M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

Mkuu nikuambie tu kwamba Kagame ana wapinzani lukuki toka jeshini kwake; Kumbuka akina Gen. Kayumba Nyamwasa, Col. Karegeya na Brig. Gen. Kazaura walishamkimbia na wanamfahamu vizuri na hilo Gen. Kagame analijua. Pia ana wapinzani wengi tu wa Kabila la Hutu wala si wa kutafuta japo hakuna haja ya kufanya hivyo. Kwa upande wa Museveni naye ukumbuke kwamba kuna watu wake wa ndani walishamkimbia. Hawa ni kama Gen. David Sejusa (Tinyefunza), akina Gen. Mugisha Muntu, Col. Basigye nk. Ukiona watu kama hao yaani high ranking army officers wanakumbia basi ujue upinzani ni mkubwa ndani ya jeshi kwani nao huwa wana wapiganaji ambao wanawaunga mkono kinachosubiriwa ni cheche tu na moto uwake! Tusiende huko. Gen. Kagame na propaganda zake zinakaribia kufikia mwisho.

Asante kwa kunijuza.
 
Mkuu nikuambie tu kwamba Kagame ana wapinzani lukuki toka jeshini kwake; Kumbuka akina Gen. Kayumba Nyamwasa, Col. Karegeya na Brig. Gen. Kazaura walishamkimbia na wanamfahamu vizuri na hilo Gen. Kagame analijua. Pia ana wapinzani wengi tu wa Kabila la Hutu wala si wa kutafuta japo hakuna haja ya kufanya hivyo. Kwa upande wa Museveni naye ukumbuke kwamba kuna watu wake wa ndani walishamkimbia. Hawa ni kama Gen. David Sejusa (Tinyefunza), akina Gen. Mugisha Muntu, Col. Basigye nk. Ukiona watu kama hao yaani high ranking army officers wanakumbia basi ujue upinzani ni mkubwa ndani ya jeshi kwani nao huwa wana wapiganaji ambao wanawaunga mkono kinachosubiriwa ni cheche tu na moto uwake! Tusiende huko. Gen. Kagame na propaganda zake zinakaribia kufikia mwisho.

Asante mkuu wape somo Gen Kayumba yupo South muda si mrefu JK Atamwita DSM
 
Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?

Ni kwa Sababu Ya Kumchoka JK na CCM yake.
So yeyote atakaye jitokeza Kumbananisha JK ni lazima a sapotiwe.
Note.
Kama unaamini kuwa wote ni ma Pro Chadema ,basi jua kuwa kuwa Ma Pro CDM ni wengi kweli kweli
 
Last edited by a moderator:
Habari hizi ni za kweli na ni kitu kinachoweza kutokea katika vita. Ninawapongeza wana M23 kwa kutofautisha kati ya Raia Mtanzania na kumtunza kama ndugu yao na serikali ambayo kimsingi ndiyo wanayopigana nayo. Huwezi amini lakini ukweli ni kuwa hawa M23 huwa wanafanya baadhi ya shughuli zao hapa Dar na wanafahamiana vizuri na baadhi ya viongozi wa Serikali. Yawezekana wanatofautiana katika mambo fulani kimsingi asa ukizingatia kuwa hivi karibuni tumekuwa tukiimarisha taswira yetu kimataifa kwa gharama yeyote, sishangai kama tukacheza mchezo wa ndumila kuwili huku tukivutia pale panapolinda sifa yetu.

Historia iko wazi, viongozi karibu woote wa maziwa makuu ukiacha Kenya, ambao wameingia madarakani kwa vita, Tanzania imekuwa na mkono. Nimewahi si mara moja kukutana na baadhi ya viongozi wa vikundi vya mapigano kutoka nchi jirani ambao hufanya baadhi ya shughuli zao kutokea hapa Dar.

Rais Kikwete ametoa Jeshi, comand ya Jeshi hili haiko chini ya Serikali yetu, zaidi serikali inaobserve na kupokea timely feedback to kuassist with logistics kuhakikisha vijana wao wanafanya shughuli waliyotumwa kwa ufanisi. Kikosi kilichoko huko ni kidogo sana kwa sisi kukitumia kupigana vita kama Tanzania, ila ikifika wakati wa kupigana, nadhani hilo si jambo kubwa, bado tuko vizuri na tunaweza na hapo vijana wana minimum equipments just to assist with peace process.
 
Asante mkuu wape somo Gen Kayumba yupo South muda si mrefu JK Atamwita DSM
Mkuu siamini kama JK atamuita Gen. Kayumba Nyamwasa kwa ajili ya kumshughulikia Kagame. Ila Kagame kwa kuogopa mambo kama hayo utaona muda si mrefu anakuja kuomba msamaha na kutaka suluhu na JK. Hawezi kuendelea kujijengea maadui kwenye mpaka wake na Congo na huku anajenga uadui na Tanzania kwa upande mwingine. Pia kumbuka kwamba wakati wa vita ile ya kwanza ya waasi wa Conco akina Bizima Karaha na wenzake, majeshi ya Kagame na Museveni yalipimana nguvu wakigombea utajiri wa Congo. Akina Gen. Salim Saleh (Mdogo wa Museveni) waliongoza mapambano dhidi ya majeshi ya Rwanda na watu wakafa. Urafiki wao ni wa mashaka. Gen. Kagame alionekana ni mtoto mtukutu hataki kumsikiliza mentor wake. Ikipatikana nafasi Museveni anaweza kuitumia kumshughulikia. Gen. Kagame anaklijua hilo na hivyo asingependa kuzungukwa na maadui pande zote.
 
Tusipuuze kila wanachosema m23 , mavitambi ya askari wa Tanzania nayo ni tatizo kubwa sana kwenye mambo ya vita , kila kambi mabia ya xtreme ! Mtaacha kuchapwa kweli ? Ukubwa wa pua siyo uwingi wa kamasi.

Mkuu hawa wavitambi ni wanajeshi wanaofanyakazi zingine za kijeshi!Nenda kambi ya Ngerengere morogoro kama utaona kitambi, kule ni kazi tu hakuna wauza sura wa Lugalo wale wa SUMA JKT kule. Na unaposikia jeshi la Tanzania unawaongelea hao si hawa tunaobanana nao kwenye daladala mijini kila siku.
 
Msijali hiyo ni mbinu mojawapo ya kivita huyo aliyekamatwa ni COMMANDOO amejipeleka ili akapate information zaidi kuhusu M23 akishamaliza kazi anarudi na atarudi kwa njia ya ajabu chezea COMMANDOO

Hekaya za Abunuwas
 
Kagame anamtafuta wa kumfia mikononi,Tanzania sio JK dakika 45 zinatutosha kuizika tarafa ya Rwanda
Anko, cha kuongezea ni kwamba, siku zote mchwa ukikaribia kufa, huwa unaota mabawa! Mie nadhani Kagame amekaribia kufa kwani dalili ya mvua ni mawingu!
 
Wewe hata ukipigwa makofi na wife wako wa kwanza kumlaumu ni Kikwete.

Kama Nyie wa Buku 7 Lumumba Project na CHADEMA.
Manaake hata wake zenu waki bend mnasema CHADEMA hao
 
Mkuu nikuambie tu kwamba Kagame ana wapinzani lukuki toka jeshini kwake; Kumbuka akina Gen. Kayumba Nyamwasa, Col. Karegeya na Brig. Gen. Kazaura walishamkimbia na wanamfahamu vizuri na hilo Gen. Kagame analijua. Pia ana wapinzani wengi tu wa Kabila la Hutu wala si wa kutafuta japo hakuna haja ya kufanya hivyo. Kwa upande wa Museveni naye ukumbuke kwamba kuna watu wake wa ndani walishamkimbia. Hawa ni kama Gen. David Sejusa (Tinyefunza), akina Gen. Mugisha Muntu, Col. Basigye nk. Ukiona watu kama hao yaani high ranking army officers wanakumbia basi ujue upinzani ni mkubwa ndani ya jeshi kwani nao huwa wana wapiganaji ambao wanawaunga mkono kinachosubiriwa ni cheche tu na moto uwake! Tusiende huko. Gen. Kagame na propaganda zake zinakaribia kufikia mwisho.
Huna habari ndani ya jeshi letu kuna wanyarwanda?
 
Kimbunga

Tanzania haina mbinu za propaganda za kivita kumzidi Kagame, tupende tusipende Kagame anatuzidi akili ya propaganda hadi sasa kafanikiwa kawavuta Museven na Uhuru upande wake kumbuka tena tuna uhasama na Malawi,

Ila ninachojua Kagame hawezi kupigana na Tanzania anachoweza kufanya ni kuvitumia vikosi vyake vya uasi kama M23 kuisumbua Tanzania wakati sisi hatuna vikosi vyovyote vya uasi hadi tuanze kuvitafuta na kuvishawishi, mimi nashauri tusikimbilie vita hata kama tuna uhakika wa kushinda.

Umenena Vyema.
 
Huna habari ndani ya jeshi letu kuna wanyarwanda?

Mkuu najua wapo na si Wanyarwanda tu bali Watusi. Lakini kwa taarifa tu wanaweza kuwa contained kirahisi kabisa. Mkuu unajua jeshi huwa linaangalia siasa zinaendaje na uhusiano wa kimataifa. Hivyo ujue kwa sasa jeshi lio makini sana baada ya kwanza kupeleka kikosi huko mashariki mwa kongo na kauli za Kagame. Waliyategemea hayo yote kwa kuwa walijua Kagame yupo huko. Mimi binafsi sina wasiwasi najua jeshi letu lipo imara kwa hali yoyote ile.
 
Umenena Vyema.

Ndio Mnavyojidanganya Watutsi Bwana utawajuwa Sasa Subirini muone hiyo Bakasu Empire inavyosambaratishwa Mmekutana na Serikali Dume Sio ile ya Mkapa na Marehemu Dr.Omar A Juma
 
Back
Top Bottom