Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?
Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?
Hili mkuu mbna ni suala la kitaifa?kwan kagame anajua kama kuna ccm au cdm?Teh teh teh, Mkuu Mingoi, hivi kwa nini Pro-Chadema wengi wanamunga mkono Kagame pamoja na jeshi la waasi wa M23?
acha uongo wewe mbona mimi siwaungi.....ulivo na akili ndogo unaeza gombana na mkeo ukasema kisa ni chadema......embu fikiri zaidi ya ccm na chadema usitawaliwe na chuki
Mkuu ritz ndo swali nilimuuliza Nicholas kwanini ana support m23 .. anangojea siku askari mmoja afe atupie thread mia jf kumlaumu jk
Madhara ya akili za kushikiwaKumbe wewe ndiyo unawamliki wafuasi wote wa Chadema.
Kagame anamtafuta wa kumfia mikononi,Tanzania sio JK dakika 45 zinatutosha kuizika tarafa ya Rwanda
Kagame anamtafuta wa kumfia mikononi,Tanzania sio JK dakika 45 zinatutosha kuizika tarafa ya Rwanda