Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

naona mmeamua kuchezea vichwa vyetu! Mimi naona kama uchunguzi aliyetupia huku clip huyo BUKOBA BOY Pamoja na mwenye id hugochavez wanatakiwa nao wakamatwe ikiwa kama kweli polisi wanataka jambo hili liwe wazi.
1-walikuwa wapi siku zote uhalifu ukipangwa ? Waje watupe clip mtanaoni!?
2-huyu anayejiita hugochavez inaelekea jambo hili kwake limekaa kiushabiki zaidi kuliko uhalisia wenyewe na zaidi kwanini wasipeleke hii wanaouita ushahidi wa maandishi na kukimbilia kutupia mtandaoni? Does that really make sense? Hasa kwenye swala nyeti kama hili?

Mimi naamini hawa wawili ni watu muhimu sana! Ili polisi waweze kujiridhisha na wanachokichunguza! Nasisitiza tena hawa wawili ni watu muhimu sana sana kuisaidia polisi ili kupeta mchanga na dhahabu ni kipi! GT wengine waliobobea kwenye maswala ya sheria wanaweza wakasema kitu...

hugochavez ni whistle blower asiguswe kwa uhai wa taifa! Ndio maana watu wakaruhusiwa kutumia ID za kuchonga.

Kwa wanaotumia kichwa sawa sawa hii njia ndio inatakiwa kuwa supported na jamii zenye matatizo mengi kama hizi za kwetu chini ya jangwa la sahara.
 
Kinachonishangaza mimi mleta clip anasema anazo zingine nyingi ambazo ataziweka muda muda muafaka.

Muda muafaka ni muda gani?, atakapotekwa mwingine au?

Inamaana hizo clip zipo kwa ajili ya kazi maalumu tu(mf. manufaa ya kisiasa) na wala sio kukomesha uovu huo na kuhakikisha usalama wa wananchi?
 
Manyerere. thank you for the earlier information. najua wakuda wa ccm watashtuka sana lakini tunaomba watulie, haya ndiyo wanayoyafanya!
 
Naomba mods waicrop hiyo picha ili huyo dada asionekane, (dada) hana kosa lolote
Hii ingefaa iende Jf Jokes manake nimecheka aisee, eti wa crop, ha ha haaa!! Aisee kitu imeanzia Youtube Na sasa kila Mutu anayo sasa wacrop Nini ha ha haa!!
 
Nchi hii inaendeshwa kimafia sana,hivi Lwakatare hajaachiliwa huru?
 
Manyerere nalazimika kuamini kabla ya muda wa kuamini jambo hili,pia napata maswali mengi sana kichwani yasiyo na majibu ya moja kwa moja.anyway wacha niendelee kutafakari wakuu
 
Kinachonishangaza mimi mleta clip anasema anazo zingine nyingi ambazo ataziweka muda muda muafaka.

Muda muafaka ni muda gani?, atakapotekwa mwingine au?

Inamaana hizo clip zipo kwa ajili ya kazi maalumu tu(mf. manufaa ya kisiasa) na wala sio kukomesha uovu huo na kuhakikisha usalama wa wananchi?

Kila clip ina fungu lake na mtengenezaji anatoa pale anapopewa fungu aliloahidiwa.
 
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.

yasiwe mambo kama yale ya joshua gituu wa ulimboka.
 
Kinachonishangaza mimi mleta clip anasema anazo zingine nyingi ambazo ataziweka muda muda muafaka.

Muda muafaka ni muda gani?, atakapotekwa mwingine au?

Inamaana hizo clip zipo kwa ajili ya kazi maalumu tu(mf. manufaa ya kisiasa) na wala sio kukomesha uovu huo na kuhakikisha usalama wa wananchi?

Muda mhafaka inaweza kuwa kortini,
 
Kaka ni kama tuna akili moja..
hawa watu wanaweza kumpa hata hela zote za EPA alimradi tu aingamize Chadema, sina imani kabisa.

Mkuu mimi nimeshaliona hili movie la kichina jinsi linavyotengenezwa na vyombo vya dola. Hapa kilichopo ni kutafuta namna ya kumshtaki Lwakatare na kuharibu image ya Chadema mbele ya macho ya watanzania.

Lakini naamini kuwa hila zao zitashibdwa tu kwakuwa tulikotoka ni pagumu kuliko tunapokwenda. Pamoja na kuwa matukio haya ni mazito sana lakini tuwe tayari kuyakabili kwakuwa hayana budi kutokea ili kulitimiza neno la wasira.
Lakini kwa uwezo wa Mungu tutavuka tu na kuingia mwaka 2015 tukiwa imara zaidi.
 
Dah kweli miluzi mingi humpoteza mbwa!! Sasa hivi sijui hata huu upepo wa kisiasa unavuma kuelekea wap?? sijajua hapa tunaongela ishu ya Kibanda au Msacky!? Mwananchi limetaja Msacky (bado najiuliza lilisikia wapi wakati tumeanza wote kuiona clip humu) wengine wamelink Lwakatare na Kibanda, Kova anasema anatuhumiwa kwa uchochezi , hiv tujadili lipi hapa???
 
Hapa nikusubiri hii movie lakini ninachokiona target kubwa ni CDM na huenda movie linaenda kukamilika,lakini nawapa pole sana maana kuifuta kirahisi kama wanavyodhani na wapambe wao kushabikia humu JF,wajue whaitakuwa rahisi.
 
polisi nao watasema kwa mujibu wa jamii forum tunamshikilia Ludovick
naona polisi wanatafuta habari zao JF,
Kova hajatoa press release bado tu?
 
Kinachonishangaza mimi mleta clip anasema anazo zingine nyingi ambazo ataziweka muda muda muafaka.

Muda muafaka ni muda gani?, atakapotekwa mwingine au?

Inamaana hizo clip zipo kwa ajili ya kazi maalumu tu(mf. manufaa ya kisiasa) na wala sio kukomesha uovu huo na kuhakikisha usalama wa wananchi?

I love maswali ya msingi (kama haya) juu ya hili jambo
 
Wewe kweli mwalimu masikini, ndio maana watoto wetu wanafeli ovyo!

The list continues mpaka umalize vyama vyote...... The main culprits ndio tumewatanguliza CCM na CDM.
mkuu kosa langu wapi?mie sinimeuliza tu? by the way la kufeli mie simo wanafunzi wangu hawajafeli
 
Ila tu asije akawa mkenya, maana tushaamua kuwasingizia wakenya na hawafanywi chochote
 
Kila siku Ng'wamapalala unaimba wimbo huu huu ambao hauna mvuto. Siku wanachadema wakiikimbia thread inayohusu jambo nyeti kama hili basi ujue JF itakuwa imepoteza muelekeo.

We are here to stay dude achana na hizo wishful thinking zako utaishia kupata aibu tu kwakuwa hii movie ya maudodo inayoongozwa na vyombo vya dola kwa maelekezo ya chama chenu haitawaongezea imani kwa wananchi kwakuwa chama chenu kiko beyond repair!
Mchawi hayuko nje, mchawi anayeiroga CHADEMA yuko humo humo ndani ya chama. Mpaka hapo mtakapo badilisha mawazo na mitazamo ya jinsi ya kukabiliana na changamoto mbali mbali, CHADEMA kitaendelea kupata misukosuko kama hii.

CHADEMA haina jinsi bali lazima imutoe kafara Lwakatare, otherwise itabidi mtafute magwiji wa kazi za PR siyo hawa wa sasa wanaowashauri ( kama wapo).

Mbona hii mpya, Yaani movie ya maudodo waitengeneze CCM halafu ACTORS wawe ni viongozi waandamizi wa CHADEMA. Hawa viongozi wenu wana matatizo gani?.
 
Back
Top Bottom