Hapo kwa kifupi huyo so mwizi sema ni mistake yako katika operation, japo naye inabidi atumie uungwana kurejesha, na unaweza kukuta imemkuta katika situation hana hela anataka alipe marejesho access,
Jiulize kwanini hata bank wanasema count your money before you leave the counter, Au M-PESA wanasema, hakikisha namba ya mteja kabla ya kutuma pesa, mbaya zaid kabla hujatuma ina display jina, je hukugundua kwamba unayemtumia siye??
Watu walilalamika sana kutuma hela kusiko, mitandao ikaboresha kabla ya hela kwenda inaleta jina ili ujue nani anapokea