Suala hili la uvamizi liko mahakamani, si vema sana kulizungumzia tutaingilia uhuru wa mahakama. Wazambia wanadai mambo makubwa sana ambapo taifa Kwa Sasa haliwezi kuwatimizia..
ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Da! Maisha ya kibongo bana,raha mostarehe.huenda chadema wanahusika.