Lowassa: Kiongozi na wananchi wote wanalalamika

Lowassa: Kiongozi na wananchi wote wanalalamika

hivi zile mvua za mabomu alizokwenda tembea ng'ambo zimeshaanza kunyesha Monduli?Maana kila mwaka njaa na shida ya maji,
 
Mahaba ni upofu aisee.seriously,kabisa mtu kusema serikali iwe na vipaumbele vichache vya muhimu,kupongeza utendaji wa mawaziri napo ni "kuunguruma"!!! Au tayari zile "kambi" kuelekea 2015 zimeanza!!! Anyway,mleta thread ameshindwa kuficha mahaba yake kwa Ustaadhi Lowasa. Ntarudi... Waiter,please ongeza Kinana Lager nyingine bariiiiiiidi...

Ha haaa ni ndovu au tusker or both?
 
Akiingia lkulu huyu ukoo wa panya mtafaidi

HILI NALO NENO!!!!!!! Kumpa Lowassa kua kiongozi mkuu wa nchi asie na wa juu yake wa kumkemea ni sawa na kumpa Fuko kuwaongoza panya ktk kusimamia Gala la mahindi!! Je kweli hapo kuna kitakachosalimika?
 
Mwizi mkubwa!watanzania tunataka urudishe pesa ulizoiba kwenye Richmond,ha2wezi kumpa fisadi hili papa urais,anaota ndoto za mchana-pumbaf sana.

Hivi nani ana ushahidi kwamba jamaa alikula huo mpunga? Hiyo ilikuwa ni issue ya baba RZ1.
 
Daah,mleta thread kweli umeonyesha mahaba mazito kwa huyu mzee! Mbona ameongea kawaida sana,we unaona hapo kaunguruma!? Serikali makini haiwezi kuweka vipaumbele vya elimu na miundombinu,hizo ni kazi za serikali za muda wote. Ccm kwa ujinga wao ilani yao kila mwaka ina mambo hayo hayo. Tunataka vipaumbele adimu vitakavyotutoa hapa. Acheni mahaba ya aina hii,unaweza kuombwa kuolewa.
 
Hapo inaonyesha LOWASSA anapenda kazi za John Pombe Magufuli zaidi ya WAZIRI MKUU anayemuingilia kwenye shughuli zake...

Conflict of Interests...???
Big up MY PRESIDENT. Unatosha na huna mpinzani
 
Tatizo la wengi wenu mnacomment kwa ushabiki. Mi kamanda ila hapo lowasa kanena. Anafaa kua last card ya maccm 2015.
 
Mi napenda style yake anagawa mpunga hali mwenyewe kina vjcent. jimbon kwake kapga kaz.Anafaa kua last card ya maccm2015
 
Hakuna jipya alilolisema hapo. Katika management tuaaswa kuwa na malengo machache ili tuweze focused. Ukiwa na malengo mengi unababaika ushike wapi uache wapi. Watu wengi tu walikwisha sema serikali inaweka malengo mengi na kushindwa kuyakamilisha. Kazi ya Mheshimiwa John Pombe Magufuli imesemwa na watu wengi hata viziwi wamekwisha sikia. Hana jipya ila kama unataka kumsifia kwa kukalili yaliyokwisha semwa nitakuunga mkono. Kuhusu Harison Mwakyembe anazuga tu, huyu anaeleweka kuwa ni hasimu wake No.1 ila kisiasa anataka kuonyesha kuwa hana kinyongo naye, lakini ukweli ni kuwa hanalo analoliona kwa Mwakyembe.
Lowasa katoa bonge la speech tuweke unaz wa vyama na makundi pemben
 
aisee niliangalia body language ya spika ...alikuwa bussy pamoja na lowasa kumsifia yeye madam na kamati lakini mamahakuwa anasililiza tofauti na alipoongea sugu ...mhhhiii mama kampa sugu asante muda wako umeisha
 
Anasema serikali isilalamike wakarianachangia yeye mwenyewe analalamika...
Hakuna jipya ajira kwa vijana ilikuwa ni sera yao na JK toka 2005 sasa anaongea nini?
Alitengeneza ajira ngapi akiwa PM?
 
Back
Top Bottom