M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

Kutekwa katika uwanja wa mapambano ni jambo la kawaida, lakini si ishara ya kushinda ama kushindwa. Tulishuhudia askari kibao wa NATO (USA) wakitekwa na sadam Hussein, aliishia wapi?
 
Kwa kweli tutajuta kweli,tunachapwa huko jamani.Kagame ni mwamba kweli.Sisi tuna mbinu za vita za kizamani sana.Hatuna mbinu za kisasa.askari wetu wao waliingia kwenye siasa badala kujikita kwenye mbinu za kijeshi kama wenzetu wa misri.Wapo huko mtwara wamejaa mitaani,waende huko vitani sasa kama wao ni wajanja kweli.
 
Habari ya uhaiika ni kwamba hakuna mwanajeshi wa tz hata mmoja aliyepotea na hawatumii passport za tz wakiwa chini ya UN
 
Kaka suala hilo lingekuwa kweli, sasa hivi ungesikia BBC, Kagame na kwingineko. Hata hivyo, kuna askari gana anaekwenda vitani na Passport? Hawa jamaa ni wazuri sana wa propaganda. Na hizi zinaandaliwa Rwanda. Walichofanya wamechukua passport ya Mtanzania yoyote anevuka mpaka kama ni dereva kn ( si huwa zinagongwa wanapovuka boda) na kujifanya ni askari wa TZ.
 
VIta ya maneno,,,ila ni kuwa makini katika uwanja wa mapambano maana kagame kesha haidi kutu snitch,,so vijana wetu wapige hao wazee wa propoganda ipasavyo,
 
Waasi ni waasi tu, hawana uwezo wala jeuri ya kutishia nyau. Tz tupo imara na tu wamoja
 
kICHAPO KIMEWACHANGANYA HADI HAWAELEWEKI,MARA WAMEKAMATA TZ SOLDER,MARA WANAOMBA CEASEFIRE HA HA HA,WANAUME WANATANDIKA KIMYAKIMYA WALA HAWALETI CHOCHOTE FACEBOOK WALA TWEETER,HAWANA TIME WAO NI KUCHAPA TU ,JW NOMA
 
Yani Wewe CHIMO UNA MATUSI MAZITO SANA HUKU UKISEMA UMEFUNGA.. Hivi usipotukana maoni yako hayatafika!
 
JUL202013





Waasi wa M23 wa DR Congo, wanadai kuwa wamemkamata askari wa Tanzania anayeitwa Christopher George Yohana, wakati akishirikiana na waasi wa Rwanda (FDLR) wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya Watusi mwaka 1994.

Waasi hao wa M23 wameweka picha ya passport ya mateka huyo kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.



Kwa mujibu wa chimpreports.com, M23 wameripoti kumkamata askari huyo akiwa na bunduki aina ya AK47 yenye serial number 1372. Ifuatayo ni kauli ya M23 waliyoweka Facebook ikiambatana na picha hiyo:


"leo Fdlr zikiongozwa na askari toka Tanzania zilivamiya Positions zetu pale Kinyadonyi Na Nkwenda huko Rutshuru. Zilikuta Vijana wanazisubiri, walizicapa na kuzikimbiza alafu zikaaca Askari wa Tanzania Nyuma tukamunasa, ivi tuko naye tuko na mupa cayi na mukate anywe.


Serikali ya tanzania isiwe na hofu hatutamufanya kitu, tutamucunga muzuri. sisi hatuko kama wale wa criminals wa FARDC ambao wanatukanaka hata maiti, na wenye Wanabakaka watoto wa myaka sita, sisi ni jeshi la Mungu. Kesho mutaona Video yake, Cliquer apa uone passport ya ule askari ya tanzania ambaye tulikamata"

christopher-george-yohana.jpg



Na hapa chini ndicho walichopost Twitter:


m23-tanzania-twitter.png



 
The END of the ROAD.... Kwanini KIKWETE anafanya HIVI? TUCHUKIWE NJE na NDANI TUNACHUKIANA??? Inaonyesha Wanajeshi wetu walikimbia?? Jamani Jamani tunadhalilishwa
 
The END of the ROAD.... Kwanini KIKWETE anafanya HIVI? TUCHUKIWE NJE na NDANI TUNACHUKIANA??? Inaonyesha Wanajeshi wetu walikimbia?? Jamani Jamani tunadhalilishwa

Mkuu mbona unaniangusha? Hiyo passport wameitoa wapi? na kuanzia lini vijana wakaenda na passport front? Atakae amini hii kitu ni mtu asiyejua tu taratibu za mapigano kwa uniformed forces.
 
Mkuu mbona unaniangusha? Hiyo passport wameitoa wapi? na kuanzia lini vijana wakaenda na passport front? Atakae amini hii kitu ni mtu asiyejua tu taratibu za mapigano kwa uniformed forces.
Vijana JWTZ endeleeni kumkoma huyo nyani kimya kimya!!
 
Mkuu mbona unaniangusha? Hiyo passport wameitoa wapi? na kuanzia lini vijana wakaenda na passport front? Atakae amini hii kitu ni mtu asiyejua tu taratibu za mapigano kwa uniformed forces.

eti na kavaa kiraia kwenye picha
 
Hata chemical Alli alikuwa anasema amewachapa wamerakani jangwani mpaka wamekimbia lakini kumbe ilikuwa ni mbinu tu za kivita. Tulieni M23 mpate kichapo cha mbwa mwizi toka kwa wapenda amani.
 
wameweka pia picha yake akiwa amevaa uniform ya jeshi la congo wakisema was mercenary was FDLR!!!!!!!!!!!!!!! but looks unauthentic, ignore propaganda
 
Bila shaka watakuwa wanapiga propaganda hii ili kutuliza hali maana inasemekana kipigo kitakatifu kimewashukia!
Ni hodari sana wa propaganda. Mtoto, mwanamke, mzee, watutsi wote ni hodari wa propaganda kwani asili yao ni majigambo na kujisifu
 
Akili kama hizi zinaonyesha Tanzania bado tuna safari ndefu kweli
Hivi weye kapuku huna ndugu au jamaa yako yeyote Polisi au Mwanajeshi?

Anachosema ni kuwa kile wanachowafanyia watanzania wenzao wa Mtwara ndio hicho wanachofanyiwa Sudan na sasa M23.

Wanasema mtenda hutendwa.
 
Kwa kweli tutajuta kweli,tunachapwa huko jamani.Kagame ni mwamba kweli.Sisi tuna mbinu za vita za kizamani sana.Hatuna mbinu za kisasa.askari wetu wao waliingia kwenye siasa badala kujikita kwenye mbinu za kijeshi kama wenzetu wa misri.Wapo huko mtwara wamejaa mitaani,waende huko vitani sasa kama wao ni wajanja kweli.

Hivi ninyi wanyarwanda mnatutakia mini lakini? Mnaeneza propaganda za kipuuzi sana.
 
Back
Top Bottom