masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Jamani naomba musishushe ufahamu unaotakiwa kuwa JF. Kabla ya kumusifu huyu mtu hebu kwanza someni kazi na madaraka ya Bunge. Baada ya hapo ndo mutoe sifa.
Kwa matamko yake ya aina hii mimi kwangu nasema ni upuuzi kwa mbunge wa siku nyingi kugeuka kufanya kazi ya Amiri jeshi mkuu. Hana sababu yoyte ya kuzungumza uchafu wake kama huu. Kazi yake ni mbunge basi! Hata kama ana malengo yake mengine hatutegemei display za aina hii.
Tatizo la Lowasa kila wakati anataka sifa zimuendee. Kila wakati anaona kazidiwa na wengine.
Ni aibu ktk JF kuanza kusifu mtu wa aina hii. Naona tunajisahau na kuanza ushabiki. Bunge gani ktk nchi litatangaza vita na kutisha nchi nyingine?
Eti naye anataka kuwa Rais. Basi, asubiri mpaka muda huo ukifika ndo atoe hayo. Kama miguu itakubali kusimama majukwaani maana sasa naona ni hotuba za kwenye sofa.
Mkuu you are being narrow minded.
Dont let your political affiliations na inlinations zikuzibe ufahamu wako wa kujua what is at stake.
Confrontations na Malawi zikianza hazitachagua mtu wa chama chochote na msimamo wake.
I usually dot aggree with EL , hasa katika stint yake ya uwaziri mkuu.
What is at stake here is bigger than your wildest imaginations.
Hivi umejiuliza haya mambo why now?
Is it a coincidence kwamba wakati huu huu na Mama Clinton yuko Malawi?
Na Malawi haikufanya kosa , IMELIGAWA ENEO LA EXPLORATION LILILO NDANI YA SEHEMU TUNALOLIDAI!
Explorers wenyewe:British!
It takes some brains to put two and two together.
Mtu usisahau vile vile kwa tamko hili la Lowassa limetolewa na Sitta na hata Waziri Membe.
Muchunguzi, kwa akili yako would you think that is also a coincidence!
That is called building up the pressure on Malawians.
Hivi wewe ulitaka Lowasa akubaliane na Malawi, usisahau kuwa pamoja na ufisadi wake bado ni mwenyekiti wa kamati ya ULinzi na Usalama.
Mkuu sampling ya hizo facts na analysis yake lazima itoe tamko thabiti- for now it doesent matter who says it, but imesemwa n Tanzania.
Soma link ya jamaa mmoja hapo juu , huko Malawi ujumbe umeshafika.