Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Una UHAKIKA yupo Detroit??Mwanakijiji yuko Detroit. Anamwongelea lowassa ambaye hamfaham vizuri. Hearsay, Wabongo wanamwamini.Kwanza unachoandikaga sikuelewi..
Una UHAKIKA yupo Detroit??Mwanakijiji yuko Detroit. Anamwongelea lowassa ambaye hamfaham vizuri. Hearsay, Wabongo wanamwamini.Kwanza unachoandikaga sikuelewi..
HON. MP, acha ku cream. Hawa mabwana siyo marafiki tena take it from me. Inawezekana wewe hauko karibu na yeyote kati ya hao. Si uliona juzi EL alimkacha JK alivyokwenda Monduli
Nenda kamuulize Mh.Lowasa yamemkuta yepi kipindi hiki cha uchaguzi wa viongozi Taifa nadhani atakupa jibu sahihi zaidi,ukweli unaendelea kubaki ukweli.kama hujui ni vizuri ukatafuta ukweli vinginenyo nawe ni mtiifu kwake sasa mambo yamewashinda mnaanzisha kujifanya hamjui yaliyotukia pale Dodoma.Kimsingi we were aware kuliko unavyofikiri na kudhani tunaandika toka ndotoni mkuu,mie si mnajimu wa kumzushia Mh.Lowasa wala wewe ila i know the fact...!Mlidhani mambo yenu hayajulikani?!
Sote tuko karibu na rais Kikwete maana ni rais wetu wote Tanzania nzima!
Unajua mkuu,ni kwamba Mh.Lowasa ni aina ya watu wenye kujiamini kupita kiasi na anaamini kupitia uwezo wake kifedha kila kitu kinawezekana kufanyika kwa jeuri ya pesa,japo huwezekana lakini haiwezi kuwa applied kila sehemu.Mh. Lowasa atapoteza fahamu safari hii, jiulize mkuu, kama yeye ana watu anaowaamini, kwa nini alikimbia kundi lakifo? Hakuna kitu tena pale! Ngoja tusubiri kama bado atakuwa na nguvu ya kwenda kwenye makanisa, mashule na misikiti kutoa vijisenti eti michango! Mwizi tu!
Jay Kay mjuzi wa kujinyumbua kimwili na kifikra kama ajuavyo kucheza. He is smart on that.
Mkuu Mzee Mwanakijiji
Tangu juzi jumamosi kulikuwa na makundi mawili yenye mvutano mkali pale dodoma,kundi la Mh.Lowasa na wengine watiifu kwa JK walibakia uande huo,lakini JK alipoarifiwa kuwa kuna mpango wa kumpigia kura za HAPANA nae akaamua kuhakikisha kila sehemu anapata za chini ya kapeti na misimamo yao,watu wakagawanyika ndipo akapata jeuri ya kuwapiga mkwara kwenye ufunguzi na kubadilisha ratiba ya kupiga kura za Wajumbe wa Nec-CCM Taifa hapo akawa kisha wachanganya kwa kuwa aliarifiwa kuwa Mh.Lowasa anataka kuandalia watu wake chakula cha jioni.
Nadhani kama ni mtu wa kukoma Mh.Lowasa atakuwa amekoma maana watu alioamini ni wake si wake bali ni wa wenzao na kwa kweli mpango wake hauwezi kutimia na kwenye hili natumai atarejea Ujerumani kwenye matibabu...!!
Binafsi naikumbuka sana hii kauli ya EL "Mimi na JK hatukutana barabarani". Na naamini mkataba wao wa kupokezana kijiti haujavunjwa na hautavunjwa kamweMwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa Mh. Lowassa na Rais Kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
Lowassa na Rais Kikwete ni Marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???
Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!
Hii ni JF watu tuna vichwa vizuri!!
Kama kawaida Pro-Chadema JF wanamjadili rais atakayekuja ambaye hatatoka CCM wamemsahau kabisa Dr Slaa na Chadema yao.
Unajiita mtoto wa kariakoo wakati kiswahili chenyewe nehi nehi!! sasa hapo kwenye nyekundu ndio umemaanisha nini?
Zuma alikuwa na support ya COSATU(chama cha Wafanyakazi)Nilitegemea Lowasa angejitokeza blodly kama Jacob Zuma kumpinga JK wazi wazi katika uchaguzi, na kama Lowassa angedhamiria na kujipanga mapema bila shaka angemuondoa JK katika kinyangányiro hiki.
Fisadi Lowassa nafasi yake ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM ni zaidi ya asilimia 70 kwa mujibu wa utafiti mdogo usio rasmi kutoka kwa mahasimu wake, kwa kuzingatia yafuatayo;Mimi sipendi kufuatilia siasa za maji taka lakini nataka nijue EL ana opportunity gani ya kupenya kwenye kinyanganyiro cha urais 2015