Alakara Armamasitai
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 481
- 133
sasa braza hapa pana speech gani?
amejaribu kuelezea kuwa haina haja ya kuwa na vipaumbele lukuki kama zilizopo kwenye ahadi ya Rais ni muhimu kwa nchi yoyote kuwa na priority chache na ambazo zinatekelezeka pia ameonyesha jinsi gani waziri mkuu alivyofanya vibaya kwa kumwigilia mh.John pombe maguful katika kazi zake.