Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,811
- 2,765
Nimesikiliza kwa makini Wapo FM ikiwahoji waumini wa Kanisa la Waadventist wa Sabato ambao kwa maelezo yao wamesafiri toka sehemu mbali mbali nchini kuja Dar es Salaam kwa lengo la kusafiri kwenda nchi za Ulaya, Arabuni na Afrika kuhubiri. Cha ajabu wapo hapa Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar wakisubiri kusafiri kwenda Iran, Iraq, Cameroun, Ufaransa na nchi nyingine LAKINI BILA PASSPORT WALA VISA.
Last edited: