Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Muda mhafaka inaweza kuwa kortini,
Huyo mtuhumiwa anafikishwaje kortini pasipo ushahidi wa kosa lake(clip) kufikishwa katika vyombo vya dola?

Kumbuka hata hii clip imerekodiwa december, kwa nini waliamua kukaa nayo muda wotebhuo pasipo kifikisha katika vuombo husika?

Walisubiri muda muafaka?
 
Nchi yangu Tanzania mbona kila mtu atayenyanyua mdomo ataishi kwa wasiwasi. Mungu tusaidie siasa zisilete machafuko.
 
Haya na hii ni ya uongo? Slaa aje akanushe

Aje kukanusha nini?? Kwamba huyo jamaa hajahusika kwa nanma moja au nyingine?? Magamba hampumui mwaka huu...
Hii haina tofauti na sinema za kihindi staa wa muvi anakufa kwenye bustani ya maua.
 
Manyerere nalazimika kuamini kabla ya muda wa kuamini jambo hili,pia napata maswali mengi sana kichwani yasiyo na majibu ya moja kwa moja.anyway wacha niendelee kutafakari wakuu

...nimejitoa kuamini na kumuamini huyu jamaaa....hapa kuna mchezo...
 
Nini kimemsibu mzee mwanakijiji?au bado ana-internalise yanayotokea?
 
Huu ni mchezo tunachezewa

Time will tell

huu mpango umesukwa

Nitapambana napigania taifa langu
 
mmm Iringa kwetu tena! Alienda kumwangalia mwehu mwenzie Mjengwa nini mana nae kwa sasa haaminiki toka kwa Mwangosi alivoshadadia na anavotumiwa sasa ivi mmmm ni hatari sana aka kajamaa
 
Mchawi hayuko nje, mchawi anayeiroga CHADEMA yuko humo humo ndani ya chama. Mpaka hapo mtakapo badilisha mawazo na mitazamo ya jinsi ya kukabiliana na changamoto mbali mbali, CHADEMA kitaendelea kupata misukosuko kama hii.

CHADEMA haina jinsi bali lazima imutoe kafara Lwakatare, otherwise itabidi mtafute magwiji wa kazi za PR siyo hawa wa sasa wanaowashauri ( kama wapo).

Mbona hii mpya, Yaani movie ya maudodo waitengeneze CCM halafu ACTORS wawe ni viongozi waandamizi wa CHADEMA. Hawa viongozi wenu wana matatizo gani?.

Usijifanye mbuni bana we msukuma/mnyamwezi wa wapi mgumu kuelewa kiasi hiki?
Au umetumwa na chama...??
 
Ramos naye yuko wapi na issue ya Miraji Simba wa Temeke aliyeko Uturuki?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom