Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,724
Mkuu Ritz,wengi wao si raia wa Tanzania na ndio maana wanakosa uzalendo na kuwadhihaki viongozi wetu
Ritz ....kwenye suala hili tuweke siasa Pembeni...tuwe Kama Taifa....tuendelee kuhubiri uzalendo ...sana....
Hawa walio anti-government labda sio watanzania.....Kama ni watanzania wakweli wanalo jukumu la kusimama kulinda nchi....na wasifikiri utani katiba Imetoa Hilo jukumu kwa watanzania wote .........Kama wapo wasaliti adhabu ya usaliti....Katika Hali Kama hii inajulikana wazi ...is death by firing squad ........sio utani !!!!!....