M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

wakongo wanaocheza huu mchezo wapo humu tz na wanajifanya maaskofu na watu wa dini sana nimewafatilia sana .polis wamelala wani pm niwape mchogo siogop kufa nitawataja .wanapeleleza kila mtaa hapa daa na mikoan wanamtandao mkubwa
 
Nilibahatika ku "eavedrop" Kijiwe kimoja cha muhuza Kahawa...

..."Ahaa...haya mambo ya Kongo Lubumbashi....hapana..Goma...yanatia walakini sana" anasema Mteja1.
Mteja 2. "ehe..kwa nini bwana..!?".

Mteja 1 anapiga funda la kahawa na kusema," ...Unajua kwanza..huyu jirani analazimishhwa kukorofishwa makusudi...ili akorofishike...kwa ajili ya 'mkuu wa kaya' apate pakupumulia...kutokana na presha za hawa jamaa wa magwanda."

Mteja 3..."Mteja 1 unaweza kuwa na pointi lakini kwa nyongeza...kumbuka inatafutwa namna ya kuahaiirisha uchaguzi ujao mpaka 2035...maana wakitia timu uchaguzi huo ujao inakula kwao...".

"Ndiyo, maana kama siyo kukorofisha majirani kwa sababu hii mana yake nini!" anadakia Mteja 0.
Mteja 0 anaongeza kusema "nilipitia kwenye mtandao mmoja wa kkijiweni unadai rashimu ya kataba itazinguliwa, mpaka ishindikane kufanya chaguzi hiyo. si mumeona wameikubari wenyewe..sasa wanaikaa". "Sawa kabisa, kwa hiyo...imetegeshewa ...ikaribia tarehe ya uchaguzi mkuu tunaanza kumtandika jirani...hivyo..tunahairisha uchaguzi kwani nchi itakuwa vitani...uchaguzi hauwezi kufanyaka...hari ya hatari inatangazwa...mkuu wa kaya anapata kibali cha kuendelea kukaa pangoni akitafuna kuku kwa mrija...vita hiyo itacheleweshwa kwisha kwa makusudi...ili kuku atafunike barabara,...utaazia wapi...kuhoji habari za siasa . domokrasia wakati nchi hiko vitani"

Muuza kahawa..."Leo wateja wangu mmenichanganya sana...kwa porojo zenu za leo...nimeshasahau...kila mmoja amekunywa vikombe vingapi vingapi...sasa nishiki lipi...rashim ya kataba au kipigo cha jirani ndicho kitaahirisha uchaguzi mkuu ujao ?....na mkinijibu hilo mnilipe ela ya kahawa"

Wateja wote wanaangaliana...
 
It's only stupid person can buy this cheap propaganda.
Mwanajeshi gani anaweza kwenda vitani akiwa amebeba passport wakati mavazi yake yanakuwa na namba, jina au bendera ya nchi yake inayomtambulisha.

This is only for fools and horses
 
Duh..Maccm mengi ni majinga humu ndani..hakuna hta yanayosoma kwa makini na kulinganisha na matukio ya nyuma...kweli uzao w abinamu nyama ya hamu na mitoto ya uzeeni(vizee vyenye vibusha ni curse kwa nchi yetu), kukamatwa kwa askari ni kawaid akw amajeshi mengi duniani.Ila si kawaida sana ktk hii mambo ya ukanda huu.

nani anataegemea CCM waliokataa kila wizi wa hii nchi hadi kuadhibi watu ,ila wakaumbuliwa , nawaliowaumbua sasa hivi wanajutia kuijua CCM?

Tutaona soon haya yakiwa wazi.
 
Hawa si ndio huwa wanapiga mtaa mzima kwa sababu tuu mwenzao kadhulumu wanzuki kachapwa, au kafumaniwa na mke wa mtu akachapwa, wakija huchapa, mama, baba, Bibi, babu, wake, waume na watoto w awatu mtaa mzima.sasa wakaone watu wasiotambua huo ushenzi..Walichagua CCM wakaacha kuwa jeshi la wananchi. Sasa hivi ni JCCMTZ
 
Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?

kwa 7bu ni mpinzani wa serikali ya baba yako! Kwan sisi pro chadema tunaiunga mkono serikali ya ccm? Ni kama ambavyo wanaccm wasivyoomuunga mkono kagame coz anamsumbua mwenyekiti wao jk
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?

kwa 7bu ni mpinzani wa serikali ya baba yako! Kwan sisi pro chadema tunaiunga mkono serikali ya ccm? Ni kama ambavyo wanaccm wasivyoomuunga mkono kagame coz anamsumbua mwenyekiti wao jk
 
Last edited by a moderator:
mbn hyo picha kama tarsis masela wa akudo vile hebu tutajie jina vzr ili tuli google facebook kama yupo

Ukiingia google utakuta reference yao wenyewe peke yao! Dunia nzima haijawahi kusikia majina hayo matatu. Inawezekana kabisa huyu walimpata dereva au wale wa Tz wanaouza dagaa kule.
 
Tahadhari ni muhimu,
Propaganda ni sehemu ya vita,hivyo visipuuzwe maana tuna wapendwa wetu huko.
Tuna mazoea ya kupuuza taarifa baadaye tutajilaumu
 
si wauaji wenzao wataacha kushabikia kwa akili yao ya ganzi?
kama ni hivyo basi nina wasiwasi na askari wenye asili ya kitutsi walioko jwtz ambalo m23 wanawajua kwa majina. Kwa hivo wakiingia vitani wanaweza wanawapotosha wanapowaelekeza askari wetu. Nashauri watutsi wote wachunguzwe huko jeshini vingivyo vita hiyo tutapoteza
 
acha mchapwe mtaongea maneno mengi sana,oh wanyarwanda ,oh waganda,oh wangoni.Sitoi ushirikiano kwa Jeshi letu tuchapwe vizuri sana.
 
Kwa namna hii watutsi walivyo wengi tz, basi m23 wamejaa bongo, wanakusanya information na kuweka propaganda nyingi, tuwe makini na hawa watu.
 
Back
Top Bottom