Chantaburi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 749
- 194
watanzania bhana wanazubaishangwa kwa kitu kidogo tu leo watamuona wa maana kwani wamesahau kuwa huyu bwn alisha kuwa waziri mkuu kwanini hakuyafanyia kazi hayo anayoyasema amewahi kuwa waziri kwa mda mrefu tu.akili mkichwa watanzania 2015
Miaka mingapi hivi.