Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Naomba niwasaidie msiojua. Neno ni "MAADUI" kwa Jk & El ni fahari kwao na ndo nguzo ya kutimiza matakwa yao kisiasa. Tujikumbushe tu kwamba suala la El Kumfikisha Jk Magogoni halihitaji miwani, na kazi hihi Eli kama Mkristo hakuifanya kwa maana ya kutenda wema na kuundoka zake!

Bali ulikuwa ni mpango wake kuhakikisha awamu ijayo nae anaingia Magogoni. Kwa maana hiyo El maana yake halisi kumfikisha Jk hapo alipo ni kwamba alimwaga sehemu ambayo ni rahisi kuzoa.

Yaani hawa jamaa ni wajanja sana kimkakati for your information JK,EL lao moja the funny thing mpaka Membe wako pamoja hakuna uadui wowote membe anatumia usanii wa kiusalama hapo kuna coming presidaa na PM iko hivyo take it from me blv it or not thats how it is,time will tell just note this day
 
Mwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa Mh. Lowassa na Rais Kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
Lowassa na Rais Kikwete ni Marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???

Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!

Hii ni JF watu tuna vichwa vizuri!!

On the spot!
 
Siupendi sana huu mchezo;

Ni wazi mwisho wa kundi la Lowassa utaanzia leo; hasa tukisubiri uundwaji wa sekretariati mpya ya CCM ambayo itakipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Mtu kaliwa. Lakini atarudi tena na fedha nyingine kujaribu kucheza mchezo ambao uko dhidi yake?
This time hatarudi!, he won't play anymore, "the games people play"!.
"The winner takes it all, the looser standing small!".
P.
 
Mh. Lowasa atapoteza fahamu safari hii, jiulize mkuu, kama yeye ana watu anaowaamini, kwa nini alikimbia kundi lakifo? Hakuna kitu tena pale! Ngoja tusubiri kama bado atakuwa na nguvu ya kwenda kwenye makanisa, mashule na misikiti kutoa vijisenti eti michango! Mwizi tu!

If you can get free milk why keep a cow?
 
Kama EL alikuwa na nia ya dhati ya kutaka kupewa nafasi ya kuongoza CCM ili awee kujiandalia mazingira mazuri kwa 2015 basi alipaswa kuiga mbinu za Jacob Zuma wa South Africa. Hali ya ANC ilikuwa kama ilivyo sasa hali ya CCM, Jacob Zuma ambaye alikuwa amechafuka sana mbele ya jamii kwa kashfa za ufisadi alijipanga na kuweka wazi uadhaifu wa kiutendaji wa Rais Thabo Mbeki. Na alichofanya Jacob Zuma hakujificha nyuma ya migongo ya wanachama wa ANC, alijitokeza wazi wazi na kupata support ya vijana wakiongozwa na aliyekuwa mwenyekiti wa Youth League Julius Malema. Jacob Zuma aliamua kuweka nia yake ya kutaka uongozi wa juu wa NC, na Alijaza form, na walipoingia kwenye uchaguzi alimgalagaza Thabo Mbeko vibaya mno. Baada ya Miezi michache Jacob Zuma aliitisha NEC ya ANC iliyojadili utedaji kazi wa Serikali na kuamua kuiunda upya serikali iliyokuwa imeyumba kiuongozi na kiutendaji na kuomba Thabo Mbeki ajiuzuru. Kwa vile NEC ya ANC ilikuwa imeundwa na washabiki na wafuasi wa karibu wa Jacob ZUma kama ambavyo NEC ya CCM imejaza Pro Lowassa, haikuwa kazi kumuengua Thabo Mbeki na kusadia Jacob Zuma Kushinda uraisi wa Afrika kusini kamatika uchaguzi mkuu uliofuata hapo Baadaye. Nilitegemea Lowasa angejitokeza blodly kama Jacob Zuma kumpinga JK wazi wazi katika uchaguzi, na kama Lowassa angedhamiria na kujipanga mapema bila shaka angemuondoa JK katika kinyangányiro hiki.

Nani aliewaambia EL anataka urais? Hili swali huwa sijibiwi humu!!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mwanakijiji yuko Detroit. Anamwongelea lowassa ambaye hamfaham vizuri. Hearsay, Wabongo wanamwamini.Kwanza unachoandikaga sikuelewi..
 
Mwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa Mh. Lowassa na Rais Kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
Lowassa na Rais Kikwete ni Marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???

Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!

Hii ni JF watu tuna vichwa vizuri!!

Naamini zaidi unachokisema..........naamini kuwa huu ni mchezo wa kawaida tu wa siasa...bila watu kujua kuwa kikwete yupo kwa ajili ya lowasa na lowasa kwa ajili ya kikwete.....Ndiyo maana watz ni masikini sn kwa sababu tunakubali KUPUMBAZWA KIRAHISI SANA.....na tunafuata sana upepo unakoelekea.....HIVI KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KABISA ANAWEZA KUFIKIRI KUWA LOWASA NA KIKWETE NI MAADUI AU MAHASIMU................NONONONONONONONONONO
 
Laigwanan hawezi kushindwa kirahisi namna hiyo kama mchezo wa karata tatu!
 
Kama kawaida Pro-Chadema JF wanamjadili rais atakayekuja ambaye hatatoka CCM wamemsahau kabisa Dr Slaa na Chadema yao.

Mkuu Ritz
Makamanda wamepagawa Kizota pametoa ujumbe mzito

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mwanakijiji yuko Detroit. Anamwongelea lowassa ambaye hamfaham vizuri. Hearsay, Wabongo wanamwamini.Kwanza unachoandikaga sikuelewi..
sema wewe ndiye unayemwamini, unamwamini kama nani? Nimuamini EL katika fungu lipi, sina imani na mtu yeyote hapa, LIFE GOES ON
 
Kweli chichiem chiboko kwa hila na mbinu chafu. Ona walivyomtuliza lowasa. Kachezewa nusu uwanja tena akiutafuta mpira kwa tochi mwisho wa siku kapigwa 3 - 0. Hakuna wafuasi watiifu chichiem zaidi ya watu kufuata upepo na fedha. Ni heri pesa yake atumie kununulia ng'ombe zaidi na awekeze kwenye biashara. Kama lowasa anafanya ubishi na kuendeleza mapambano ya kutafuta urais kwa kutumia pesa zake atafilisika na asipate huo urais. Ona safu ya juu ya chichiem inavyopangwa- yote ni ya kummaliza lowasa.
 
Kupiga kura kwa staili ya mikoa ndo sababu kubwa ya waliotaka kumpinga JK kuingia mitini. Na siamini kuwa ktk hali ya kawaida kabisa kupata 100% ni kukubalika kwa kiwango hicho. hizi ni kura tuu lakini kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake baada ya kura hizo.

Angalia wapiga debe wote maelezo yao hii ni staili ya CCM toka huko nyuma si sheria bali ni mazoea yao. Amini usiamini hakuna uongo usiokuwa na ukweli uongo chanzo chake ni ukweli furani ili udanganywe ni lazima upewe ukweli ambao utauamini kisha ukaja gundua kuwa ulikua anadanganywa.

Ebu tusubiri kama 99.9% ni kumkubali Mwenyekiti wao basi hakutakua tena na mitafaruku ndani ya CCM, vinginevyo, basi kura hizi ni unafiki wa funika kombe.
 
mwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa mh. Lowassa na rais kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
lowassa na rais kikwete ni marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???

Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!

Hii ni jf watu tuna vichwa vizuri!!

mkuu nakupinga sana, ila yawezekana uko sahihi, lakini kama utakuwa ulifuatilia hotuba ya jk siku ya jumamosi vizuri utajifunza alimpiga sana madongo uyo el unayedai kuwa ni rafiki yake wa siku nyingi, alitaja wagombea uraisi kuwa ndo wankigawa chama chao, alikemea rushwa ilotolewa hasa katika uchaguzi wa umoja wa wanawake na hata kushauriwa ayafute matokeo na iko bayana aloshinda kuwa mwenyekiti wa jumuiya iyo ni mtu wa kaka el na aliwezeshwa na el.
Makamba kwa niaba ya kikwete alifunguka jana akimponda mtu mmoja asokuwa na kazi anajitaidi kumuangusha jk ktk uenyekiti natumai alokuwa akitajwa kutokuwa na kazi ni el.
Jamani kwa ayo machache sikubalian nawewe hawa jamaa hawako vizuri kiurafiki, na jk anaogopa el akiukwaa upresidaa aweza ata kumgeuka uko mbeleni, km moja ya kulipa kisasi
 
Kama kawaida Pro-Chadema JF wanamjadili rais atakayekuja ambaye hatatoka CCM wamemsahau kabisa Dr Slaa na Chadema yao.......

Ni vyema iwapo unatambua hilo, kwamba rais ajae hatatoka CCM!
 
Mwanakijiji wewe ni mchambuzi mzuri mfano wa chekundu - cheusi unafurahisha lakini katika muktadha huu ni mfano mfu. Nani alikwambia kuwa Mh. Lowassa na Rais Kikwete ni maadui? Watu wanawekewa maneno nao wanayabeba kama majuha.
Lowassa na Rais Kikwete ni Marafiki wa siku nyingi na hakuna wa kuwatenganisha wala wao hawana sababu za kuwa maadui, wawe maadui kwa lipi???

Anayesema kuwa hawa ni maadui ama atakuwa ana matatizo kwenye ubongo na mfumo wote wa ufahamu wake au atakuwa ni wakala wa kuendelea kupumbaza watu kwa makusudi yao na hapo ndipo wanaokubali na kufikiri kuwa ni maadui ndio wanachezeshwa chekundu- cheusi!!

Hii ni JF watu tuna vichwa vizuri!!

sasa mbona lowasa kafunua cheusi, kwa nini kikwete hamsaidii mwenzake???
 
Ritz ndg. yangu, una tatizo kubwa. Nenda hospitalini ukapimwe akili, kwa maana nadhani unaugongwa unaoitwa CHADEMA. Chadema wanaingiaje kwenye minyukano yetu? Kwani hakuna makundi kwenye chama chetu ?

Khaaaa ! Unatia kinyaa. you are not helping CCM. you are exposing how CCM people have small brains. Sorry but that is the truth

si ungemalizia kwa kiswahili tu! hiyo inglishi yako ni ya darasa la pili shule ya kata!
 
Simsemei Mwanakijiji katika hili. Lakini inamaana mtu akitoa hoja usiyokubaliana nayo au inamlenga unayempenda wewe, tayari unamhusisha na mtu mwingine ambaye haivi na unayempenda? acheni kuwa na vichwa vya panzi. Tuwe tunajadiri hoja siyo kumshambulia mtoa hoja eti anatoa hoja fulani kwakuwa hana mapenzi au ana mapenzi na mtu fulani. Maoni yangu ni kwamba; mabadiriko yanayofanyika ndani ya CCM kwa sasa; yawe ya kinafiki au ya dhati, yanamweka mamvi katika kona mbaya. Ni mchapa kazi mzuri, ni mkali dhidi ya wazembe. Hapo namkubali. Lakini kasoro kubwa aliyo nayo; anamajeraha mwili mzima ya kukosa uzalendo na uadirifu. Nikifika hapo tu, akili inagota. Mwalimu Nyerere hakuwa mjinga kumshitukia 1995. " wewe ni kijana mdogo, huwezi kueleza jinsi ulivyopata mali ulizonazo". Mamvi nyweeeee! mpaka leo. Bado Richmwendi, mhhh! hapana. Lakini acha aendeleee kugawa hela, watu wale, wanywe, wastarehe. Ili waendelee kuzila, watazidi kumdanganya, " mzee, upepo ni mzuri, utapeta tuuu!". Wakati wa vita kati ya Tanzania na Uganda; Idd Amin alikuwa hapendi kupewa taarifa za kwamba majeshi yake yanazidiwa nguvu. Washauri wake wakamjulia, walichokuwa wanakifanya ni kumwambia mambo safi, majeshi yetu yanafanya kazi nzuri na adui anarudi nyuma. Mwisho kidogo angekamatwa akiwa hai ndani ya Uganda kutokana na kutopata taarifa sahihi. Mtu wa karibu na mzee wa kufanya maamuzi magumu hata kama ni ya hovyo ameniambia; mzee hapendi negative information. Hivyo, si ajabu akajikuta anamwaga mapesa yanaliwa akijidanganya mambo yako poa kumbe yalishapinda zamaniiiiiiii! Mlioko karibu naye please mshaurini. Kama atatumia mahela kibao kisha nafasi asiipate, ukijumlisha na matatizo ya kiafya aliyo nayo mnadhani nini kitatokea. Kuweni na huruma, acheni kujali mshiko na ulabu pekee!
 
Siupendi sana huu mchezo; kwani unaweza kukuaminisha kabisa kuwa utashinda.
..............
Ni wazi mwisho wa kundi la Lowassa utaanzia leo; hasa tukisubiri uundwaji wa sekretariati mpya ya CCM ambayo itakipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Mtu kaliwa. Lakini atarudi tena na fedha nyingine kujaribu kucheza mchezo ambao uko dhidi yake?

Mkuu MJJ,
Ingawa wengi wangependa huyu nyoka aondolewe kwenye siasa za TZ, lakini ni vema tukawa waangalifu sana kwenye kumfikiria kuwa anakufa hivi karibuni. EL inaelekea anazaidi ya roho saba. Marehemu Mwalimu JK alimkung'uta na labda kumzika tena waziwazi tofauti na hii ya mafumbo anayofanya Kikwete, lakini bado EL akaibuka na kuwa PM na akajikusanyia nguvu nyingi zaidi mikononi mwake. Mchezo wa karata tatu unachezwa, lakini tusubiri matokeo ili tusije-tukashangaa ikawa anayechezewa ni Kikwete badala ya EL. Let's wait and see.
 
Hivi kweli Lowassa ni dumb kiasi hicho cha kuandaa mkutano Dodoma kipindi hiki na watu wake?

Hujalewa wakati unaandika haya?
Nenda kamuulize Mh.Lowasa yamemkuta yepi kipindi hiki cha uchaguzi wa viongozi Taifa nadhani atakupa jibu sahihi zaidi,ukweli unaendelea kubaki ukweli.kama hujui ni vizuri ukatafuta ukweli vinginenyo nawe ni mtiifu kwake sasa mambo yamewashinda mnaanzisha kujifanya hamjui yaliyotukia pale Dodoma.Kimsingi we were aware kuliko unavyofikiri na kudhani tunaandika toka ndotoni mkuu,mie si mnajimu wa kumzushia Mh.Lowasa wala wewe ila i know the fact...!Mlidhani mambo yenu hayajulikani?!
 
Back
Top Bottom