M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?
Huko ni kufilisika kimawazo hakuna aliye upande wa Kagame au M23 hapa tunachozungumzia na kuona je Wanajeshi wetu wamekwenda huko kwa maslahi ya nani? na je nchi inanufaika vipi na majeshi yetu kuwepo huko? na kwa nini kila kukicha tunasikia kuuawa au kama hii leo kutekwa kwa askari wetu tu? inatakiwa tujitafakari kwani kuna uwezekanao mkubwa tumezungukwa na maadui na haohao ndiyo tulionao huko tukiwa tunalinda nao amani pamoja huku wao wakipokea pia maagizo kutoka upande wa pili kutuangamiza.
 
Kwa hiyo hiyo inathibitisha pasipo na shaka kwamba majeshi ya Rwanda yapo Congo bila kujitangaza hivyo? Sasa naona wanataka wapigwe. Kwani Tanzania ikiamua kuwakusanya wapizani wa Kagame na kuwapa mbinu za kummaliza si ni kazi rahisi tu. Kumbuka akina Pierre Nkurunzinza, Nyangoma, Museveni, Kagame, Kabila walikuwa wapi. Naona brother comrade General Kagame anajitafutia exit. Hakika nakuambieni muda si mrefu Kagame atakuja hapa nchi kuomba msamaha.
Kimbunga

Tanzania haina mbinu za propaganda za kivita kumzidi Kagame, tupende tusipende Kagame anatuzidi akili ya propaganda hadi sasa kafanikiwa kawavuta Museven na Uhuru upande wake kumbuka tena tuna uhasama na Malawi,

Ila ninachojua Kagame hawezi kupigana na Tanzania anachoweza kufanya ni kuvitumia vikosi vyake vya uasi kama M23 kuisumbua Tanzania wakati sisi hatuna vikosi vyovyote vya uasi hadi tuanze kuvitafuta na kuvishawishi, mimi nashauri tusikimbilie vita hata kama tuna uhakika wa kushinda.
 
Tunataka kuionyesha Malawi Trailer ya Movie inawezekana Madame Joyce Banda alikuwa hujazaliwa tulipo mchapa Nduli Idd Amin Sasa ona hili picha analopigwa Kagame kisha Mwenyewe panua mapaja mkwaja waja Ziwa Nyasa ni letu sote hata Pastor wako kakutoa nishai majuzi kati Gahba mkubwa Wewe
 
Kagame Dawa yake ndogo Saana na Sasa kaitafuta na ataipata sijui kama Mbwagamoyo huyu Hatamla Ndogo yeye na mkewe
Kama akianzisha vita mstari wa mbele aweke watoto wake sio kujiingiza kwenye vita wafe watoto wa wenzie yeye abaki na wakwake wakila bata tu
 
Tunataka kuionyesha Malawi Trailer ya Movie inawezekana Madame Joyce Banda alikuwa hujazaliwa tulipo mchapa Nduli Idd Amin Sasa ona hili picha analopigwa Kagame kisha Mwenyewe panua mapaja mkwaja waja Ziwa Nyasa ni letu sote hata Pastor wako kakutoa nishai majuzi kati Gahba mkubwa Wewe
Mnapigana vita humu JF wakati wenzetu huko Sudan wameuliwa na mwingine katekwa na M23 kama JF ingekuwa inapigana si mngesaidia wenzetu wasingekufa na huyo jamaa hasingetekwa.
 
Kimbunga

Tanzania haina mbinu za propaganda za kivita kumzidi Kagame, tupende tusipende Kagame anatuzidi akili ya propaganda hadi sasa kafanikiwa kawavuta Museven na Uhuru upande wake kumbuka tena tuna uhasama na Malawi,

Ila ninachojua Kagame hawezi kupigana na Tanzania anachoweza kufanya ni kuvitumia vikosi vyake vya uasi kama M23 kuisumbua Tanzania wakati sisi hatuna vikosi vyovyote vya uasi hadi tuanze kuvitafuta na kuvishawishi, mimi nashauri tusikimbilie vita hata kama tuna uhakika wa kushinda.

Wewe nyamaza Hajui chochote kwa taarifa yako hakuna alliekuwa na maadui kama NYERERE kuanzia Kamuzu banda, Mobutu sese Seiko na Idi Amin na wote wametuzunguka lakini tuliwatoa nishai Naangalia jinsi tulivyokaa kijographia hatutishi mtu pia Jeshi na Vifaa tulivyonavyo ni vya Uhakika sio Red Guards wala Blue Guards
 
Kinachonifurahisha ni ""most of chadema supporters are on M23 side"" hii inaharibu sana image ya chadema na kujiweka upande wa maadui wa taifa!
Selewi hii imekaaje!!!!!
 
Passport inaweza patikana popote wewe acha kuhadaika mapema wewe.
 
Kama akianzisha vita mstari wa mbele aweke watoto wake sio kujiingiza kwenye vita wafe watoto wa wenzie yeye abaki na wakwake wakila bata tu

na wasi wasi wewe ni pandikizi au ni mtutsi ngonja nikufuatilie Kwenye GPS Inawezekana M23 Tayari mpo jirani
 
Kagame Dawa yake ndogo Saana na Sasa kaitafuta na ataipata sijui kama Mbwagamoyo huyu Hatamla Ndogo yeye na mkewe
wewe hututakii mema sisi wakazi wa Kagera maana likianzishwa na Rwanda huenda tukawa battle ground kama hapo mwaka 1978 ambapo mpaka leo tunaponya makovu. Ombea amani ndugu zangu.
 
... Nasema na HASIRA ZOTE ZA DARFUR NA KUMTUKANA JK ...tunazihamishia Kongo... tunapiga hadi miti na nyani.... tunapiga hadi msitu unalia .... na subirini tu kidogo..just a month mtaona....!!!

Yaani Mkuu hawa Waasi nina hasira naooo.
 

Askari wakiwa mstari wa mbele hawabebi passport wandugu...kuna metal identification huvaa..au kuifisha ndani ya nguo sehemu salama kumtambilisha...hiyo ni propaganda...labda atakuwa ni mtu wamemuhisi kuwa agent wa Tanzania na watamvalisha sare aonekane Askari ...na hata am agent huwa na false passport za nchi nyingine..hawabebi passport
Zao
Mkuu ni kweli kabisa ulichosema, lakini JWTZ kama tulivyosimuliwa na viongozi wa CUF ya kuwa ni Wabakaji, Wezi na watesaji (halina discipline kama lile jashi la kina Mayunga, Marwa,Kyaro nk). Naamini kabisa M23 wamemshika huyo askari na kuelezea Passport ni kuonyesha UDHAIFU wa Jeshi letu
 
Kama akianzisha vita mstari wa mbele aweke watoto wake sio kujiingiza kwenye vita wafe watoto wa wenzie yeye abaki na wakwake wakila bata tu

Nyerere alimtanguliza Sokoine na Abdalah Natepe sio Makongoro wa David Wewe una lako limekukaa m***uni utaenda kulinya
 
wewe hututakii mema sisi wakazi wa Kagera maana likianzishwa na Rwanda huenda tukawa battle ground kama hapo mwaka 1978 ambapo mpaka leo tunaponya makovu. Ombea amani ndugu zangu.
wala usiwe na roho ya kuku wewe hao biharamulo hawafiki hao size yao mgambo tu
 
Kimbunga

Tanzania haina mbinu za propaganda za kivita kumzidi Kagame, tupende tusipende Kagame anatuzidi akili ya propaganda hadi sasa kafanikiwa kawavuta Museven na Uhuru upande wake kumbuka tena tuna uhasama na Malawi,

Ila ninachojua Kagame hawezi kupigana na Tanzania anachoweza kufanya ni kuvitumia vikosi vyake vya uasi kama M23 kuisumbua Tanzania wakati sisi hatuna vikosi vyovyote vya uasi hadi tuanze kuvitafuta na kuvishawishi, mimi nashauri tusikimbilie vita hata kama tuna uhakika wa kushinda.

Mkuu nikuambie tu kwamba Kagame ana wapinzani lukuki toka jeshini kwake; Kumbuka akina Gen. Kayumba Nyamwasa, Col. Karegeya na Brig. Gen. Kazaura walishamkimbia na wanamfahamu vizuri na hilo Gen. Kagame analijua. Pia ana wapinzani wengi tu wa Kabila la Hutu wala si wa kutafuta japo hakuna haja ya kufanya hivyo. Kwa upande wa Museveni naye ukumbuke kwamba kuna watu wake wa ndani walishamkimbia. Hawa ni kama Gen. David Sejusa (Tinyefunza), akina Gen. Mugisha Muntu, Col. Basigye nk. Ukiona watu kama hao yaani high ranking army officers wanakumbia basi ujue upinzani ni mkubwa ndani ya jeshi kwani nao huwa wana wapiganaji ambao wanawaunga mkono kinachosubiriwa ni cheche tu na moto uwake! Tusiende huko. Gen. Kagame na propaganda zake zinakaribia kufikia mwisho.
 
teh teh teh, mkuu mingoi, hivi kwa nini pro-chadema wengi wanamunga mkono kagame pamoja na jeshi la waasi wa m23?

sasa kama serikali ya kikwete inauwa watanzania huko arusha na wengine wana baka ndugu zetu huko mtwara na kuwa jeruhi kama wanyama tutakuwa na uchungu na jeshi letu kweli..
 
Tanzania hatuna jeshi

we ni m cote d Ivorian utajuaje kama hatuna jeshi? labda Chadema hawa jeshi sio Nchi yetu Tanzania Muulize Museveni kaingia Uganda kwa jeshi la nani sio NRA Ni JWTZ
 
Back
Top Bottom