M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

Wa Tz hata hawana imani na jeshi lao, kwani limegeuka jeshi la ccm badala ya kuwa jeshi la Wananchi wa Tz...
Kitendo cha kuwapiga raia kimenifanya nilichukie serios Jwtz...acha watekwe tu tutatafuta wengine wa kwenda kuwatoa kafara huko..

Grow up kid......
 
Kagame anamtafuta wa kumfia mikononi,Tanzania sio JK dakika 45 zinatutosha kuizika tarafa ya Rwanda
...ukubwa wapua si wingi wa kamsi, marekani na uwezo wake wooote kachemsa kwa "taliban camp" sikuhizi vita haiendi kama unavyo fikiria...
 
Tokana na habari za
zilizorushwa Twitter na M23 ni kuwa wamemkamata askari wa Tanzania ambae
yupo kwenye mission ya UN CONGO. Hata hivyo hiyo habari bado haina
uhakika kama ni kweli ama uongo kwa misingi kuwa hawajatoa ushahidi
wowote wa tukio hilo zaidi ya kutaja kuwa wana Passport ya askari huyo
na silaha.

--------------------------

attachment.php

hizo ndo propaganda feki za kagame. naona ameanza kutishika na muziki unaoendelea pale congo. lengo lake watanzania wakate tamaa kumbe ndo anazidisha mashambulizi. kagame na m23 wake wajisalimishe la sivyo watafanyiwa kitu mbaya sana
 
Somehow is a good lesson, mtwara wanabaka,wanapiga na kuua ndugu zao huku wakishangilia! Chezea m23 weye.

Akili kama hizi zinaonyesha Tanzania bado tuna safari ndefu kweli
Hivi weye kapuku huna ndugu au jamaa yako yeyote Polisi au Mwanajeshi?
 
Wa Tz hata hawana imani na jeshi lao, kwani limegeuka jeshi la ccm badala ya kuwa jeshi la Wananchi wa Tz...
Kitendo cha kuwapiga raia kimenifanya nilichukie serios Jwtz...acha watekwe tu tutatafuta wengine wa kwenda kuwatoa kafara huko..

Pumbaf, mas.b.u.r.i yako, yaani unaonekana wewe ni mkongo kabisa, Wanajeshi sio polisi, sio bure umerogwa.
Heche ona kijana wako alivyokosa mwelekeo sasa, hajui siasa ni ipi na JWTZ ni lipi. Tatizo la kumeza kila kitu unadesa mpaka nyeti zako.
 
Badala ya kulinda nchi yetu dhidi ya mafisadi wanaoua tembo na kuuza wanyama, na wahamiaji haramu mnawapeleka kwenda kufa huko sudani na kongo... Inafika mahala nchi yetu inalindwa na fbi.. Ebu angalia walivyojaa kwenye paa za ikulu! Alafu mnasema mko salama..hivi jwtz ilishindwa kupanda huko kwenye mapaa mpaka wapande fbi! Ni aibu sana kwa hii nchi maskini..
 

Attachments

  • usa ikulu.jpg
    usa ikulu.jpg
    13.3 KB · Views: 184
  • jwtz.jpg
    jwtz.jpg
    24.7 KB · Views: 202
  • 201271012205601166_8.jpg
    201271012205601166_8.jpg
    120.6 KB · Views: 166
...ukubwa wapua si wingi wa kamsi, marekani na uwezo wake wooote kachemsa kwa "taliban camp" sikuhizi vita haiendi kama unavyo fikiria...
Gefu Ndiwumana

 
Wa Tz hata hawana imani na jeshi lao, kwani limegeuka jeshi la ccm badala ya kuwa jeshi la Wananchi wa Tz...
Kitendo cha kuwapiga raia kimenifanya nilichukie serios Jwtz...acha watekwe tu tutatafuta wengine wa kwenda kuwatoa kafara huko..

...wapigwe tu,wapigwe...
 
Badala ya kulinda nchi yetu dhidi ya mafisadi wanaoua tembo na kuuza wanyama, na wahamiaji haramu mnawapeleka kwenda kufa huko sudani na kongo... Inafika mahala nchi yetu inalindwa na fbi.. Ebu angalia walivyojaa kwenye paa za ikulu! Alafu mnasema mko salama..hivi jwtz ilishindwa kupanda huko kwenye mapaa mpaka wapande fbi! Ni aibu sana kwa hii nchi maskini..

Unaweza kudhani umeongea bonge la point............lakini ukweli ni kwamba you dont know what you're talking about
 
Mkuu njiwa,

Huyo jamaa huwa ananichekesha sana kaenda mbali zaidi anakuambia CCM itatolewa madarakani na mataifa jirani kwa vita...teh teh teh, ganja mbaya.

CC: chama,

Mkuu Ritz
Cha Pele hicho sio mchezo asubuhi mapema hii hata chai hajapata kakimbilia kupiga bati!!
 
Last edited by a moderator:
Tusipuuze kila wanachosema m23 , mavitambi ya askari wa Tanzania nayo ni tatizo kubwa sana kwenye mambo ya vita , kila kambi mabia ya xtreme ! Mtaacha kuchapwa kweli ? Ukubwa wa pua siyo uwingi wa kamasi.
 
Tusipuuze kila wanachosema m23 , mavitambi ya askari wa Tanzania nayo ni tatizo kubwa sana kwenye mambo ya vita , kila kambi mabia ya xtreme ! Mtaacha kuchapwa kweli ? Ukubwa wa pua siyo uwingi wa kamasi.
Mkuu acha unafiki bana
We umewaona waliopelekwa huko wanavitambi?
Mbona watu mmejengeka vibaya hivi? kupinga na kuponda kila kitu
Au unadhani JWTZ hawafatilii kujua ukweli?
 
vitani chochote chaweza kutokea. umeambiwa wanajeshi wa tanzania ni majini kiasi kwamba hawawezi kamatika?. jwtz inabidi wawe makini ciz wanawindwa. mia

Msijali hiyo ni mbinu mojawapo ya kivita huyo aliyekamatwa ni COMMANDOO amejipeleka ili akapate information zaidi kuhusu M23 akishamaliza kazi anarudi na atarudi kwa njia ya ajabu chezea COMMANDOO
 
Back
Top Bottom