M-Pesa sio salama

M-Pesa sio salama

Hawa wanaowatetea na kukejeli ipo siku itawakuta ndipo watakapokumbuka hii thread
 
Makosa yako mwenyewe unalaumu Voda. Umeingiza namba mwenyewe. Voda wakakuuliza tena hakiki au ghairi,wewe ukasema yes. Sasa kosa la voda nini hapo?Voda sio polisi ujue,nenda polisi
 
Vodacom wapuuzi sana. Wameshindwa hata kuweka withdraw code ambazo angekuwa anatumiwa anayetuma pesa naye anamtumia aliyemtumia pesa kwa msg ya kawaida.
Upuuzi na ujinga sana
Haka ka security mechanisma katam
 
Pole, ina naona unatoa lawama nyingi kwa voda as if wao ndo walifanya hilo kosa, wakati mwenye makosa ni wewe, mtu kashatoa na hela ulitaka wao wafanyaje? ingekuwa hela haijatolea ingekuwa rahisi kublock sasa mtu na hela katoa, au ulitaka wao ndo wabebe hilo deni wakulipe? unalaumu hadi wakala alietoa hizo hela, huyo wakala angejuaje huyo anaeenda kutoa hela si zake bali zimeenda kimakosa? hapo kweli ishu ilikuwa ni yako wewe kwenda polisi ili upate haki yako, na sio kuwalumu voda kwa MAKOSA YAKO WEWE MWENYEWE
Anachosema ni kuwa kosa la kutumia MPESA ni irreversible?. Mtandao aliotumia kutuma hela ni MPESA wa VODACOM, Mteja aliyetuma ni wa VODA na aliyechukua hela ni wa VODA. Aliwapigia voda kama mteja wao. ili wamsaidie. Hela imetolewa ila VODA sio dhambi kumpigia aliyechukua hela kumwambia awe muungwana kurudisha hela. Inawzekana hujasoma vizuri.
 
Hivi mtoto anapokosea kunywa mafuta ya taa badala ya maji uunabaki ukimhukumu au unatafuta jinsi ya kumsaidia kwanza? Vibao vya barabarani viko kila mahali na bado ajali zinatokea!! hoja yako ni redundant
Unatumia mfano mfu. Ni sawa na kusema mtoto kanywa mafuta unalaumu mafuta badala ya mtoto. Badala ya kwenda hospitali(Polisi) wewe unalaumu mafuta. Haaaaa haaaa
 
Voda wamejitahidi sana kuweka mechanism ya kumuuliza mteja aconfirm kabla transaction haijafanyika. Kama unalijua jina la unayemtumia (hata wale wa mitandao mingine) ni "rahisi" kucheck kabla hujatuma. Anyway, accidents happen na utakuwa na bahato sana kama VODA wataweza kukusaidia
 
japo voda wana mapungufu ila na ww hauko makini maana now wanakuketea jina la umtumiaye kama siyo una hairisha muamala ww ulizembea hapo.

mie nimewahi kosea kuwapigia wakanambia jamaa ametoa kiasi imebaki kiasi flani wakanirudishia kidogo
 
Nashauri badala ya kuushia kulalamikia jf tufatilie sheria inasemaje!
 
Anachosema ni kuwa kosa la kutumia MPESA ni irreversible?. Mtandao aliotumia kutuma hela ni MPESA wa VODACOM, Mteja aliyetuma ni wa VODA na aliyechukua hela ni wa VODA. Aliwapigia voda kama mteja wao. ili wamsaidie. Hela imetolewa ila VODA sio dhambi kumpigia aliyechukua hela kumwambia awe muungwana kurudisha hela. Inawzekana hujasoma vizuri.
Nimesoma vzr na nimemuelewa, lakini hicho mnacholazimsha hakiwezekani, ndo mana kwenye kutuma kuna hatua wamekuwekea ili kuepusha makosa ambayo mwisho wa siku mtawapa lawama kama hizi
 
Hujaibiwa ila umekosea kwa uzembe wako mwenyewe..unaambiwa hakikisha jina kabla hujaweka namba ya siri wewe unaweka tu...pole sana
 
Vodacom wapuuzi sana. Wameshindwa hata kuweka withdraw code ambazo angekuwa anatumiwa anayetuma pesa naye anamtumia aliyemtumia pesa kwa msg ya kawaida.
Upuuzi na ujinga sana
hili wazo liko vyema
 
Kunatakiwa angalau kuwepo na mfumo wa kuzuia kutoa pesa mara tu uipokeapo kwa angalau dakika 10, ili kuwezesha mtumaji kama amekosea aweze kuwasiliana huduma kwa wateja na pesa irudishwe
Hapana huo ni usumbufu.
hela zangu bado nisumbuke.
 
Suppose namba zangu ni 075423678 na niliyokosea inasoma 0754233978 . sometime ni ngumu kuona hiyo namba hapo katikati haswa ukizingatia mazingira niliyotumia hela yalikuwa kwenye gari linalotembea.
Umekosea namba hapo sawa... sasa hata jina nalo ulikosea wakati una confirm mhamala?
 
Uzembe hapo ni wa mtumaji na voda hawana uhakika kama kweli ulituma kimakosa. Lakini mitandao nayo isitoe majibu kirahisi, kama wakiwa na ka utaratibu ka kumtafuta aliyepokea hizo pesa na kujaribu kumisihi azirudishe kama zimetumwa kweli kimakosa kidogo italeta uzito kuliko wateja kutafutana wenyewe kwa wenyewe, wakumbuke kwamba watumiaje hatupo sawa mwingine utakosea atakuwa na busara atukurudishia pesa yako mwingine ndo inakuwa imekula kwako wala hajali!
 
Nimetuma hela kwa mtu anaitwa Samweli Deus kimakosa na in ten minutes nikawapigia MPesa kwa dial 100 na niliongea na dada aliyeko kitengo cha lugha ya Kiingereza na akaniambia nimpe receipt number ya hiyo transaction. Amekuwa fasta kucheki na kuniambia niliyemtumia hela ameshazichukua kwa wakala na THEY CAN DO NOTHING na itanibidi mimi nimpigie mwizi wa hela zangu na akikataa niripoti polisi. Hii ilikuwa accident na sijawahi kosea tangu nianze kutumia hii huduma. Nimesikitika kuwa MPESa haina mechanism ya security kuhakikisha watumiaji wa huduma hawaibiwi. Kwao wanahesabu wamefanya business bila kujali mteja kaibiwa;. Nimejiuliza maswali yafuatayo:
1. VODA hawana uwezo wa kumtrack mteja wao aliyewaibia wateja wengine?
2. Namba ya aliyechukua hela zangu ni 0759548521 inakuwaje Vodacom wanashindwa kunisaidia kupata hela zangu na badala yake kuniambie is non of their business.
3. TCRA inawabanaje hawa wenye kutoa hizi huduma kuhakikisha fedha za mteja hazichopolewi hata pale anapokosea namba au ni kilio cha samaki.
4. Im sure voda wanamjua hata wakala aliyetoa hela na ni rahisi kwa wao kumtumia kumtia mbaroni mwizi ; how come hawataki kujishughulisha na kumwachia aliyeibiwa afanye negotiation na mwizi?

5. Aliyeibiwa yuko Arusha na aliyeiba yuko kanda ya Ziwa na wao wana muscles za kufuatilia nchi nzima ni kwa nini tusione kuwa MPESA siyo salama?

Naomba tusaidiwe hata kama tulikosea ili kupata hela zangu na bado ninaamini wana uwezo wa kufanya hivyo onlu nimekutana tu na VERY WRONG IRRESPONSIBLE AND SHORTSIGHTED STAFF.


Pole sana siku nyingine jifunze kuperuzi mpesa yako. Ni hivi sasa unaweza kuzuia mwamala wako uliofanya kimakosa kwa mpesa. Fuata maelekezo yafuatayo.

1. Bonyeza *150*00#
2. Chagua namba 7 (my account/akaunti yangu)
3. Halafu chagugua namba 1 (self reversal)
4. Halafu chagua namba 1 (zuia muamala)
5. Halafu cahgua namba 1 au 2
 
Oooh naona ume ambiwa uende police ila wewe umekuja JF na data zote umeleta JF subri ndani ya dk 10..JF wata kurudishia pesa zako sawa eeeh
 
Nimetuma hela kwa mtu anaitwa Samweli Deus kimakosa na in ten minutes nikawapigia MPesa kwa dial 100 na niliongea na dada aliyeko kitengo cha lugha ya Kiingereza na akaniambia nimpe receipt number ya hiyo transaction. Amekuwa fasta kucheki na kuniambia niliyemtumia hela ameshazichukua kwa wakala na THEY CAN DO NOTHING na itanibidi mimi nimpigie mwizi wa hela zangu na akikataa niripoti polisi. Hii ilikuwa accident na sijawahi kosea tangu nianze kutumia hii huduma. Nimesikitika kuwa MPESa haina mechanism ya security kuhakikisha watumiaji wa huduma hawaibiwi. Kwao wanahesabu wamefanya business bila kujali mteja kaibiwa;. Nimejiuliza maswali yafuatayo:
1. VODA hawana uwezo wa kumtrack mteja wao aliyewaibia wateja wengine?
2. Namba ya aliyechukua hela zangu ni 0759548521 inakuwaje Vodacom wanashindwa kunisaidia kupata hela zangu na badala yake kuniambie is non of their business.
3. TCRA inawabanaje hawa wenye kutoa hizi huduma kuhakikisha fedha za mteja hazichopolewi hata pale anapokosea namba au ni kilio cha samaki.
4. Im sure voda wanamjua hata wakala aliyetoa hela na ni rahisi kwa wao kumtumia kumtia mbaroni mwizi ; how come hawataki kujishughulisha na kumwachia aliyeibiwa afanye negotiation na mwizi?

5. Aliyeibiwa yuko Arusha na aliyeiba yuko kanda ya Ziwa na wao wana muscles za kufuatilia nchi nzima ni kwa nini tusione kuwa MPESA siyo salama?

Naomba tusaidiwe hata kama tulikosea ili kupata hela zangu na bado ninaamini wana uwezo wa kufanya hivyo onlu nimekutana tu na VERY WRONG IRRESPONSIBLE AND SHORTSIGHTED STAFF.
Mkuu kwani ilikuwa tsh ngap mimi mwenyewe nilisamehe elf30 mshikaji kazila.
 
Kunatakiwa angalau kuwepo na mfumo wa kuzuia kutoa pesa mara tu uipokeapo kwa angalau dakika 10, ili kuwezesha mtumaji kama amekosea aweze kuwasiliana huduma kwa wateja na pesa irudishwe
Hii nmeipenda nadhani mirandao ya cm yote inabidi iichukue mtu akitiwa hera iweze kutoka mpaka angalau ipite dakika kadha kama nusu saa ivi... Cha kufanya hapa tuwatafute hao watu wanatoa hizi huduma yaani makampuni kila wanakopatikana labda wanaweza kuuchukua huu ushaur mzuri sana ila tukiendeleq kukaa nao sisi wenuewe haitasaidia kabisa.
 
Unamvunjia heshima mwenzio bure tu... Sijaona sababu ya kumwita mwizi sanasana wewe ndo tukuite mnyang'anyi mana unataka kumnyang'anya hela yake iliyo kihalali kwenye M.pesa yake
 
Back
Top Bottom