Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Hata mm Naamini hakuna mwny kuweza kupambana na misuli ya EL,believe or not he knows what he is doing na hata wale wanaofikiria wanatofauti na JK wanajidanganya,their CLOSER tha u can think
 
Hi guys! I have been heard that kambi ya Lowasa ilikuwa kwenye pick sana ila kadri mkutano ulivyokuwa unaendelea sikuwa nafatilia, pls wana JF may you update me. I am very much interested about this. Thanks!

:glasses-nerdy:
 
Huyu mwanakijiji akishapewa pesa na BM anachangayikiwa anaandka ndoto zake mwanzon alkuwa mwanaharakati mzuri ila sasa ameshanunuliwa kamsaliti hadi kubenea...Lowasa na Kikwete ni Marafiki na ushaidi ni kuwa Lowasa ndiye mwenye wajumbe asilimia 85% kwenye NEC ya CCM na alimuagza Mzee Makamba akasafshe upepo wa JK ambao ulikuwa umechafuka kwenye uchaguzi wa MWKT WA CCM Taifa kuepuka Rafki yake JK Kupigiwa kura za maruhani(HAPANA) na hilo lilifanikiwa kwa JK kupata kura za ndiyo kwa 99.8% ila kwa ushawshi wa lowasa ndani ya nec angekuwa ana uadui na JK kura za hapana zingekuwa 85% unajua lowasa ni mvumilivu pamoja na kuchafuliwa na aliowajenga kisiasa hakupenda kulipiza visasi na JK na Lowasa ni marfki ambao hata familia zao wakati mwingine znashangazwa na hawa waheshimiwa kwani wana siri ambayo ni yao wawili tu..kama mmefuatilia hotuba za mkutano mkuu wa chama na za mapokez ya JK aliepuka kabsa kuongelea masuala aliyoongelea KINANA Ambaye anaendeleza siasa zake na marafk zake NAPE NA MUKAMA ZA Makundi za kuwananga maadui zao kisiasa ambapo inafahamika wazi KINANA Hampendi Lowasa na Anamuogopa na KINANA ni Kundi la MEMBE NA SITTA..na JK Amekuwa makini sana kwenye hotuba zake kuepuka kuingia kwenye ajenda hii ya kina kina KINANA NA NAPE ambayo kwa ushauri wa Mkapa alishaifunga na kusema isijadiliwe tena..Mzee wetu Mangula asipokuwa makini atatupiwa virago kama MUKAMA sasa sijui yeye ataenda kusimamia ujenzi wa chuo kipi?kwa sababu anaingizwa kwenye mtego wa kupga propaganda feki na KINANA(Namnukuu Kinana kwenye hotuba ya Kumpongeza JK Mnazi mmoja"KABLA MANGULA HAJAONGEA NAJUA ANACHOKIWAZA" HUU NI UONGO ULIOPTILIZA YEYE NI MUNGU MPAKA AJUE MANGULA ANACHOKIWAZA?Mzee Mangula kuwa makini ya 2005 yasije yakajrudia au ya MUKAMA Yasikupate usiingie kwenye mtego wa NAPE NA KINANA...LOWASA NI MCHAPA KAZI NA JK ANALIJUA HILO NA ANAJUA TOKA LOWASSA AONDOKE MAMBO MENGI NDANI YA SERIKALI NA CHAMA YANAENDA HOVYOHOVYO Namnukuu JK Monduli OCTOBER(LOWASSA NI JEMBE NA NI KIONGOZI WA KUIGWA)......TIME WILL TELL MY PRESIDENT IS LOWASSA 2015
 
Mhe. LOWASSA amevuna alichopanda kwani wajanja wenzake wamefanya kile ambacho hakutarajia.Hiyo ndio demokrasia ya CCM ambyo mpigaji kura lazima kama ni wew uliyepiga kura ya hapana.Unayempigia anakufahamu ulimkataa na ndio maana Mhe JK amesema wale waliompigia kura 2 za hapana atawashughulikia.OLE WAO.DAWA NI KUONDOKA CCM.

Mimi sikumsikia Kikwete akisema hayo maneno
 
Back
Top Bottom