Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,054
Askari wakiwa mstari wa mbele hawabebi passport wandugu...kuna metal identification huvaa..au kuifisha ndani ya nguo sehemu salama kumtambilisha...hiyo ni propaganda...labda atakuwa ni mtu wamemuhisi kuwa agent wa Tanzania na watamvalisha sare aonekane Askari ...na hata am agent huwa na false passport za nchi nyingine..hawabebi passport Zao
Mkuu umenena. Hutambuana kwa force number iliyo kwenye vibati vya kuvaa shingoni. Hata mwenzio akipigwa risasi na kuanguka (kufa) kama huwezi kuondoka naye kutokana na hali tete ya medani basi unajitahidi kuchukua kile kibati cha shingoni kwa utambulisho.