Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Luhanga Mpina akitoa mchango wake amesema, amesoma taarifa ya CAG mwaka 2021, amesoma majumuisho ya majibu ya serikali na mpango wa utekelezaji wa taarifa ya CAG, hakuna sehemu kwenye majumuisho ya mpango wa utekelezaji wa taarifa ya CAG inayoonesha hatua mahususi zilizochukuliwa mpaka sasa toka Ripoti ya CAG itolewe Machi 2023.
Akiongez kuwa, aliwahi kusema kuwa tumepigwa zaidi ya Trilioni 30 katika Ripoti ya CAG ya mwaka 2021/22 na leo anasisitiza ni zaidi ya trilioni 230, na kwamba hayo yanathibitiswa na maneno ya FIU ambayo inasema zaidi ya trilioni 280 zimehamishwa ndzni na nje nchi na kati ya hizo trilioni 56.6 zimehamishwa fedha taslimu kupitia mipakani na maeneo mengine, trilioni zingine 222.81 zimehamishwa kupitia njia ya mtandao.
Mwigulu akitoa taarifa kutetea upotevu wa matrilioni akapigwa na kitu kizito
Mpina akahoji, kama nchi hii masikini zinaweza kuwa na taarifa shuku trilioni 280 usalama uko wapi?
Akiongez kuwa, aliwahi kusema kuwa tumepigwa zaidi ya Trilioni 30 katika Ripoti ya CAG ya mwaka 2021/22 na leo anasisitiza ni zaidi ya trilioni 230, na kwamba hayo yanathibitiswa na maneno ya FIU ambayo inasema zaidi ya trilioni 280 zimehamishwa ndzni na nje nchi na kati ya hizo trilioni 56.6 zimehamishwa fedha taslimu kupitia mipakani na maeneo mengine, trilioni zingine 222.81 zimehamishwa kupitia njia ya mtandao.
Mwigulu akitoa taarifa kutetea upotevu wa matrilioni akapigwa na kitu kizito