Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Wadau tuwe makini sana na sinema ya kichina inayochezwa na vyombo vya dola.
Kuna mtu anatajwa kwa jina la Ludovick katika video clip ya bukoba boy. Na kwa wale tuliofuatilia kwa umakini comments za wanaccm mitandaoni walionyesha kumfahamu huyo Ludovick.
Sasa hapa ndipo mahali pa kuwa makini sana na ku connect dots!

Sina kigugumizi kusema kwa uwazi kuwa hii sinema ina lengo moja tu la kumtia hatiani Lwakatare na si vinginevyo. Endeleeni kufuatilia hii sinema ya maudodo mimi hawanipati ng'o!

Ha ha ha ha!. Toka lini Mkurya akawa mjanja?. I'm joking.

Huyo Lwakatare ameishajitia hatiani mwenyewe.
 
mkuu unataka kumaanisha Ludovick aligeukwa na aliotaka kuwauzia dili.?

Inawezekana jamaa alikuwa anarekod ili siku akibabatizwa aseme ametumwa, pili, anaweza kujifanya ametekwa na wajamaa ili asionekane kaitoa yeye cdm wasimuone msaliti, tatu, inaweza ikawa alitekwa kweli wakachukua laptop yenye clip na yeye kurudi cdm kuwambia kitakachotokea. Kwa lwakatare kuwa relaxed akiongea ni kwamba ludovick wameisha mwamini sana ni mtu wake wa karibu. Any crime has footprint, the issue is always to discover them.
 
Mungu awasaidie wote mlioshikwa ufahamu na zaidi muumbiwe moyo safi wakung'mua jema na baya

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tanzania bila uhalifu wa chadema na UFISADI wa ccm inawezekana kila mtu atimize wajibu wake..

Kwa hili chadema imejichimbia kaburi yenyewe..
 
Nguvu ya Ukweli ni Kubwa kuliko nguvu ya Umma! Ukweli huahirishwa hauwezi kufichwa, Chadema inajitafuna inafukuza waropokaji inakumbatia wauaji! Bora tugawane majimbo kuliko kuongozwa na Mafia walojivika uzalendo wa kimagumashi! Pole sana Jakaya Muuaji tumemjua, Mwakyembe,Mwandosya, Ulimboka walipopata Ukweli walikuelewa na wakakuomba msamaha!
Kugawana majimbo?, very sorry my dear.
 
Wadau tuwe makini sana na sinema ya kichina inayochezwa na vyombo vya dola.
Kuna mtu anatajwa kwa jina la Ludovick katika video clip ya bukoba boy. Na kwa wale tuliofuatilia kwa umakini comments za wanaccm mitandaoni walionyesha kumfahamu huyo Ludovick.
Sasa hapa ndipo mahali pa kuwa makini sana na ku connect dots!

Sina kigugumizi kusema kwa uwazi kuwa hii sinema ina lengo moja tu la kumtia hatiani Lwakatare na si vinginevyo. Endeleeni kufuatilia hii sinema ya maudodo mimi hawanipati ng'o!

Mimi hata nashindwa nikomenti nini, miruzi imekuwa mingi. Ngoja ni-buy time na kupumzisha akili kidogo!
 
Jamani, mimi
sibahatishi! Hapa nimeamua kupambana maana najua maisha yana mwisho. Hii
habari ya kukamatwa kwake ni kweli kabisa. Watanzania tupambane
tuhakikishe Tanzania inakuwa salama wa binadamu wote kuishi.

hakuna lililofichwa ambalo halitafunuliwa ni swala la muda 2.Mkuu 2nakuombea Mungu akulinde
 
Let's be serious on this please, please, please!!!!!!!!!!!!, ARE YOU SURE?

kuna hii hapa ya urafiki fb

LudovickNAMwigulu.jpg
 
Hivi unamfahamu Ludovic?. Usishangae kuona CHADEMA wanaikimbia hii thread. Hii imekaa vibaya kwa CHADEMA, fanya kwanza utafiti and then come back.

Kila siku Ng'wamapalala unaimba wimbo huu huu ambao hauna mvuto. Siku wanachadema wakiikimbia thread inayohusu jambo nyeti kama hili basi ujue JF itakuwa imepoteza muelekeo.

We are here to stay dude achana na hizo wishful thinking zako utaishia kupata aibu tu kwakuwa hii movie ya maudodo inayoongozwa na vyombo vya dola kwa maelekezo ya chama chenu haitawaongezea imani kwa wananchi kwakuwa chama chenu kiko beyond repair!
 
Last edited by a moderator:
kwenye clip ya video ya lwakatare:

15:59 ...sauti inasika ikisema ‘’ unamuweka kwenye dilemma hajui adui ni nani yaani anakuja hapa anakukuta wewe ‘’LUDOVICK’’ ndiye unamfatilia’’...huyu Ludovick ni nani?( some dots needs to be collected and connected here ) yawezekana ni mmoja wa vijana waliokuwa wanajirekodi na hili ni jina lake halisi na wametajana pasi kujua au ni code name?..

17:10 kijana anayepewa maelekezo (‘’Ludovick) anauliza ‘’ kwa hiyo kama kila kitu kitaenda well inakwenda mpaka lini?’’ lakini katika kujibu clip inayomuonyesha lwakatarea akijibu swali hilo akisema ‘’ Bahati mbaya umekuja na majibu yasiyojitosheleza’’ ....katika majibu haya kuna mkanganyiko mkubwa maana hakuna uhusiano wa swali lililoulizwa na jibu lililotolewa....tangu dakika ya 15 ya clip hii maelezo ya sauti zinazosikika hayana mpangilio wa manaa... mengi yalilenga kufuatisha ishara na vitendo vya lwakatare alivyokuwa akiongea na ukitizama kwa makini hakuna uhusiano kati ya maneno yenyewe na mdomo wa lwakatare.............

subiri watu wafanye kazi yao acha ukweli ujipambanue wenyewe acha kumbwelambela
 
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.

naona mmeamua kuchezea vichwa vyetu! Mimi naona kama uchunguzi aliyetupia huku clip huyo BUKOBA BOY Pamoja na mwenye id hugochavez wanatakiwa nao wakamatwe ikiwa kama kweli polisi wanataka jambo hili liwe wazi.
1-walikuwa wapi siku zote uhalifu ukipangwa ? Waje watupe clip mtanaoni!?
2-huyu anayejiita hugochavez inaelekea jambo hili kwake limekaa kiushabiki zaidi kuliko uhalisia wenyewe na zaidi kwanini wasipeleke hii wanaouita ushahidi wa maandishi na kukimbilia kutupia mtandaoni? Does that really make sense? Hasa kwenye swala nyeti kama hili?
Mimi naamini hawa wawili ni watu muhimu sana! Ili polisi waweze kujiridhisha na wanachokichunguza! Nasisitiza tena hawa wawili ni watu muhimu sana sana kuisaidia polisi ili kupeta mchanga na dhahabu ni kipi! GT wengine waliobobea kwenye maswala ya sheria wanaweza wakasema kitu...
 
Ukifungua page ya Joseph Ludovick kwenye facebook anasema alitekwa na majambazi siku ya tukio la kupigwa Kibanda na majambazi ila hawakumpiga zaidi ya kumvua nguo na kuchukua vitu alivyokuwa navyo kama flash disk, laptop na pesa elfu 35. Inabidi tuconnect dots hapa. Kuna uwezekano flash disk na laptop ndo ali-save hiyo clip na recordings nyingine. Ishu inaweza kuwa kweli na kumbuka jamaa wangeipeleka polisi wasingepata hela hivyo kunauwezekano kuipeleka CCM ndo waliona jamaa watatoa hela.
Ukimsikiliza Dr slaa anasema walishapata habari kwamba kitu kama hicho kitatokea na walikuwa wanajiandaa jinsi ya kudeal nayo
Mimi CDM ila tuangalie mlolongo wa matukio hapo na hakuna lisilowezekana
Inawezekana Lwakatare alifanya kweli pengine kuwalizisha wakubwa, na theories nyingine tu hapo
hapa bado sijakupata, lengo la kuisave clip kama ile na awe anazunguka nayo ili iweje?
 
Hiyo heading yako inaeleza kila kitu...."mtuhumiwa mkuu..."
Well, swali la kijinga ni je! ni nani alim-classify kwa hiyo title?
Sasa kwa vile wewe (Manyerere) umejaliwa kuijui hiyo siri ya utuhumiwa wake si vibaya nawe ukiunganishwa ili ukaeleze uhusika wake.

I smell something stinky here.......you want to plant people to fit your vindictive ends.
I'm interested in reading of the growing list.... Lwakatare, Bukoba Boy, Hugochaves, Ludovic, Manyerere...
 
Tatizo lako unaongea bila kufikiri linalo kujia unaandika tuu!

atasema na rwakatare ni feki na ametumwa na ccm kuiua chadema. anasahau kuwa na yeye yumo hatarini na yote hayo yalikuwa yanafanyika kwa kutokana na ushauri wake. mbowe pia hakwepi hapo
 
Back
Top Bottom