambazo ni donda ndugu kwa vijana.
Hapa sizungumzii CCM wala Chama chochote cha siasa na kama kuna chama cha siasa kinaahidi ajira kwa wasomi wote, basi chama hicho ni feki.
Ajira ninavyofahamu inaenda na mahitaji (ikama) Kuna kipindi nchi yetu ilikuwa inaajiri vijana bila ya kufuata mahitaji ikajikuta ina wafanyakazi wengi na ufanisi ulishuka kiasa ilibidi baadhi ya wafanyakazi wapungunzwe.
Kurudi kwenye mada Ajira maana yake ni shughuli yoyote ile (halali)ambayo inaweza kukuletea kipato. Kuwa Tajiri siyo lazima uanze na mtaji mkubwa. Nitakupa mifano miwili tofauti
1. Marehemu Mzee Mengi. Mzee huyu alizaliwa kwenye familia masikini sana ila alifanya vizuri sana masomoni na akawa moja ya vijana wa
mwanzo kupata hati ya ACCA. Alipata kazi nzuri tu kwa wakati ule, lakini hakuridhika na kuajiriwa aliacha kazi. Aliangalia fursa zilizopo na moja
wapo ni kalamu za kuandikia. Alianza mradi huo akishirikiana na mkewe na huo ndiyo ukawa mwanzo wa mafanikio yake kwani kiu ya
maendeleo iliwaendesha kiasi cha kuwa mwanzo wa uwekezaji ambao hadi leo unaendelea ingawa wenye wametangulia mbele ya haki.

2. Mzee Bakhressa. Huyu kwao unguja kazi kubwa familia yake ilikuwa inafanya ni kutengeneza viatu makubadhi pamoja na viatu vya sandal za
ngozi. Alihamia Dar na kuanza shughuli hizo hapa kwa kuwa aliamini kuna soko kubwa la bidhaa hizo. pole pole akajiingiza kwenye
mgahawa. Kutoka hapo alianza kutengeneza mikate kwa watu wa kariako. Amekuwa akipanua biashara na kuwekeza kiasi cha hivi leo, ni
mmoja ya watu matajiri sana.

Nitakupa mfano hai ambao miimi nimeshuhudia. Nilikuwa na shughuli maeneo ya gerezani. Kulikuwa na kijana mmoja mwenye umri wa miaka 14. Huyu asubuhi alikuwa anauza tangawizi na maandazi , mchana anauza karanga na sigara na jioni alikuwa ana uza kahawa.
Nilizoweana naye sana kiasi cha yeye kunihadithia kuwa alikimbia nyumbani kwao usambaani kutokana na umaskini wa wazazi wake na alitoroka kuja Dar na mwenzake ambaye alikuwa anafanya shughuli kama hiyo .
Miaka mingi ilipita bila kuonana naye. Miaka ya karibuni nilibahatika kuonanan naye alikuwa amebadilika sana. Katika maongezi aliniambia kuwa kipindi kile alikuwa anahangaika karibu masaa 15 na alikuwa hana mapumziko kabisa ukiondoa wakati akiumwa.
Kutokana na kuchukia umaskini uliozonga familia yake na jitihada alizochukua kufukuza umasikini. Leo hii yule kijana amekuwa mtu mzima na amefanikiwa sana kimaisha kwani ana biashara ambazo zimezagaa kariako, naye sasa ameajiri vijana na pia akiwa na mjengo wa ghorofa ia biashara eneo hilo hilo la gerezani . Watoto wake wanapata elimu bora kabisa.Watoto wake kwenye shule nzuri sana.hizo ndizo kiu za maendeleo.

Aina ya watu kama nyinyi ambao mnapenda kulalamika tuu mtaishia hivyo hivyo hata serikali ikichukuliwa na vyama vingine mtabaki hivyo kutokana na 'attitude yenu'
Miaka ya mwanzoni tuliambiwa kuwa na adui 3 yaani ujinga, umasikini na maradhi. Mimi ni ninaamini ujinga ukiondoka baada ya kupata elimu, maradhi na umaskini ni lazima uondoke .
 
Kuna classmates wangu kadhaa nawaona mitandaoni hasa Facebook wakiwa ndani ya nguo za CCM. Kwakuwa Mimi ni Mwajiriwa wa Serikali hii basi wanajua mimi ni mwana CCM pia. Nikiwahoji wanafanya kazi gani wanabaki kulia njaa tu na kunipiga mizinga au connection.

Serikali si lazima ikuajiri lakini inapaswa kutengeneza mazingira ya vijana kuajiriwa tena si kama vibarua bali ajira rasmi. Ajira ni haki ya kijana yeyote ndio maana watoto wa viongozi karibu wote ni waajiriwa.

Sasa vijana hawa jobless sijui wamerogwa na nani, hawana kazi guarantee lakini wanakisifia chama kilichoua ndoto zao. Biashara au kilimo vinafana ukiwa na kazi au mtaji mnono.
Ndio anatafutia ajira huko usijeshangaa akawa DAS
 
Haya ni mawazo ya kipumbavu. Unaumizwa , unaishi kwenye chumba kimoja kama store kichwani una degree unaishabikia CCM ili ukumbukwe siku moja.
Mkuu mi nlisoma na Julius Kalanga, yeye kawa mbuge wa Monduli mi napambana na hali yangu. Haya mambo yapo wanabebana hao
 
Back
Top Bottom