Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
itafahamika tu.sasa hii inahusiana Vipi na Dr Slaa wewe mtumiwa.?
itafahamika tu.sasa hii inahusiana Vipi na Dr Slaa wewe mtumiwa.?
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.
sijui kama unachokisema kina weza kuwa, mioyo ya watu imeingia sugu..ccm walichemsha waliposema Cuf wamekuja na visu na kumbe ni uongo, tangu wakati huo ccm hawaaminiki inapotokea mambo kama haya unless waifanye iwe beyond doubts..Tanzania bila uhalifu wa chadema na UFISADI wa ccm inawezekana kila mtu atimize wajibu wake..
Kwa hili chadema imejichimbia kaburi yenyewe..
Huyo bila kufanya hivyo akawezeshwa pale Lumumba yeye na mama hajaenda choo mkuu,njaa mbaya sana.
Sikutegea hawa watu kama wangetoa like kwenye hii framed thread
Sikonge, Mwakalinga Y. R, ninesi and 7 others like this.
Kimagege, Mkulima wa Kuku, MTAZAMO, AshaDii, Aggrey86, FM stereo, jerrytz
Huyo keshaandaliwa kucheza hii picha ili akaseme walipanga na lwakatare. movie za kova
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.
Hahaha hii itakuwa hadith kama ya yule askari aliyemuua Mwangosi, huyu Ludovick Joseph ametengenezwa ili amtaje Lwakatare kuwa ndie aliyemtuma!
sijui kama unachokisema kina weza kuwa, mioyo ya watu imeingia sugu..ccm walichemsha waliposema Cuf wamekuja na visu na kumbe ni uongo, tangu wakati huo ccm hawaaminiki inapotokea mambo kama haya unless waifanye iwe beyond doubts..
Bhana si umesema waenda kunywa gongo wasijeweka maji mbona bado umo humu?
`WanaJF: Kuna kitu kimoja kinanitatiza na nakiweka hapa kama kina relevance yoyote: nani alimteua Mwanahabari eric kabendera kumshindikiza Kibanda hadi A. Kusini katika ndege ile?
Inadaiwa Kabendera ni mwanausalama (TISS) aliyeboboea -- hivyo kuhusika kwake na hili sakata ni nini? Yeye na Kibanda wakoje? Ana assignment maalum kule A. Kusini?
Halafu nimeambiwa na watu wa New Habari kwamba siku chache kabla ya tukio la kutekwa Kibanda, Kabendera alikuwa anaonekana pale new habari wakiwa wanakutana na Kibanda.
Halafu wiki chache kabla watu wa uhamiaji walikwenda kijijini kwa kabendera na kuiharrass familia yake eti si raia wa Tanzania. Kuna relevance na hili nalo?
NAMI NAHISI KITU KAMA HICHO MKUU.....ngoja tusubiri tuone!
so nini kinafuata baada ya kukamatwa?
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.
Kwani alikua anaenda kutubu katika kanisa gan huko iringa?