nimerifikilia hili pia ningekuwa mimi nafikiri ningefikiria jinsi ya kujiuzuru.huu ni uhuni watu wako tayari kulindana kwa namna yoyote(serikali full madudu) lakin yatakuja mengi tuone luhanjo kama ataweza. mbya zaidi wana mtafuta aliyepeleka barua- huu ni uttoto sasaSasa siku ile Pinda alipomuhukumu Bungeni aliposema kwamba kama angekuwa yeye ndie aliyemteua, angekuja tu bungeni siku ile kutoa taarifa kwamba alishamtimua. Leo hii sijui Pinda atatuelezaje! Au atamwangaliaje Mkweree na Jairo!
Kweli usicheze na Mkweree!
<br />Juu ya ukweli wa hii taarifa naomba niruhusuwe niwe doughting tomaso, lazima nione viganja ndio ni amini. Ya wezekana ni watu wa idara ya hali ya hewa mko kazini na kipima upepo( you call it barometer sio?). Inasemekana mnatumia mbinu za zamani kupima hali ya hewa. <br />
<br />
Bali ni furusa ya kuona wachaingiaji ambao wako idara ya hali ya hewa. Ila wafikishiene ujumbe huu mitaa hali ya hewa ni mbaya sana mvua na upepo ni mwingi sana ikiongezeka na hiyo sunami ya jairo tena, si ajabu sunami inayoikumba libya sas ikatokea na hapa kwetu.
Unapoingia kwenye thread kama hii hakikisha Daktari wako amekuruhusu baada ya kukufanyia vipimo vyote muhimu kama presha n;k. Rostam aliposema anaachana na Siasa uchwara wengi hamkujuwa ana maana gani, ukweli ni kwamba yeye anaifahamu fika CCM na serikali yake na hakuna mwenye usafi wa kumnyooshea mwenzake kidole.waungwana hii inanichanganya na wala hainiingii akilini kwani kilichokua kinachunguzwa hasa ni nini?
1. idadi ya taasisi zilizo chini ya wizara husika.
2.pesa alizokusanya
3.dhumuni la ukusanyaji wa pesa
4.matumizi ya pesa zenyewe.
waungwana kilicho nichanganya zaidi ni kuwa sheria inasemaje juu ya uchangishaji wa pesa ktk wizara za serikali na taasisi zake.
Shelukindo ndiye aliyeharribu sakata zima; kuhamisha fedha za serikali kwenda kwenye akaunti za serikali ni ngumu sana kuifanya iwe ufisadi Kama wezi wa EPA wangechukua zile bilioni 133 na kuziingiza kwenye akaunti ya wizara ya afya au elimu sidhani kama watu wangesema ni ufisadi. Labda improper yes lakini corruption the bar is very high. Shelukindo hakutaka watu wakamatwe.. vinginevyo angesubiri wabambishwe.
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil
More updates to follow
<br />kifisadi fisadi Jairo shujaa