Mkuu Hapo usiwablame Voda hata kidogo hata Mimi niliwahi kukosea Japo ka elfu hamsini ila ikapotea kwa sababu Muhusika aliitoa, ni sawa na wewe udondoshe Fedha kisha useme kwanini Polisi wasimtafute aliyeziokota!Wewe ulishatumia paypal kununua bidhaa nje kokote duniani na ukatuma hela na muuzaji akaingia mitini? paypal wanakuwa responsible kumtafuta mwizi na hela zako unarudishiwa
Mimi binafsi nilisharudisha hela nyingi zilizoingia siyo tu kwenye simu bali hata kwenye akaunti ya bank. kitendo cha hela kuingia na kukimbia kuito kwa dakika zisizozidi 10 na hujui zimetoka wapi ni wizi.We hela umemtumia mwenyewe unamwita mwizi, kuwa mpole tu hapo hakuna mtu wa kumlaumu makosa ni yako
Asante Mkuu, kwa makosa yetu tusitafute excuse zisizo na mashiko!Ndugu @Architectus nadhani mhanga amekuelewa. Nimeongezea nyama tu.
Kama mtu akiokota fedha yako kisha ukamjua na ukamweleza na una uhakika huyo utamwita nani.Hakuna wizi hapo, umekosea mwenyewe so ni suala la umakini wako na intergrity ya mpokeaji. But one thng angalau voda wangefanya ni Wangeweka utaratbu wa kuingiza deni kwenye line ya aliyepokea kimakosa ili siku akipokea hela ikatwe kufidia kiasi kile.
huo ni uzembe wa vodacom pia. sasa nini maana ya kusajili namba za watumiaji wa mtandao? kama wao wanaona shida wangekupa taarifa zake alizojisajili nazo umsake vizuri mwenyewe.Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Nitajie kwanza jina la mtu ambaye anadondosha kwenye njia hela aliyoitafta kwa jashoKama mtu akiokota fedha yako kisha ukamjua na ukamweleza na una uhakika huyo utamwita nani.
Hiyo ingekuwa simple kwani hata vifurushi vinavyotumwa na mabasi vina code ili only mhusika akichukueVodacom wapuuzi sana. Wameshindwa hata kuweka withdraw code ambazo angekuwa anatumiwa anayetuma pesa naye anamtumia aliyemtumia pesa kwa msg ya kawaida.
Upuuzi na ujinga sana
Tumia akili neno kupoteza maana yake inabakia kupoteza kwa maana siyo intentional similarly na kilichotokea kwangu. some mechanism has to be in place kuzui watu wasio waaminifuNitajie kwanza jina la mtu ambaye anadondosha kwenye njia hela aliyoitafta kwa jasho
Nilikuwa kwenye maombi..nilipoona hela imeingia nikajua maombi yamejibiwa mkuu.....nikaitoa fasta....sasa nashaNgaa unanianika humu jukwaani......naomba uvumilie ...utapata nyingine



NakaziaVipi kama ela inatakiwa itolewe haraka kama vile kumuwashia dawa mgonjwa n.k
Suppose namba zangu ni 075423678 na niliyokosea inasoma 0754233978 . sometime ni ngumu kuona hiyo namba hapo katikati haswa ukizingatia mazingira niliyotumia hela yalikuwa kwenye gari linalotembea.Umeibiwa kivipi wakati hela umetuma mwenyewe..unalalamikia voda wakati uliambiwa thibitisha kwakubonyeza moja..hapo aliezibitisha ni wewe voda.
Ni Salamaa ilaa wewe hukuwa makinii...Huwezi mtumiia MTU pesa kimakosa akatoa ukasema mpesa sio salamaa...!! Ulikosea pole sanaaSiyo salama kwa sababu hakuna mechanism ya kuhakikisha usalama wa hela ya mteja. Huyu mtenja ndiye anayeifanya MPESA iwe MPESA. Na kama hutamjali akaogopa kuitumia huduma lazima mpesa itayumba