M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

M23 wadai kumkamata askari wa JWTZ

mwanajeshi aende vitani na passport????? only in rwanda!!!!!
 
acha mchapwe mtaongea maneno mengi sana,oh wanyarwanda ,oh waganda,oh wangoni.Sitoi ushirikiano kwa Jeshi letu tuchapwe vizuri sana.

Wewe unasema tu, labda wewe uko chini ya miaka 18 na pia labda wewe si Mtanznaia halisi.Unasema hivyo labda ww uko Mtwara na ungekuwa Kagera mkoa unaopakana na nchi hizo, usingeombea kitu kinachoitwa vita.
Pia jinsi unavyosema usidhani gesi inazidi madini zilizochimbwa Kanda ya ziwa, hivyo usidhani baadhi yetu watz tunasujudu gesi kama nyie wa Mtwara.
Katika suala nzima ya majeshi yetu, jambo kubwa ni kuwaombea, pia nashangaa baadhi ya watu wanaovyochangia threat hii iliko mbele yetu kwa kuingiza masuala ya kisiasa.Vita havina macho, haitachagua CCM, CHADEMA, CUF N.K.
Kwa anayetaka kuthibitisha Julai 25 Alhamisi wiki kesho aende kambi ya Kaboya Muleba awaone vijana wa kazi walivyolala katika nyumba zao za milele.

Jamani wekeni maslahi ya taifa mbele kwanza pumba baadaye.Pia mnapochangia threat hii mambo ya siasa yanakuwa ni matatizo yetu ya ndani ya nchi, kama ilivyo kwa Uganda ambako kuna tetesi kuwa Rais alioko madarakani anafanya mpango wa wa kutaka kumrithisha mwanae, kumbukeni kwa TZ ni jambo ambalo haliwezekani.

Mungu wasaidie majeshi yetu yote yalioko katika nchi zilizo na viata kama Darfur, Kongo,N.K, Pambaneni kuhakikisha nchi hizo zinakuwa na amani na utulivu.
 
jeshi letu limekaa kisiasa ndio maana watu wamekosa imani na jeshi hili.chama tawala likisema hivi wapo nyuma yao hata kama wananchi madai yao ya msingi.umeshaona jeshi la wananchi la misri lile ndio jeshi.halipo kisiasa.polisi,jeshi,usalama wa taifa wote ni vibaraka wa ccm na sio wanaongalia amani bali wanatimiza lolote lile chama tawala kiendelee kukaa madarakani.plisi wanaua hapa.kwa nini tuhuzunike wakiuwawa huko?watanzania utaifa umepotea kutokana na serkali yenyewe inavyotufanyia.wacha wakutane na wanamume wenye kutumia silaha za moto pia huko.
 
--------------------------
===============
UPDATES:
===============

Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, hizi ni propaganda za M23 kwakuwa hakuna askari hata mmoja wa Tanzania aliyepotea na kawaida hakuna askari anayekwenda viwanja na pasport kama inavyodhaniwa na wengi.

Aidha, kuna details nyingine nyingi (ambazo hatuwezi kuziweka mtandaoni kwa heshima ya nchi) zinazoonyesha wazi kwamba huu ni uongo mtupu.

....source...?? siaminigi hizi habari za mtendwa kukanusha..?? angalau ingekuwa thirdpart ndo anakanusha. nikimkumbuka vita ya iraq jamaa anatudanganya kilasiku tumewaua wamarekani tumadhibiti airport kumbe chaliii... kama msoja wetu kadakwa si tujipange tu,acha wapigwe tu maana tumechoka sasa....
 
Hap march 23 wasituumize kichwa wajifanya wakongomani kumbe wanataka east Drc iwe tutsi republic na kamwe hawataipata wanajifariji. Funguo zao zipo Tz
 
Wewe nyamaza Hajui chochote kwa taarifa yako hakuna alliekuwa na maadui kama NYERERE kuanzia Kamuzu banda, Mobutu sese Seiko na Idi Amin na wote wametuzunguka lakini tuliwatoa nishai Naangalia jinsi tulivyokaa kijographia hatutishi mtu pia Jeshi na Vifaa tulivyonavyo ni vya Uhakika sio Red Guards wala Blue Guards
Mkuu punguza hasira nina imani risasi ya kwanza ikisikika tu kati yetu na rwanda,waathirika wa kwanza ni mburula GREEN GUARDS wenu,vifo na vilio nchi nzima.
 
Hivi ninyi wanyarwanda mnatutakia mini lakini? Mnaeneza propaganda za kipuuzi sana.
Mkuu kosa letu moja tu toka utawala wa kwanza,hawa watusi waliingizwa kwenye secta nyingi nyeti za serikali wamesoma hapa wanafanya kazi hapa japo wengine baada ya kagame kuchukua nchi alirudi Rwanda wakapata ajira huko lakini kiukweli idara yetu ya usalama wa taifa na hata ikulu wamefanya kazi na wengine bado wapo wengi tu,wanajitanabaisha kama wanatoka karagwe.
 
Wakumbuke kuwa Rwanda iliwahi kuwa sehemu ya Tanganyika wakati wa utawala wa Ujerumani! Tutawadunda na kuifanya Rwanda kuwa himaya ya Tanganyika kama ilivyokuwa zamani ikijulikana kama Deustch osta Afrika
Kagame anamtafuta wa kumfia mikononi,Tanzania sio JK dakika 45 zinatutosha kuizika tarafa ya Rwanda
 
Back
Top Bottom