Mechanism ipo, ndo kama walichofanya. Bahat mbaya walikuta alishaitoa. But angekua hajatoa wangekurudishia. Again na ww tumia akili, inawezekana pia huyo mtu alikua anasubiri hela kutoka somewhere so hakua na shaka. Na pili, we unashindwa nn kumpgia umuombe akurudishie, sio kila mtu mhuni kama ww!Tumia akili neno kupoteza maana yake inabakia kupoteza kwa maana siyo intentional similarly na kilichotokea kwangu. some mechanism has to be in place kuzui watu wasio waaminifu
Hiyo ni kesi ya aliyetumiwa kimakosa.Swali ni je,kama aliyetumiwa ni mtu sahihi naye asubiri dakika 10 au zaidi?Kama huna ahadi yoyote ya kupokea hela how come uwe na haraka ya kutoa hela ambayo huitambui
Nikweli ila makosa yako kwako bado..jaribu kuongea nao pindi ikitokea akatumiwa hela eletwe kwako..mimi nilisha wai kutuma lak 6 kimakosa kuja kugundua keshatoa..ila nikafanikiwa kupata lak na nusu baada yeye kutumiwa ela kesho yake nyingine mpaka leo ni sadakaSuppose namba zangu ni 075423678 na niliyokosea inasoma 0754233978 . sometime ni ngumu kuona hiyo namba hapo katikati haswa ukizingatia mazingira niliyotumia hela yalikuwa kwenye gari linalotembea.
Huyo jamaa sio mwizi, pesa umempa mwenyewe. Kwa hiyo haipaswi kumuita mwizi.Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Aisee..!! Mbona unazidi kumpa machungu jamaaNilikuwa kwenye maombi..nilipoona hela imeingia nikajua maombi yamejibiwa mkuu.....nikaitoa fasta....sasa nashaNgaa unanianika humu jukwaani......naomba uvumilie ...utapata nyingine


Mungu angehukumu kwa namna hiyo duniani tungekuwa hatupo. Hiyo hakikisha ni tahadhari na ilibidi wawe na if...HAKIKISHA NAMBA YA UNAE MTUMIA PESA KABLA HUJA RUHUSU MUAMALA..
FEDHA IMETUMWA TOKA ACCOUNT YA BANK KWENDA MPESA NA HUWA HAIONYESHI JINA . Ingekuwa ni kama unavyosema isingekuwa rahisi. next time tumia maneno ya kistaarabu usifikiri wote humu ni watoto wenzakoUkituma pesa kimakosa ni uzembe wako usianze kulalamika acha upoyoyo na saivi wameboresha adi wanaleta jina kabla haujatuma.
Unaanza kuita watu wezi amekuja kukuibia ? Wewe si umetuma mwenyewe kwenye no yake hajakuomba, kwa nn asiitumie kama unampigia harafu unamjibu kwa kejeli ata kama ni mm naitumia icho kiela chako tukalipane police ndo safi.
M - pesa ni salama sana usichafue huduma za watu kwa kukosa mwenyewe umakini, ni mara chache sana kuskia kuwa mtu kaibia ela m pesa bila yey kujua, labda wawe hacked line yako ya simu.
kama amekosea kutuma mpesa na imetolewa Mpesa wafanye nini?