Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Kuna bado ni waumini wa chaguzi za kikomunisti? Was this an election or a selection, typical communist style!!

niliwahi muuliza mwanaccm hapa juu ya uchaguzi wa uongozi kwa top leaders na esp. mwenyekiti taifa wakanijibu watachagua,nkauliza uchaguzi wa ndio au hapana?wakakosa majibu nw wanasema wao wanademokrasia.naamini muda usiokuwa mrefu tutasikia mengi maana twajua wanavilio kwny mioyo yao hasa baada ya kuminywa na wenye dola.vinginevyo natumai chama changu cha cdm kuendelea kufunza wengine demokrasia hata ccm wamekiri hivyo ktk mkutano wao wa 8.
 
Hi guys! I have been heard that kambi ya Lowasa ilikuwa kwenye pick sana ila kadri mkutano ulivyokuwa unaendelea sikuwa nafatilia, pls wana JF may you update me. I am very much interested about this. Thanks!
 
Kwa sababu umechanganya lugha, imekuwa vigumu watu kuelewa ...
Unaonaje ukaandika kwa kiswahili, sababu yai hapo halipandi.
 
With CCM so much is speculation
hujui nini ni nini
nani ni nani
Mara Mangula adui wa Kikwete
mara sasa washkaji
mara Nape adui wa Mkama mara sasa washkaji
mara huyu ataondolewa .mara kapandishwa cheo...
Aliekuwa anaweza kuielewa CCM alikuwa Sheikh Yahya peke yake.....
sisi wengine mpaka tujifunze elimu ya utabiri na majini hatuwezi

There is no permanent friend or enemy in politics. Normally wanasiasa huchanga karata zao vyema kwa kuangalia upepo unakoelekea... Ona hata wenzetu Marekani kwenye Primaries..Hillary Clinton Alimchambua vilivyo Obama na Kuonesha kuwa hawezi...leo viko wapi?
 
With CCM so much is speculation
hujui nini ni nini
nani ni nani
Mara Mangula adui wa Kikwete
mara sasa washkaji
mara Nape adui wa Mkama mara sasa washkaji
mara huyu ataondolewa .mara kapandishwa cheo...
Aliekuwa anaweza kuielewa CCM alikuwa Sheikh Yahya peke yake.....
sisi wengine mpaka tujifunze elimu ya utabiri na majini hatuwezi

In politics there is neither permanent friend nor permanent enemy, chochote kinaweza kutokea leo rafiki yako kisiasa kesho adui yako kisiasa, sijui kama kweli EL na JK ni bado marafiki au la lakini naamini hata kama bado marafiki sio to the extent kama ule wa kipindi cha kampeni za uraisi 2005, prince na malisa walikuwa marafiki wakati wanamaliza chuo na wakapelekana kwenye siasa lakini leo hii sina uhakika kama ni washikaji tena kam vile.
 
Hili la EL na JK ni sawa na mtoto na mama hakuna ulazima na haiwezekani Mtoto kwa kuzaliwa kupitia uke basi ukifa upitie kulekule yeye kumsaidia kilikuwa ni kitu kizuri kufanyia rafiki yako mpendwa. Je mmesahau usemi wa kiswahili usemaoTENDA WEMA NENDA ZAKO..? Uongozi sio biashara



.....

He will PLAY all TRICKS in the BOOKS... BUT yake yatamfikia 2015... REMEMBER What GOES AROUND COMES AROUND

Kama LOWASSA hakumsaidia kumfanya RAIS kwa sababu ya MAKUNDI then TIME WILL TELL!!!
 
Kuna bado ni waumini wa chaguzi za kikomunisti? Was this an election or a selection, typical communist style!!

Mkuu Mkumbo,
Nafikiri tunapoikosoa CCM tusiionee aibu CHADEMA kwani uchaguzi ndani ya CHADEMA nao ni wa kupeana tu. Ndio maana kelele za upendeleo na ukabila haziishi kukiandama. Watu wenye sifa hafifu kama Mbowe hawangetakiwa kuwepo madarakani bila kupingwa kwa muda mrefu kiasi hiki.
 
Hili la EL na JK ni sawa na mtoto na mama hakuna ulazima na haiwezekani Mtoto kwa kuzaliwa kupitia uke basi ukifa upitie kulekule yeye kumsaidia kilikuwa ni kitu kizuri kufanyia rafiki yako mpendwa. Je mmesahau usemi wa kiswahili usemaoTENDA WEMA NENDA ZAKO..? Uongozi sio biashara



.....

He will PLAY all TRICKS in the BOOKS... BUT yake yatamfikia 2015... REMEMBER What GOES AROUND COMES AROUND

Kama LOWASSA hakumsaidia kumfanya RAIS kwa sababu ya MAKUNDI then TIME WILL TELL!!!

No permanent friend bt there s permanent interest
 
Mhe. LOWASSA amevuna alichopanda kwani wajanja wenzake wamefanya kile ambacho hakutarajia.Hiyo ndio demokrasia ya CCM ambyo mpigaji kura lazima kama ni wew uliyepiga kura ya hapana.Unayempigia anakufahamu ulimkataa na ndio maana Mhe JK amesema wale waliompigia kura 2 za hapana atawashughulikia.OLE WAO.DAWA NI KUONDOKA CCM.
 
In politics there is neither permanent friend nor permanent enemy, chochote kinaweza kutokea leo rafiki yako kisiasa kesho adui yako kisiasa, sijui kama kweli EL na JK ni bado marafiki au la lakini naamini hata kama bado marafiki sio to the extent kama ule wa kipindi cha kampeni za uraisi 2005, prince na malisa walikuwa marafiki wakati wanamaliza chuo na wakapelekana kwenye siasa lakini leo hii sina uhakika kama ni washikaji tena kam vile.
Tukubali jambo moja: Kikwete anajua kusamehe. Huyu Mangula alitengeneza dossier kali sana la kutaka kumzuia JK asigombee urais mwaka 2005 wakishirikiana na Paul Sozigwa. Leo hii Mangula ni makamu wa Kikwete ndani ya CCM.
 
Mzee Mwanakijiji mpaka leo unaamini kuwa CCM wanafanya uchaguzi? Kama chama, CCM wanapangana na kuuziana kura. Hakuna kitu kama uchaguzi kinafanyika ndani ya chama kile. Pale anachaguliwa mwenyekiti mmoja kwanini wasiweke box pale mbele na kuwagawia wajumbe karatasi za kupigia kura then wakasema tunakwenda kupiga kura kwa mstari na tunananza na hawa waliokaa mstari wa mbele tunafuata na wapili mpaka mwisho? Lakini wao wakasema mtapiga kura kwa mkoa ili ijulikane ni nani kampa JK kura ya hapana. Lowasa alijua huu mchezo unamlenga yeye aliita wajumbe wa Arusha na kuwaomba wampe kura za ndiyo JK. Hata hizo kura 2 za hapana mimi naweza kusema ni za JK na mkewe au JK na mtoto wake kujaribu kuonesha tu kuwa uchaguzi umefanyika. Mfumo huu wa kujipanga badala ya kuchaguana aliuanzisha Mwl. Nyerere mwenyewe kipindi hicho watu wenye sifa hawatoshi kwa bahati mbaya wameurithi na hawataki kubadili. Ukiangalia nguvu wanayokuwa nayo watu wa CC ungeona ni busara kwa watu wa CC kugombea na kupigiwa kura na NEC ila wao ni mwenyekiti tu ndoo anachagua CCM miongoni mwa NEC. Najua anapendekeza 40 wanampa 20. Hii sio demokrasia hata kidogo.
 
Hi guys! I have been heard that kambi ya Lowasa ilikuwa kwenye pick sana ila kadri mkutano ulivyokuwa unaendelea sikuwa nafatilia, pls wana JF may you update me. I am very much interested about this. Thanks!

'I have been hearing'
 
Unajua kitu kimoja kipo very interesting - Lowassa anavuma na ana influence kubwa sana ndani na nje ya chama bila hata ya kuwa na nafasi yoyote ya ngazi za juu ndani ya serikali na chama zaidi ya kuwa mbunge kama wengine mia mbili na kitu ndani ya CCM, mjumbe wa NEC kama wengine mia mbili ndani ya CCM, na kuwa waziri mkuu mstaafu kama wenzake wengine watano waliopita na ambao bado wapo hai, lakini bado anavuma na ana influence kupita kiasi, kuliko hata marais waliopita (nje ya nyerere); Ni muhimu sana kwa viongozi wakuu wa taifa kulitafakari hili, hasa ukweli kwamba baada ya kustaafu siasa watapotea na kuwa irrelevant wakati influence ya Lowassa katika nchi hii na maisha yao kwa ujumla itakuwa bado ipo pale pale, bila ya kujalisha nani ndani ya CCM anakuwa rais wa tano wa nchi yetu; Ni muhimu wakaelewa kwamba influence ya lowassa inachangiwa sana na watu ambao wanamuunga mkono, mara nyingine bila hata ya yeye kuwajua moja kwa moja; Hawa ndio wanaompa Lowassa 'nguvu' katika nchi yetu kwani wamemkubali;

Hoja yangu ya msingi ni kwamba CCM waamue moja, aidha wavunje chama au wakubali kutokubaliana lakini waishi pamoja humo ndani, vinginevyo kila kiongozi akiamua kufunguka, tutapigwa na mshangao wa karne; Nani angeweza kuamini kwamba hata Sumaye ana hela uswiss? Hii ni kwa mujibu wa gazeti la Dira la wiki iliyopita;

Watu wanamzungumzia Lowassa kama mtumiaji mkubwa wa fedha wakati wa kampeni; Niwaambie ukweli tu kwamba - fedha nyingi za lowassa zinatoka kwa watanzania wanaojitolea kumpigania kwa hali na mali, vijana wenye fedha zao n.k, mara nyingine bila hata ya yeye kufahamu; wapo wengi mitaani na wanajulikana; Kama Lowassa ana kosa katika siasa za fedha, basi ni kutowatafuta wote wanaompigania na kuwakemea;

Vinginevyo nazungumzia hoja yangu hii katika muktadha wa CCM, sio uwanja wa siasa Tanzania kwa ujumla wake i.e. not inclusive of upinzani; Vinginevyo hoja yangu haitaeleweka;
 
Mimi si mwana CCM ila Lowasa ana nguvu sana ndani ya chama hicho kuliko kitu chochote nina imani hata hiyo sekretarieti mpya haifui dafu kwa lowasa'
 
Mimi si mwana CCM ila Lowasa ana nguvu sana ndani ya chama hicho kuliko kitu chochote nina imani hata hiyo sekretarieti mpya haifui dafu kwa lowasa'

Ajiandae tu kukimbia nchi.
 
Back
Top Bottom