Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,509
- 93,083
Jamani mimi naomba kuuliza tu, hii ni kauli ya Lowasa au ni kauli ya Kamati ambayo yeye ndio Mwenyekiti na ameongea kwa niaba ya kamati nzima? i mis some point here!
Lowasa ametoa tu status ya jeshi letu. Na hili ni jukumu lake. Hajatangaza vita.
Mkuu Jasusi, Lowassa ndiye M/Kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, hivyo anazo nguvu na mamlaka yote kuzungumzia hili!.Mimi nashangaa chain of command yetu iko wapi. Lowassa yeye ni nani kuzungumza kwa niaba ya JWTZ? Kamanda in Chief yuko wapi? Yaani Tanzania yetu imeshaparaganyika kiasi kwamba yeyote tu anaweza kuzungumza kwa niaba yake? Suala la vita au kuwa tayari kwa jeshi letu ni kamanda in chief peke yake anayeweza kulizungumzia. When was the last time you saw Lowassa inspecting a guard of honour?
Hata mi naona kipindi hiki si sahihi, na pia hela ya vita inatoka wapi? Wakati za mishahara tu hamna!Maneno ya kujifurahusha hayo! Vijana wa JWTZ hawana morali hata kidogo ! Nani anaenda kupigana vita wakati dhuluma imetapakaa kila sehemu? Hata JWTZ kwenyewe kunafukuta moshi ndani kwa ndani kwa muda mrefu sasa.. Vijana wanaonewa , wanahujumiwa nafasi za masomo, posho halali Na mengine mengi.. Kwa maoni yangu kuingia vitani kipindi hiki imekula kwetu..
Commander in chief wetu matamko yake yanaishia kwenye utetezi wa rada na kebehi kwa madaktari na walimu wanaogoma(mbayuwayu)ya nini kusumbuka na mambo yanayo umiza kichwa bwana Jasusi?Hata status ya jeshi letu si Lowassa mwenye mamlaka ya kulizungumzia. It is simply cheap politics. Where is our commander in chief? Hivi, wakati wa chokochoko za Idd Amin mlimsikia Kawawa au mbuge yeyote yule akizungumzia juu ya utayari wa jeshi letu? Hiyo ilikuwa kazi ya Commander in Chief. Na as long as we have one, unless you want to tell me we do not have one, no one else can speak on behalf of the readiness of our JWTZ.
Hii ni dalili nzuri, kama kosa lake ufisadi wa Richmonduli tuu, then its very simple, lile ni zigo la watu amejitolea kujitwishwa yeye to save faces za watu kama alivyofanya Muokozi, kuzibeba dhambi zetu ili sisi tuokoke!.Nimeipenda sana kauli hii ya Lowasa katika gazeti la Mwananchi la Leo Jumatano;
Hapo ndipo huwa namkubali Lowassa kuliko wengine wote ndani ya CCCM walau kwa kauli na matendo ya namna hii ukiondoa yale mengine ya ufisadi
hatuwezi kuwaignore wamalawi kwa sasa, they've been ignored long enough.Hatuna uwezo wa kupigana na Malawi kwasababu hiyo morality ya wananchi, these times around ni huge "luxury".Siyo watu wengi wenye kujivunia utanzania kwasasa.
Sisemi kwamba hatuna uwezo wa kuwapiga wamalawi,lakini matatizo ya internal ni makubwa kiasi cha kwamba tunaweza kuwaignore wamalawi kwasasa.
Mzee Mwanakijiji, you might be growing too old!. Kwa kawaida as one grows older is also expected to be wiser, nikukosoma siku hizi nakuona you are either becoming less wiser au inawezekana mimi ndio nashindwa to make sense hivyo uwezo wa uelewa wangu ndio unapungua kuweza kukuelewa!.Siamini hili; hii ndio sababu ya kwanini siamini anafaa kuwa Rais. Anazungumzia vita leo? kwa lipi hasa? wanataka kuescalate vitu bila sababu ya msingi. Hafai kuwa Amiri Jeshi Mkuu. Kama hii ni sababu ya kwenda vitani basi tumekosa viongozi kweli kweli!
mbona sijaona pahala wamalawi wamesema hawataki hao uliowataja wanufaike na ziwa Nyasa?can you back up you claims?suluhisho la mgogoro ni lipi?huu mgogoro ulivyo,mwenye kuwa juu ni mwenye influnce at the time being,kama mama Clinton yuko nao,wala msijisumbue,kamateni mafisadi kwanza,nchi itarudi kwenye msitari,"umma" utalinda nchi.Kuna pahala panshinda nguvu ya umma?jeshi lipo lakini hata recruiting inafanyika kwenye umma wa wananchi,na sapoti ya vita pia.Hatuna nguvu za "big nations" kujiamulia bila sapoti kubwa ya wananchi.Halafu matatizo tuliyonayo ni makubwa kiasi kwamba kupostpone hii issue ni more relevant.hatuwezi kuwaignore wamalawi kwa sasa, they've been ignored long enough.
Lazima tuwe na suluhisho la mgogoro huu, kama wewe huna uzalendo, kaa pembeni usitake kuwakatisha watu tamaa.
Kila kitu kwako wewe ni siasa tu, hapa hatujali hiyo mivyama yenu ya kipumbavu tunataka wayao,wanyakyusa, wananchi wa ludewa, kyela, nao wafaidike bila shari na ziwa ambalo ndiyo source yao ya chakula, usafiri na mambo mengine ...
Wewe kama unaogopa ni bora unyamaze kimya, maana unaonekana mpumbavu sasa.