M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

ngwini

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
482
Reaction score
89
Tokana na habari za zilizorushwa Twitter na M23 ni kuwa wamemkamata askari wa Tanzania ambae yupo kwenye mission ya UN CONGO. Hata hivyo hiyo habari bado haina uhakika kama ni kweli ama uongo kwa misingi kuwa hawajatoa ushahidi wowote wa tukio hilo zaidi ya kutaja kuwa wana Passport ya askari huyo na silaha.

--------------------------

attachment.php



===============
UPDATES:
===============

Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, hizi ni propaganda za M23 kwakuwa hakuna askari hata mmoja wa Tanzania aliyepotea na kawaida hakuna askari anayekwenda viwanja na pasport kama inavyodhaniwa na wengi.

Aidha, kuna details nyingine nyingi (ambazo hatuwezi kuziweka mtandaoni kwa heshima ya nchi) zinazoonyesha wazi kwamba huu ni uongo mtupu.
 

Attachments

  • M23.png
    M23.png
    29.4 KB · Views: 8,303
Jamaa kipigo kimewachanganya kwani wanaanza kuweweseka toka lini watu wakaenda vitani na paspoti. Itakuwa ni ya kuchonga tu hiyo

wametaja mpaka namba yake ya jeshi mkuu
 
Kagame alimwambia Kikwete 'I will hit you' naona ndo utekelezaji wa ahadi yenyewe ya ku-hit
 
Hawa mashoga wa kikongoman wameanza uchokozi
 
Jamaa kipigo kimewachanganya kwani wanaanza kuweweseka toka lini watu wakaenda vitani na paspoti. Itakuwa ni ya kuchonga tu hiyo

Askari wakiwa mstari wa mbele hawabebi passport wandugu...kuna metal identification huvaa..au kuifisha ndani ya nguo sehemu salama kumtambilisha...hiyo ni propaganda...labda atakuwa ni mtu wamemuhisi kuwa agent wa Tanzania na watamvalisha sare aonekane Askari ...na hata am agent huwa na false passport za nchi nyingine..hawabebi passport
Zao
 
Bila shaka watakuwa wanapiga propaganda hii ili kutuliza hali maana inasemekana kipigo kitakatifu kimewashukia!
 
Kama ni kweli itabidi mbinu za mafunzo ya kijeshi na wakufunzi wabadilishwe haraka sana. Au kama kuna nchi tunayotegemea kwa mafunzo ya kikomando tu-terminate contract haraka. Wauawe na kushikwa kikondoo halafu tuendelee ku-entertain mbinu ileile? NO
 
jamaa wanahangaika hawa na kazi bado inaendelea watajuta kulianzisha wataburuzwa mpaka basi toka lini askari vitani na kitambulisho.
 
Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?

si wauaji wenzao wataacha kushabikia kwa akili yao ya ganzi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom