Kwa kufanya hvyo unachelewesha biashara za watu. Wakati unatuma pesa Mara nyingi anayetumiwa huwa anaulizwa ni jina gani litakalo jitokeza, pia kuhakiki namba ya sim unayotumia hela lakin pia kuna kipengele cha kuthibitisha kuwa unatuma hela kwa flani. Swala LA vodacom kujua aliyetumiwa hela sio mlengwa sio rahisi the simple reason ni kuwa umethibitisha kabla ya kutuma. Kitu vodacom wanachoweza kufanya ni kuzizuia hizo hela ikiwa tu alizipokea hajawahi kuzitoa pili kuwasiliana naye na kumweleza kuwa amepokea pesa ambazo hakupaswa kuzitoa, tatu kuiseti account yake ikiwa tu pesa zimeingia basi wanafanya direct deduction na kumrefund mhusika. Asante sana karibu vodacom