TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,211
- 5,444
Habari za wakat wana jamvi?.
pamoja na kujua maswala wachache kuhus technology lakn awali kbsa napenda kutuituPia lawama iPhone na Tigotanzania NA TELEGRAM kwakushindwa kuweka mawasiliano ya wateja wao kuwa faragha
Nakumbuk hapo Nyuma kdogo kama kumbukumb zangu zko vzr tigo iliwah kubuluzwa kortin kwakutoa taarfa za mteja .
Katika hali ya kawaida nikiwa na shughuli zangu za kimaisha nilikutana na dada mmoja ambae kwa kaz ninazozifanya aliwiwa kufanya kaz na mimi niliweza kufanya kaz yake vzr hadi kupelekea mawasiliano yetu yakawa yanatuvitia all the time ni mawasiliano hadi tukawa na mada zngne nchi ya business
Mnmo mwaka 2023 nazn kuanzia September hv kam sio October jamaa ake akufurahishwa na mawasiliano bain yangu na mwanamke wake(ALIONYESH KUW AMEWEZA KUYANASA) akanielekeza ila sasa kwakuw huyu dada alikuw tayr you deep interest hakuw weza jizuia tusiwasiliane nami (especially ilikuw ni katk ya business za pesa).🫥
Mawasiliano yaliendea kuptia number yake ya tigo kuja kwangu (nyakt hizo.mimi nkiw na shughuli zangu mikoa tofaut tofaut) ikaonyesha jamaa ana uwezo wa access mawasiliano yetu direct , way foward akajiongez kutumia simu za watu kunipgia ikawa bado jamaa anajua nimeongea nae kuptia number ingine hali ambayo mimi kama mwana teknolojia mdogo nijiulze mbona faragha n ndogo wakat naendelea kuona n ktu cha ajabu kbs na nkzan kuw labda jamaa anachez tuu na saikolojia ya huyo dada lakn hali halisi ilionyesha jamaa anauwezo wa ku monitor mawasilion ata kama mtu wake atapga kwakutumia cmu ya mtu mwingne, way foward wote tukawa tunatumia simu za watu wengine na once tukitumia hiyo number hatutumii tena lakn bado mawasiliano yakavuja .
Zaid pia niliweza tumia telegram ambayo naamin ni secured %(on chatting nikiwa na clear for all chat history lakn bado mawasiliano yalivuja)
Tusaidien wana technology huyu mtu anatumia njia gan ku track hadi mawasiliano ya number zngne ambazo hazina UHUSIANO kbsa na number anazozijua
jamaa aliwez kutoa taarfa ambazo ni sahihi kbs kuw mawasiliano yetu yanadukuliw kwa 100,%
Taarfa ndan ya cmu zetu zkiw c salam na hii means huyu mtu anashirikiana watao huduma au anatumia nn
TUPEANE UZOEFU LAKN NIKIWAKUMBUSHA TUPO UCHI KBSA KUPITIA MITANDAO YA CMU HASA TUNAYOINA NI MITANDAO MIKUBWA .MAPINDUZ MAKUBW YANAHITAJIK NA HAPA NDIO TUJUE MCC INAUWEZO WA KUISHINDIA HADI KIAAMA KAMA HATUWEZ CC RAIA KUFANYA PHYSICAL MAPINDUZI
pamoja na kujua maswala wachache kuhus technology lakn awali kbsa napenda kutuituPia lawama iPhone na Tigotanzania NA TELEGRAM kwakushindwa kuweka mawasiliano ya wateja wao kuwa faragha
Nakumbuk hapo Nyuma kdogo kama kumbukumb zangu zko vzr tigo iliwah kubuluzwa kortin kwakutoa taarfa za mteja .
Katika hali ya kawaida nikiwa na shughuli zangu za kimaisha nilikutana na dada mmoja ambae kwa kaz ninazozifanya aliwiwa kufanya kaz na mimi niliweza kufanya kaz yake vzr hadi kupelekea mawasiliano yetu yakawa yanatuvitia all the time ni mawasiliano hadi tukawa na mada zngne nchi ya business
Mnmo mwaka 2023 nazn kuanzia September hv kam sio October jamaa ake akufurahishwa na mawasiliano bain yangu na mwanamke wake(ALIONYESH KUW AMEWEZA KUYANASA) akanielekeza ila sasa kwakuw huyu dada alikuw tayr you deep interest hakuw weza jizuia tusiwasiliane nami (especially ilikuw ni katk ya business za pesa).🫥
Mawasiliano yaliendea kuptia number yake ya tigo kuja kwangu (nyakt hizo.mimi nkiw na shughuli zangu mikoa tofaut tofaut) ikaonyesha jamaa ana uwezo wa access mawasiliano yetu direct , way foward akajiongez kutumia simu za watu kunipgia ikawa bado jamaa anajua nimeongea nae kuptia number ingine hali ambayo mimi kama mwana teknolojia mdogo nijiulze mbona faragha n ndogo wakat naendelea kuona n ktu cha ajabu kbs na nkzan kuw labda jamaa anachez tuu na saikolojia ya huyo dada lakn hali halisi ilionyesha jamaa anauwezo wa ku monitor mawasilion ata kama mtu wake atapga kwakutumia cmu ya mtu mwingne, way foward wote tukawa tunatumia simu za watu wengine na once tukitumia hiyo number hatutumii tena lakn bado mawasiliano yakavuja .
Zaid pia niliweza tumia telegram ambayo naamin ni secured %(on chatting nikiwa na clear for all chat history lakn bado mawasiliano yalivuja)
Tusaidien wana technology huyu mtu anatumia njia gan ku track hadi mawasiliano ya number zngne ambazo hazina UHUSIANO kbsa na number anazozijua
jamaa aliwez kutoa taarfa ambazo ni sahihi kbs kuw mawasiliano yetu yanadukuliw kwa 100,%
Taarfa ndan ya cmu zetu zkiw c salam na hii means huyu mtu anashirikiana watao huduma au anatumia nn
TUPEANE UZOEFU LAKN NIKIWAKUMBUSHA TUPO UCHI KBSA KUPITIA MITANDAO YA CMU HASA TUNAYOINA NI MITANDAO MIKUBWA .MAPINDUZ MAKUBW YANAHITAJIK NA HAPA NDIO TUJUE MCC INAUWEZO WA KUISHINDIA HADI KIAAMA KAMA HATUWEZ CC RAIA KUFANYA PHYSICAL MAPINDUZI